Afadhali useme wewe mkuu daahTupo wanaume tunaoheshimu ndoa zetu. Msiseme wanaume wote wako hivi na hivi... Usaliti unavunja nyumba na kusababisha machungu makubwa kwenye familia.
Zinavunjika Sana tu kuliko kuachana kila mtu nikubaki tu kwa mahusiano kila mtu atafte pa ku timiza hisia zake, Mimi binafsi hisia zikifa hazirudi nyuma wallahOke wachekini wazungu ni waaminifu 100% maana wao ndoa hazivunjiki.
Ur correctKibinadamu ni hali ya kawaida sana kwa yanayokutokea
Usaliti si mzuri na mbaya zaidi tayari ulishamiweka kwenye kundi flani hivi, kuna namna ambavyo ulikuwa unamuona na kuna viwango flani ulimpa, hauwezi kumuona kama zamani kamwe hii haitatokea
Sasa utakubaliana na ule msemo ‘’ndoa ni kwa ajili ya watoto’’
Kila binadamu akisalitiwa kisamehe ni ngumu au inakuwaga unafiki tu ukizingatia wewe hujawahi kumsaliti hapa ndiyo uwezi kabisa kusamehe
Kinachokutokea sasa ni kwamba hauamini tena kwenye true love na hautakuja kuamini, when you caught him cheating he made you doubt love
Suruhu sasa baada ya muda utapona lakini utakuwa unaamini ndoa ni kwa ajili ya watoto na tendo la ndoa utafanya tu kibaolojia kwa kuwa mwili unaihitaji
MAISHA SAFARI
Atapumua kwa raha na mustarehe ila tofauti pekee ni kwamba ntakuwa nimejitoa na hizo negative energyNaked truth tuache unafiki kwani bila wewe atakosa pumzi
Ni bora mara 100 mtu kama amekuchoka avunje ndoa tu kuliko kujitia anakupenda saana kumbe anakupaka mafuta kwa mgongo wa chupaOke wachekini wazungu ni waaminifu 100% maana wao ndoa hazivunjiki.
Sasa na yeye katuliza moyo wake na kapata furahaAtapumua kwa raha na mustarehe ila tofauti pekee ni kwamba ntakuwa nimejitoa na hizo negative energy
Kamwe hujawai kuniangusha kabisa katika michango yoyote ile kimaisha Mama, nakupendaga sana wewe Mama.Pole sana mamii,
Your kids comes first, ni hali ambayo almost kila mwanamke analipitia au ameshaipitia ndani ya ndoa yake,
Tofauti ni mapokeo tu, kila mtu kuna namna anavyolipokea jambo fulani na kulikubali au kutokulikubali
Kama ulivyosema ameomba msamaha, take as much time as you can na ujaribu kukubali huo ukweli, samehe, focus, maisha yaendelee,
Ukiwaza sana utajiumiza, kumbuka mna watoto wawili, labda tu nikwambie ALL MEN cheats, wametofautiana tu style ya kucheat, wengine wakecheat wanafanya siri sana hata mke hajui wala haonyeshi tofauti yoyote nyumbani, ila wengine wakianzisha mahusiano nje unagundua maana everything change for worse
Usithubutu kuwaza kuanzisha mahusiano nje, utakua unaharibu zaidi ukizingatia watoto wanahitaji mwongozo wako
Jaribu kumwomba Mungu akupe amani ya moyo,uweze kusamehe na kusahau kabisa.
Otherwise, nakupa pole sana
Ila wewe unayechepuka sio destructive....mazafantaa..!Mke wangu akiwa na rafiki kama wewe nampa talaka siku hiyo hiyo, you are so destructive
Hamna usimshaur kulipiza kisasi Kuna ngom zingine hazichezekiNa wewe chepuka tu hapo kilichobaki nikulea watoto cheating haisameheki kabisa hasa mtu uliye mwamini, Hawa viumbe huua nyege za wake zao. Nakuhurumia maskini kiukweli na wewe chepuka tu ngoma droo wallah
Mnakosea sana kusema ALL... inawezekana mume wako, baba yako , jirani yako na wote unaowajua wanacheat ila kamwe haiwezi kuwa WOTEHongera sana kwankuwa muaminifu, kama ulivyoona comments za me wengi hapo juu, wamekiri kwamba hawaridhiki na mwanamke mmoja
Plus anachepuka na KeKusamehe ni ngumu, esp kama ulishamfuma zaidi ya mara moja na habadiliki...au anachepuka na mwanamke mmoja zaidi ya mwaka, hapo mnaishi tu ila upendo hamna
Wakati mwingine huenda ni stress za u-single mother au kuachwa na Mumewe kwa maamuzi kama hayo yalishamgharimu so anaona ni vyema tu kumshauri Ke mwenziye pumba ili wote wakose, si unajua tena adui wa mwanamke ni mwanamke mwenziye?Mke wangu akiwa na rafiki kama wewe nampa talaka siku hiyo hiyo, you are so destructive
It seems you are speaking your sensesUsilipe uzito hilo jambo ni kawaida hasa ukishafikiria kuwa hakuna mkamilifu duniani.. Wanaume ndivyo walivyo mumy na ht ukisema uondoke upate m'ume mwingine ni yale yale tu. Tena wew shukuru kakiri kosa na kuomba msamaha wengi wao huo msamaha utausikia kwenye paa la nyumba
Usijilazimishe kusamehe kwa haraka jipe muda moyo utasamehe taratibu
Unatujua???Single mothers washavamia uzi kwa u-feminism wa kiwango cha fly over road.
Sawa, endelea kumshauri mleta mada akachepuke na atiwe mimbaSasa na yeye katuliza moyo wake na kapata furaha
Nimemwelewa, hiyo mimba atakayotiwa nje ya ndoa sijui atalea naniWakati mwingine huenda ni stress za u-single mother au kuachwa na Mumewe kwa maamuzi kama hayo yalishamgharimu so anaona ni vyema tu kumshauri Ke mwenziye pumba ili wote wakose, si unajua tena adui wa mwanamke ni mwanamke mwenziye?
You are so wise mkuu.Pole sana mamii,
Your kids comes first, ni hali ambayo almost kila mwanamke analipitia au ameshaipitia ndani ya ndoa yake,
Tofauti ni mapokeo tu, kila mtu kuna namna anavyolipokea jambo fulani na kulikubali au kutokulikubali
Kama ulivyosema ameomba msamaha, take as much time as you can na ujaribu kukubali huo ukweli, samehe, focus, maisha yaendelee,
Ukiwaza sana utajiumiza, kumbuka mna watoto wawili, labda tu nikwambie ALL MEN cheats, wametofautiana tu style ya kucheat, wengine wakecheat wanafanya siri sana hata mke hajui wala haonyeshi tofauti yoyote nyumbani, ila wengine wakianzisha mahusiano nje unagundua maana everything change for worse
Usithubutu kuwaza kuanzisha mahusiano nje, utakua unaharibu zaidi ukizingatia watoto wanahitaji mwongozo wako
Jaribu kumwomba Mungu akupe amani ya moyo,uweze kusamehe na kusahau kabisa.
Otherwise, nakupa pole sana