Mwana Mama Connie Smith alipatwa na Mkasa wa Kuachwa na Mpenzi wake aliyeitwa Jimmy na aliamua kuimba wimbo kwa kusikitikia machungu yake...
Wimbo uliitwa Tiny blue transistor radio hizo Radio za...
Mnaikumbuka hii mistari katika wimbo wa Roma enzi hizoooo
" Bandugu bwaga manyanga ayaokote Magufuli,pesa za ujenzi wa shule kala na mkewe Headmistress,thamani ya mabango ya kampeni peleka watoto...
Ambwene Mwasongwe (mwamlenga) huyu jamaa anajua sana hakika amebarikiwa mno, kipaji chake anakitendea haki.
Nyimbo zake zote zinagusa sana moyoni na rohoni, zinaelimisha.
1-Misuli ya imani...
Kwenye ile orodha ya mashabiki wa damu wa Mwanahiphop Fid Q inabidi umuongeze na mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ambaye January 20 alitumia time yake kupost kipande cha video ya Fid Q...
Pamoja na changamoto za maisha ya sasa ya mpito, ninapenda ku share orodha ya nyimbo ambazo ziliwahi kuvuma na kusikilizwa pia kupendwa na takribani kila mwenye kusikia hapa TZ. Hii ni kwa sisi wa...
Kwa sie tuliokuwepo kipindi hicho, mtakubaliana na mimi kwamba hii collabo ilikuwa moto wa kuotea mbali, na mpaka leo ukiisikiliza bado ina ladha murua. I wonder huyu jamaa yuko wapi siku hizi....
PLOT
Movie inaanza Dominic Torreto(Vin Diesel) na dame wake, Letty(Michelle Rodriguez) wako somewhere kwenye nyumba yao ya ufukweni, Letty ni mjamzito, so wanajadili kuishi responsibly, majina ya...
wakuu kama kuna mtu anaijua movie flani hivi ya kivampire inayohusu mavampire wanaokunywa damu za binadamu na wengine wanokunywa damu za wanyama wa porini ambao waliingia katika bifu zito kisa...
Hapatanzania ukisikia Clouds utajua ni brand yeye ubora na ufanisi kutokana na redio yao,
kitu kikubwa chakusikitisha wameanzisha television yao ambayo wadau wengi walitegemea itakua
moto wa...
Habari wandugu,Leo nilikuwa katika safari yangu ya kuja job mida ya saa 1 asbh,nipo kwenye gari nikasiki wanatangaza habari mbalimbali za ulimwengu kama masuala ya uchaguzi Kule Gambia si nikatega...
"Like Sand In Hour Glass So Are the Days of our life"
Waungwana kuna anaeikumbuka hii tamthilia nimeikumbuka sana hasa character wake like
Jennefer
Stephen demera
Jack
Naomi....etc
Sizani...
Heshima yenu wana JF
Kama kuna mwenye historia ya huyu mwanamuziki anayeitwa Ntombi Mahrumbuni naomba anidadavulie kidogo maana leo nilikuwa nasikiliza radio moja hapa moshi nikasikia wanapiga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.