Kuna mwanamziki wa kitambo mwanzo mwa miaka ya 2000's alisumbua sana na kibao chake Bila sana jina lake Imam Abas ic nakumbuka sana mizuka ile katika game hili la sasa jamaa alikua so far gone...
Hawa jamaa walikua wananikosha sana Enzi hizo
" Ma-braza Men kwa kupenda sifa wanashinda Masaki wanalala Tandika[emoji12] [emoji12] "
"Nyumbani ni Nyumbani kwa jirani siyo kwako jishughulishe...
Nimeamua kupumzisha moyo wangu
Maana siku nyingi unateseka juu yangu
Kutwa kupelekwa puta na akili yangu
Eti kisa kuridhisha mwili wangu aaah
Acha nikajaribu na kwingine
Sio fungu langu pengine...
Nimeangalia sahizi video iliyo postiwa Instagram na Diamond platnumz wakionesha wanacheza wimbo mmoja hivi na sauti ya Diamond ndo Inasikika ni kama sebene! Kinacho nitatiza huu ni wimbo wa nani...
nilianza kuangalia movie za Godfather muda mrefu sana,Kuna ndungu yangu alikua anaangalia kipindi kicho mimi mdogo sana sikuwahi kuzielewa na lugha ndio ilikua haipandi na kipindi hicho
movie kama...
Leo katika pita pita nimekutana na huu mziki wa Aslay -kidawa...!!!
mwaka ulitaka kwisha bila kusikia hili song jamani ningejilaumu... mbona mziki mzuri Sana.
Aslay - Kidawa.mp3
Jana, kwenye tuzo za soka za Shirikisho la Soka Afrika (CAF), mwanamuziki Diamond alitumbuiza. Katika tuzo hizo zilizofanyika katika jiji la Abuja, nchini Nigeria Diamond alitumbuiza nyimbo nne...
Mr blue - tabasamu
Wakali kwanza - Natamani
Jafarai -niko busy
Ngwair-she got gwan
Hizo zili hit miaka flan Ila kwenye Playlist ZANGU huzikosi na ni kama mpya kila leo
Tupia na za kwako nne...
Nakumbua mwanzo mwa miaka ya elfu mbili mziki wa bongo fleva ulishika kasi sana,ulikua kama tunavyoichukulia singeli saizi
Vijana wengi walifungua studio na wengi waliingia katika tasnia ya...
Ninaishi Dsm ni miaka Mingi sasa nanunua CD lkn mwaka Jana nimeshuhudia watu wakinunua flam ya udaan maarufu Chakoli
Nashauri waigizaji wa bongo waangalie wasituigizie vituo vyao... sijui anti...
Ndugu zangu, Darasa sio yule tena wa 'sikati tamaa' Siku hizi yupo kikazi zaidi. Kila kukicha anazidi kuwa mkali.
Ngoma yake hii ya sasa inayoitwa 'MUZIKI' aliyomshirikisha Ben Pol ni kalii...
Natafuta jina au mwenye wimbo wenye hizi lyrics utakuwa wa 2005 kurudi nyuma
Najutia najutia najutia mimi najutia
Sijui nini wazazi wangu watajivunia
Najutia
Ndani ya shimo nimetumbukia
Sioni...
Kwa kweli leo nimekaa nikaamua nisikilize ngoma za kipindi icho daah ukiacha na ushabiki kwa mademu wanaoimba siku izi hakuna ata mmoja anaeweza akashika namba kwa huyu mdada Maunda Zorro...
Kweli YANGA ndio inauza magazeti ya Tanzania,ukiiandika vibaya huuzi gazeti siku hiyo,naona leo Wahariri wote wameipa uzito mdogo hii habari ya kufungwa YANGA.Basi sawa YANGA.
Tukiongelea wakali watatu wa chorus hapa bongo basi huwezi acha kumtaja Q chief..
Mimi kwangu top 10 ya chorus alizofanya ni kama ifuatavyo!!
1. Kazi ipo-Wanaume TMK
2. Sintobadilika-Mike T
3...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.