Watanzania wamekuwa mbogo na wameanza kumtemea cheche mwanamuziki nguli nchini....Simber!
Si kitu chepesi msanii kukubali kuweka rehani kazi yake, tena inayomlipa sana just kwa kutaka kuendekeza...
Bwana Diamond na wengine wachache waache kuleta siasa, utani na unafiki kwenye roho na maisha ya watu.
Inaonesha wazi hauna msimamo, mara umeamua kukaa kimya mara unajishtukia unajidai "Kwakweli...
Nimeusikiliza wimbo wa Mondi na naheshimu maoni yake! Kuna waliopenda na kuna wasioupenda ila ni maoni yake na tuyaheshimu. Linalonishangaza kidogo ni kwa jinsi Mondi alivyomjibu Gwajima kwamba...
Sakata la kupotea kwa mwana hip hop, roma mkatoliki, linazidi ku make headline ambapo hivi karibuni wasanii kutoka bongo movie, wameingia kwenye bifu zito, sababu ikiwa ni roma
Awali wema...
mmmmhhhh
Mungu aliumba dunia mapenzi tangu na tangu
yashanipiga sasa sinabudi nielewe
siwezi kung'ang'ania maana sio fungu langu
japo ni shida ila, nitabaki mwenyewe
ohh ila, mpe shukrani kwa...
Wimbo ni mistari ya mashairi siyo Melody wala umarufu wa mtu
Wimbo huu umekuja ki mkakati umekuja kulifanya jina la MAKONDA lijadiliwe
Liimbwe na media zilizomkataa, Dai kajilipua...
#KaaKimyaTukusemee : TUTASEMA KWA FAIDA YA WATANZANIA IKIWEMO WEWE.
Mara naona picha ya Baba wa Taifa, nikadhani umeamua kulisemea Taifa. Baba wa Taifa hakukaa kimya, alikemea uovu. Kukaa...
Hivi karibuni vijana wengi wa kike wanaotumiwa na wasanii wetu katika utengenezaji wa video zao wamekuwa na mtindo mchafu wa kupiga picha za nusu uchi na kuzisambaza kwenye mitandao ya...
Msanii toka Marekani French Montana amewapa shavu watoto wenye vipaji vya kucheza ghetto kids kwa kuwafata hadi uganda na kuwaomba watokee kwenye video ya wimbo wake mpya uitwao "Unforgettable"...
Wasallam wanajukwaa,
Katika pita pita zangu za mitandaoni nimekutana na messages hizi za mlimbwende jokate za kunyapia nyapia zinasema eti ni dongo kwa manager wa mpenzi wake kuonekana ku manage...
Hii ilitokea Jumamosi Maisha Club baada ya shabiki kumtupia chupa Harmorapa akiwa stejini , Jamaa huyo alishushiwa kipigo na walinzi wa hapo na kumuhisi kuwa alikuwa ametumwa ila yeye alikataa...
NIMETANGULIZA NENO MASIKINI SABABU NYIMBO YA SAIDA KAROLI IMETUMIKA KWENYE MOVIE YA TYLER PERRY IITWAYO PEEPLES ... NA CREDIT KWENYE WEBSITE YA IMDB ZINAONYESHA HIVI
Maria Salome
Written and...
Wakuu tarehe kama ya leo ilikuwa siku chungu kwa Tanzania na duniani. Ilikuwa ni siku tuliyompoteza ngwiji la kuigiza Steven kanumba
Binafsi hiki kifo kiliniumiza sana miaka imekwenda kwa kasi...
Harmorapa ameingia choo cha kike. Wema Sepetu amemjibu rapper huyo asiyeishiwa vituko juu ya ujumbe wake aliouandika wiki iliyopita kwenye mtandao wa Instagram kuwa akifanikiwa kumpata mrembo huyo...
Kwanza nianze kwa kusema kuwa Mimi si Fani wa DIAMOND Isipokua napenda Muziki Mzuri anaofanya, Pamoja na Jitihada, Bidii na Discipline aliyonayo katika kufanya kazi zake. Sitaki kuingia kwenye...
Yani hili jamaa linanikera, linapenda sana raha badala ya kufanya kazi, lenyewe kutwa kubadilisha ndege, mara Dubai, US, Italy, London, khaa! Tumekuchoka bhana, fanya kazi mtoto wa kiume hizo...
Msichana ambaye Aunt Ezekiel alikuwa anadai anataka kunyang'anya mume amemjia juu na kudai hana mpango huo na yupo karibu na Mose Iyobo kwa sababu wamezaa pamoja mtoto.
Msichana huyo amesema...
Usalama wa Maisha yangu umekua Mdogo kwasasa, Wana panga kunipoteza ikibidi nisiwepo kabisa kwenye hii Dunia. Nipo tayari kwa chochote wanacho panga kufanya Coz sijajipanga kupambana nao, Mimi ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.