Malipo ya wasanii kweli bado yapo??

Malipo ya wasanii kweli bado yapo??

super mimi

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2016
Posts
223
Reaction score
173
Heshima kwenu wanajamvi...
Nakumbuka kuna kipindi serikali ilitangaza kwamba kila wimbo utakaopigwa redioni basi msanii husika atalipwa kiasi flani cha pesa. Kwa anayejua kuhusu suala hili tujuzane, utaratibu huu bado upo?
 
Back
Top Bottom