Na sitaki kugundua, the best way ni kwamb huwa simfatilii wala sifatilii mawasiliano yake, hata akiacha simu yake siigusi, hata ikiita sigusi kabisaa..nimejiwekea hiyo principle
Nafanya hivyo kulinda heshima na upendo uliopo ndani ya ndoa yetu,
Cha msingi anatimiza wajibu wake kama mume, kama baba, na kama kiongozi wa familia, he is always there when we need him na ananiheshimu
Hayo mengine sihitaji kujua. Hakuna viashiria na kama kuna tofauti tunazungumza yanaisha
Kwa kifupi, huyo dada atakua kwenye maumivu makali and it will take time to heal, ila pia kuvunja ndoa au kucheat in return does not make it right, asichukue sana ushauri wa mtandaoni ila afikirie future yake na watoto, na hata akisema atafute mchepuko, its likely possible kuumizwa zaidi ya maumivu aliyoyapata kwenye ndoa