Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Mama Terry, usichanganye porojo za 'mwanaume lazima a'cheat'! Hizo ni za wavulana! Ila mwanaume anayejitambua ukimuona ame'cheat' ujue kabisa umemsukumiza wewe mwenyewe huko na ukimvuta kwa upendo wenye mautundu atarudi barabarani! Hivi unajua kisaikologia hivi unafikiri huwa mtu anajisikiaje anapikuwa kwa mchepuko pasi kujua home Nini kinaendelea!
Kama mke mwenye kukielewa na umeolewa na mwanaume na siyo mvulana, unanafasi kubwa Sana ya kumuweka mumeo barabarani pasi kukosea njia na kujikuta vichakani! We all want to drive on tarmac road unless you push us aside!
By the way, wanaume tunapenda Sana kushiriki ktk ulezi wa watoto wetu! Hata kuwabadirisha nepi na pambasi huwa hatuna hiana!
That's good
Na mwanaume anayejua majukumu yake vizuri Sana na mke muelewa( ingawa hawez kuwa perfect) huwez kukuta anawaza hayo maujinga kabisaa.
Mara nyingi wasio na Kaz na wanaolewa na wavulana( as per your explanation) ndo wanaamin mwanaume hawez kufurahia na mkewe bila kucheat.
Utakua upo matured Sana. Educate your fellow men.
Wanawake ukitupenda na sisi tukakutii na kukuheshimu dunian kutakua heaven na maendeleo yatakua Kama yoteee
Be blessed
 
[emoji28][emoji28][emoji28] Halafu mchungaji wangu leo kanitoa kwenye group la kanisani.
Kanipa mawazo sijui alipata maono kuwa nimepost aina hiyo ya picha.
Niombee tu mama.
Nakuombea pia huku nikifunga nadhiri auntieeeh. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
angalia mazuri aliyofanya na anayofanya kwako,usiangalie negativity za kila jambo hutaishi kwa amani maisha,heshima ndo kitu cha mhimu kwenye ndoa,yawezekana kuna sehemu umemkosea lakini yeye akakaa kimya,wanaume tunatembea na mengi,kama ukishindwa kabisa basi jipe likizo ya miezi miwili halafu tathmini kama bado unamhitaji usijekufanya vitu kwa mihemko,kama ukiona unaweza ishi bila yeye basi karibu kwenye maisha ya ubachela japo huku kunachangamoto nyingi kuliko ndoani
Amesema wana watoto jaman, then kaombwa msamaha kapelekwa vacation, kapewa likizo 2 weeks, ila bado ana maumivu na mateso moyoni.
Ndo maan tumemshauri akatafute furaha na amani nje, pasipo kuathiri mustakabali wa familia yake.
Hili haliepukiki kisasi ni muhimu hapaaaaaah.
 
M

Mwanaume yeye huwa hatelezi? Nadhani wanaume tunajitengenezea mazingira ili tuonekane bila kucheat kwetu haiwezekani. Jamani wapo wanaume wanaridhika na mwanamke mmoja maisha yote. Mimi mmoja wao.
Waambie hao khaaaaah
 
That's good
Na mwanaume anayejua majukumu yake vizuri Sana na mke muelewa( ingawa hawez kuwa perfect) huwez kukuta anawaza hayo maujinga kabisaa.
Mara nyingi wasio na Kaz na wanaolewa na wavulana( as per your explanation) ndo wanaamin mwanaume hawez kufurahia na mkewe bila kucheat.
Utakua upo matured Sana. Educate your fellow men.
Wanawake ukitupenda na sisi tukakutii na kukuheshimu dunian kutakua heaven na maendeleo yatakua Kama yoteee
Be blessed
🙏Likewise, do the needful & stay blessed!
 
Angalia maneno ya Bwana Yesu hapa kumhusu mtu mwasherati/mzinzi
Screenshot_20200801-122536.jpg
 
Aaaah hahaaa ni mhimu,ila kosa alilofanya ni kumuamini sana jamaa mpaka moyoni,achepuke ila akishikwa ataachwa yeye
Amesema wana watoto jaman, then kaombwa msamaha kapelekwa vacation, kapewa likizo 2 weeks, ila bado ana maumivu na mateso moyoni.
Ndo maan tumemshauri akatafute furaha na amani nje, pasipo kuathiri mustakabali wa familia yake.
Hili haliepukiki kisasi ni muhimu hapaaaaaah.

California love
 
Anajifariji tu huyu wake zake watatu mikoatofauti kwa nguvu gani za kiume,hapo anasaidiwa tu huyu
[/QUO
Akitaka kujua mchepuko anapatapi hamu ya manjonjo, afulie aone.
Mke wake tuuu ndo atamfungulia mlango
 
Kosa kubwa alilofanya mumeo ni kukuweka wazi kuhusu kitendo alichokifanya. Anyway unaweza kumsamehe ukitaka japo unaweza kuwa ndio wimbo kila anapokuudhi.
 
Anajifariji tu huyu wake zake watatu mikoatofauti kwa nguvu gani za kiume,hapo anasaidiwa tu huyu

Hehe umesahau humu JF kila mwanaume ana pesa na kila mwanaume ana mwanamke zaidi ya mmoja
 
M

Mwanaume yeye huwa hatelezi? Nadhani wanaume tunajitengenezea mazingira ili tuonekane bila kucheat kwetu haiwezekani. Jamani wapo wanaume wanaridhika na mwanamke mmoja maisha yote. Mimi mmoja wao.
Hongera ila tema mate chini maana anayecheat si kwamba alitegemea itakuwa hivyo. Kabla hujafa jua hujaumbika.
 
Back
Top Bottom