state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,511
Utv azamu decodaYupo media gani
Utv azamu decodaYupo media gani
19%+4%=23%Namuona jafo hapa UTV wagombea wa chadema walikuwa 19% ya wabombea wote
CUF likuwa na wagombea 4% ya wagombea wote
VYAMA vilivyobakia walikuwa 1.005 ikiwemo na ACT
CCM ilikuwa na wahombea 79& ya wagombea wote
Form zilizokataliwa zilikuwa asilia 28.66% ya form zote
State agent
Kwa hiyo hiyo 28% inapajumuisha na ccmNamuona jafo hapa UTV wagombea wa chadema walikuwa 19% ya wabombea wote
CUF likuwa na wagombea 4% ya wagombea wote
VYAMA vilivyobakia walikuwa 1.005 ikiwemo na ACT
CCM ilikuwa na wahombea 79& ya wagombea wote
Form zilizokataliwa zilikuwa asilia 28.66% ya form zote
State agent
Unachukua TATU jumlisha TISA, unakopa moja. Unapata asilimia 100. Hesabu za CCM amefundisha vizuri Polepole.19%+4%=23%
Iweje CCM awe na 79%
Nauliza tu miye nilisoma HGL
Maendeleo hayana vyama!
OkUtv azamu decoda
Tutaongea tu bado hapo anamumunya maneno, mbona tutaongea vizuri tuJafo na ccm yako jifunzeni kuvhuchumaaa.. mtaabika sana.. chadema sio watoto wadogo.View attachment 1259535
nani analilia hapa.. yapo wapi majigambo sijui tutashinda kwa 100% saizi mnakuja kulilia hapa.Nchi yangu chini ya chama tawala tunazingatia uchaguzi wa uhuru na wahaki, upinzani msitafute ushindi wa bwerere kwa kuona mnaonewa
Wekeni sera zenu mezani , waambieni watu mliyoyafanya miaka mitano, sio mnashinda kila siku kupiga soga na kula hela za ruzukuPambafu wewe... nani analilia hapa.. yapo wapi majigambo sijui tutashinda kwa 100% saizi mnakuja kulilia hapa.
Jafo lazima ashitakiwe kwa kuvunja sheria
Nasikia jafo hajalala leo siku ya 4.. maana wananchi hatutapiga kura.Wekeni sera zenu mezani , waambieni watu mliyoyafanya miaka mitano, sio mnashinda kila siku kupiga soga na kula hela za ruzuku
Chadema toeni tamko Sasa kuwa mtashiriki