Leo mwadada mkongwe jaydee anazindua album yake ya 7 pale King Solomon Hall wadau na wapenzi mnatakiwa kujitokeza kwa wingi kumpa support, mwanzo uzinguzi huo ulipangwa kufanyika katika ukumbi wa...
[https://1]
MALKIA wa Mipasho Tanzania, Khadija Kopa amefunguka kuwa hajawahi kuchepuka tangu mumewe afariki dunia, kwa sababu anaogopa kuchuja, kuchoka na kuzeeka mapema.
Global TV Online...
Jana nilikuwa kijiweni na vijana wengi walikuwa wanamponda Diamond kwa kuwa nyimbo zake nyingi hazikemei maovu kwenye jamii.
Pia wanauona mwelekeo wake ni kusaka tonge zaidi ya kujali mustakabali...
Toka jana natazama clouds tv rwanda channel namba 171 azam decoder.
Nilikuwa nadhani wanyarwanda hawajui kuimba hawana mziki mzuri ila nimestaajabu wanaimba mziki kama wa kwetu kwa kilugha chao...
(Faza Nelly)
From the album 'Maasai hip
hop' (Out Here records, 2004) Swahili lyrics (English intro): All my people
East Africa
Tanzania, Uganda and Kenya
Dar es Salaam, A town
Wherever...
Kama binadamu na Kama mzazi ukiacha mapungufu yote ya Lulu. Elizabeth Michael naye ni binadamu mwenye hisia kama wengine! Anastahili kupata kila unachostahili wewe, upendo ulinzi kujaliwa utu...
Msanii mkongwe muigizaji wa Bongo movie Jacob Steven JB, ametoa sababu ya bongo movie kudorora kwa sasa. Amedai bado haijafa ila inapitia kipindi cha mpito, na kinachoifanya ikafifia ni kutokana...
Kweli ujana maji ya Moto, kwa sisi vijana wa wakati huo, au Old school wengi tunamkumbuka vizuri rapa wa kimarekani wa Enzi hizo coolio, aliyetamba na vibao kadhaa kama vile I'll c u when u get...
Mmiliki wa kampuni ya Global Publishers, Eric Shigongo ameandika barua yenye ujumbe mzito kwa Diamond kupitia mtandao wa Instagram.
Kupitia mtandao huo, Shigongo ameandika:
Nampenda Diamond...
Asilimia karibu zaidi ya 90 wasanii wa bongo flavour hujikuta wote wanaimba nyimbo nyiingi zinazofanana mlengo,na hii hutokea kwa sababu KARBU WOTE HUIMBA KUHUSU MAPENZI..na huwa wakiulizwa...
Kwako Dada yangu Mange kimambi, hivi unajua kuwa wewe ni mwanamke mrembo, msomi na una familia nzuri tu, tunajua una Cv nzuri tu, umesoma Dubai na ukabahatika kufanya kazi bank kadhaa Dubai which...
Huwa si mpenzi sana wa kuangalia taarifa ya habari star tv mara kwa mara isipokuwa ni pale kwenye taarifa zao za kimataifa ambazo huchanganuliwa vizuri. Pia huwa napenda sana kuangalia kipindi cha...
Akitokea kwenye utangazaji wa habari channel ten hakuna aliyemjua kiundani ni nani hasa. Baadae akaea P.R.O NMB hapo ndipo alipoanza kutambilika uhalisia wake akaingia kwenye mapenzi motomoto na...
Hayo kayasema Irene majuzi wakati akikaangwa.
Nakumbuka kuna gazeti la pale Bamaga lishawahi kuripoti habari ya Diamond na Uwoya kutoka kimapenzi.. Ilikuwa uongo? Kiki?
Exclusive: Diamond...
Bidada anayemuweka mjini Harmo rapa kumbe sio mtu wa mchezo mchezo, baada ya kufanyiwa alichokiita ni kuchukuliwa poa na msanii aliyekuwa chini yake, dada huyo alimyimua jamaa huyo usiku wa manane...
Huyu mwanamke anatisha nilijua labda kavaa mask kumbe alifanyiwa surgery afanane na paka kisa mpenzi wake alikuwa anampenda sana paka wake kupitiliza ,akaona atumie pesa nyingi ajibadilishe
Sasa...
Mpigie kura Diamond Platnumz ili aibuke mshindi katika kipengele cha video ya mwezi.
Hakikisha una akaunti twitter na tena nenda MTV BASE EAST kupiga kura.
FROM MTV BASE EAST.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.