Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Kweli?... simu za mapolisi waliojazana mahakamani zinaita kila dakika jaji hakuwahi ku-comment!
Kweli?... simu za mapolisi waliojazana mahakamani zinaita kila dakika jaji hakuwahi ku-comment!
Jikite kwenye mada.Je hilo limebadili kesi kuwa si ya kubumba?
Wewe ndiye muongo umekuja kiweka valid link baada ya comment yangu. Unajitekenya alafu unacheka.Acha uongo
Dah. Umekunywa uji?Wewe ndiye muongo umekuja kiweka valid link baada ya comment yangu. Unajitekenya alafu unacheka.
... hukusikia hoja hiyo ikiibuliwa hapo hapo mahakamani au unajitoa ufahamu bro?Kweli?
Maswali ya kipuuzi au kwa kuwa yanamvua nguo HangayaLazima awe mkaidi kama anaulizwa maswali ya kipuuzi
Nilikuwepo mahakamani sikusikia.... hukusikia hoja hiyo ikiibuliwa hapo hapo mahakamani au unajitoa ufahamu bro?
Kada wa ccm katika ubora wako.Huku ni kukosa nidhanu kabisa, sasa unawasha simu mahakamani na kuanza kurekodi mwenendo wa kesi. Chadema tuwe wastaarabu.
Simu yasimamisha kesi ya kina Mbowe
Simu ya mkononi iliyoita wakati kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu ikiendelea imesababisha Jaji...www.mwananchi.co.tz
Mnafiki weweeeeeeHuku ni kukosa nidhanu kabisa, sasa unawasha simu mahakamani na kuanza kurekodi mwenendo wa kesi. Chadema tuwe wastaarabu.
Simu yasimamisha kesi ya kina Mbowe
Simu ya mkononi iliyoita wakati kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu ikiendelea imesababisha Jaji...www.mwananchi.co.tz
.... ha ha ha! Kwa mataga hiyo imekuwa ajenda; ni ushahidi mzito mno wa kufuta hoja nyingine zote zilizotolewa mahakamani! Mataga wararue mavazi yao maana hakuna tena haja ya ushahidi.Je hilo limebadili kesi kuwa si ya kubumba?
Hili ni takataka la lumumba. Wenda hata buku7 halipewi!We sio Chadema, Chadema aina watu wapumbavu aina yako.
Mwanasheria wa chupi, alishawahi kuropoka Mrisho GamboYani mwanasheria gani huyu asiyejua sheria?
Huku ni kukosa nidhanu kabisa, sasa unawasha simu mahakamani na kuanza kurekodi mwenendo wa kesi. Chadema tuwe wastaarabu.
Simu yasimamisha kesi ya kina Mbowe
Simu ya mkononi iliyoita wakati kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu ikiendelea imesababisha Jaji...www.mwananchi.co.tz
... endelea kujitoa ufahamu!Nilikuwepo mahakamani sikusikia.
...
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji utaratibu upo kwa mtu simu inapoita hata mapolisi humu simu zao zimekuwa zinaita mara nyingi tu... Suala la Kwamba kuna mtu alikuwa anarekodi proceedings twende chamber, Kidando apewe simu akague atuonyeshe hizo records kisha ndiyo tujadili
...
Nimekosea nini?We sio Chadema, Chadema aina watu wapumbavu aina yako.
Sheria zetu zinaruhusu kurekodi mwenendo wa kesi kwa simu?..kuacha simu ikalia mahakamani ni makosa.
..lakini kurekodi ni jambo jema, na tena kesi zikirekodiwa video ni vema zaidi.
..dunia imebadilika sana. Hata hapa JF ni mara ngapi members wamedai video clips ili kujiridhisha na hoja iliyoko mezani?
..uamuzi wa Jaji sio wa busara kama anavyodai, ni uamuzi wa kishamba.