Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Sasa kinachobaki kulea watoto tu basi hamuachani kila mtu a mind bussiness zake ukimwamini mtu akuzingue upendo hufa kabisa hata ufanyeje situation won't be the same again mnaishi kwa mazoea why mjidaganye ooh vumilia wanaume wote wako hivi kah.
Hata hao watoto wajifunze tu hivo hivo kuwa udanganyifu si mzuri na ndio maana wa Africa uongo na uchafu mwingi.
Duuuh
 
Embu tafuta kidume cha mbegu huko pembeni mi sijaolewa ila nikigundua mwanaume anachepuka huwa siumizi roho nani anapenda kuangalia mashine ile ile kila siku, yeye anatamani uchi mpya hata mimi natamani dushe jipya [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] ninajifunza na style mpya huko niendako
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe ni Mimi kabisa siweki mtu moyoni namweka kiunoni akizingua tingisha tupa kule hata Kama tumezaa. Mwanamke mwenzetu alipenda na kusahau kazi ya moyo kusukuma damu
 
Nimeshangaa huyu mwanaume kwanza anazalilisha wanawake sio Uzi huu tu hata nyingine kwahyo ku comments tofauti na wanaume wanachopenda kusikia ndio dhihaka, hafu eti single mother wakati hata labour sijaenda
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ndio huwa wanakimbilia kusema hilo neno wakiishiwa hoja. As if single mother ni tusi
 
Pole sana. Ndoa si lelemama kama alicheat haimaanishi hakupendi. Yesu ndio alishindwa kujaribiwa na shetani. Kuna mashetani wengi kwenye umbo la binadamu. Kuna wanawake wanajua kuseduce waume za watu mpaka wanaingia line.

Usifikiri watu wanasheherekea miaka 50 ya ndoa ilikua ni vicheko tu

Muombe Mungu wako akuongoze kwenye kutenda jambo sahihi. Ni wewe mwenyewe ndio mwenye funguo ya future life yako.
 
Kuna shida ipo, inawezekana nayeye hana hisia na wewe tena. Ukiwa mjuaji au haumueshimu mumeo, thats a natural consequence. Heshima kwa mwanaume ni kitu cha kwanza. Jitathmini wewe kwanza, hatuwezi kutoa hukumu kwa kusikiliza ushaidi wa upande mmoja. Tafakari
 
Pole sana mamii,
Your kids comes first, ni hali ambayo almost kila mwanamke analipitia au ameshaipitia ndani ya ndoa yake,

Tofauti ni mapokeo tu, kila mtu kuna namna anavyolipokea jambo fulani na kulikubali au kutokulikubali

Kama ulivyosema ameomba msamaha, take as much time as you can na ujaribu kukubali huo ukweli, samehe, focus, maisha yaendelee,

Ukiwaza sana utajiumiza, kumbuka mna watoto wawili, labda tu nikwambie ALL MEN cheats, wametofautiana tu style ya kucheat, wengine wakecheat wanafanya siri sana hata mke hajui wala haonyeshi tofauti yoyote nyumbani, ila wengine wakianzisha mahusiano nje unagundua maana everything change for worse

Usithubutu kuwaza kuanzisha mahusiano nje, utakua unaharibu zaidi ukizingatia watoto wanahitaji mwongozo wako

Jaribu kumwomba Mungu akupe amani ya moyo,uweze kusamehe na kusahau kabisa.

Otherwise, nakupa pole sana

Hawa ALL MEN CHEATS WANAFANYA NA WANAWAKE

Tuseme pia Even ALL WOMEN CHEAT EITHER kubalance story
 
Hongera sana kwankuwa muaminifu, kama ulivyoona comments za me wengi hapo juu, wamekiri kwamba hawaridhiki na mwanamke mmoja

Unajua hii concept Au dhana yakuwa haturidhiki na Mwanamke mmoja mbona kama iko so overrated na labda ni group flani la jamii limeamua kuifanya ikubalike miongoni mwao pengine haifanyi kazi hivyo
 
Wa Africa tuna unafiki nilipenda Sana kina Jada walikuwa wa wazi tu kuhusu mahusiano ukiona watoka nje ujue huna love kwanini u force. Mimi na prefer mnaanza chepuka ambianeni mubaki mnalea watoto kila mtu akatafte starehe nje akichoka arudi
Duuuh labda kama huyo mwanaume ni mfilipino ndio atakubali huo ushauri wako,ukiona huwezi samehe unajikata kiroho safi ukaanze maisha mengine ila sio kwangu
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.

Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Kama una uhakika wa kumpata mwanaume asiyecheat basi nakushauri umuache kisha umtafute huyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duuuh labda kama huyo mwanaume ni mfilipino ndio atakubali huo ushauri wako,ukiona huwezi samehe unajikata kiroho safi ukaanze maisha mengine ila sio kwangu
Mimi kwanini ni fake chakufia Nini Sina hisia na wewe kwanini nidaganye nakuruhusu ulete michepuko yote tuishi pamoja
 
Siku zote aunt ako sipendi nimuudhi kwa huo upuzi, yeye ni mama, rafiki, mfariji na msiri wangu,na zaidi ni mpenzi wangu. Mwisho kabisa ni mama wa watoto wangu, ana thamani ya pekee.
Vizuri sana anko, hujawahi kutuangusha mimi na aunt
 
Back
Top Bottom