Huku ni kukosa nidhanu kabisa, sasa unawasha simu mahakamani na kuanza kurekodi mwenendo wa kesi. Chadema tuwe wastaarabu.
Kada wa ccm katika ubora wako.
 
Huku ni kukosa nidhanu kabisa, sasa unawasha simu mahakamani na kuanza kurekodi mwenendo wa kesi. Chadema tuwe wastaarabu.
Mnafiki weweeeeee
 
..mbona kwenye nchi za wenzetu kesi muhimu zinaonyeshwa live kwenye luninga, achilia mbali kurekodiwa?

..kwanini hapa kwetu kurekodi kesi inazuiliwa au inakuwa nongwa.
 
Huku ni kukosa nidhanu kabisa, sasa unawasha simu mahakamani na kuanza kurekodi mwenendo wa kesi. Chadema tuwe wastaarabu.

Yani umekaa kimbea Mbea kweli, wala sio tatizo kubwa Kama unavyo present, Wewe Ni gamba tu!
 
..kuacha simu ikalia mahakamani ni makosa.

..lakini kurekodi ni jambo jema, na tena kesi zikirekodiwa video ni vema zaidi.

..dunia imebadilika sana. Hata hapa JF ni mara ngapi members wamedai video clips ili kujiridhisha na hoja iliyoko mezani?

..uamuzi wa Jaji sio wa busara kama anavyodai, ni uamuzi wa kishamba.
 
Nilikuwepo mahakamani sikusikia.
... endelea kujitoa ufahamu!

...
Wakili Peter Kibatala: Mheshimiwa Jaji utaratibu upo kwa mtu simu inapoita hata mapolisi humu simu zao zimekuwa zinaita mara nyingi tu... Suala la Kwamba kuna mtu alikuwa anarekodi proceedings twende chamber, Kidando apewe simu akague atuonyeshe hizo records kisha ndiyo tujadili
...
 
..kuacha simu ikalia mahakamani ni makosa.

..lakini kurekodi ni jambo jema, na tena kesi zikirekodiwa video ni vema zaidi.

..dunia imebadilika sana. Hata hapa JF ni mara ngapi members wamedai video clips ili kujiridhisha na hoja iliyoko mezani?

..uamuzi wa Jaji sio wa busara kama anavyodai, ni uamuzi wa kishamba.
Sheria zetu zinaruhusu kurekodi mwenendo wa kesi kwa simu?
 
Back
Top Bottom