Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake ndo wanataka mhogo huo huo kila siku?? Ukute hata round mbili huwez kila siku unakuja umechoka
We tafuta hela tushibe vijana wa boda wapige show za ukweli wakati upo busy kwa mchepuko ukirudi mwepesiiiiiii
Hamna tatizo! Ila mleta mada atakuwa ameshaelewa kuwa hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja, labda awe na matatzo either ya kiuchumi au ukuni hauchapi kazi. Aachane na mumewe aende kwa mwingine aone, beat ni lile lile, kwaito
 
Amu [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Nikuombee ama nikuache utajiombea mwenyewe? Yesu akutunze
[emoji28][emoji28][emoji28] Halafu mchungaji wangu leo kanitoa kwenye group la kanisani.
Kanipa mawazo sijui alipata maono kuwa nimepost aina hiyo ya picha.
Niombee tu mama.
 
Hamna tatizo! Ila mleta mada atakuwa ameshaelewa kuwa hakuna mwanaume anayeridhika na mwanamke mmoja, labda awe na matatzo either ya kiuchumi au ukuni hauchapi kazi. Aachane na mumewe aende kwa mwingine aone, beat ni lile lile, kwaito
Ni vizuri kajua mapemaaa na yeye apate pa kuenjoy maisha yanakua na amaniii hamna kusumbuanaaa kabisaa
 
Hamna hata ufanye Nini wanaume Ni selfish sanaa, esp kashajionea. Kama aliona amepunguza utundu kwanini asiongee nae warekebishe waenjoy
Na tangu nianze kucheat inawasaidia Nini zaidi ya kuharibu furaha za familia, kusababisha wake zenu roho mbaya na kuishi na nyie kwa kujihami(kuficha hela)
Na akipata mtu akamtongoza akiwaza ushamcheat anakubali fastaaa tofauti na asingekuw anajua umecheat
Enjoy your life baby hawanaga jemaaaa
Umeandika harakaharaka Sana Mama Terry, relax, calm urself down, kunywa maji glasi moja, Vuta hewa kwa nguvu ndani , itulize kidogo Kisha itoe kwa nguvu, ndipo Anza kuandika!
Ni kwamba Mara nyingi ninyi wake zetu mnapozaa, sijui ni kwa sababu majukumu huongezeka huwa mnatusahau Sana Kuwa nasi ni watoto wakubwa...attention asilimia 200 kwa watoto na sisi tunajikuta tumekosa nafasi, na hata tukijaribu kuwaambie huwa ndio kwanza mnaona Kama tunawagasi! Kama unakumbukumbu nzuri, tafakari vizuri Kama hujawahi lalamikiwa na mumeo kuhusu mahitaji yake ya msingi...na pia kumbuka ni majibu gani uliyompa! Ukimstahi Sana utajisingizia unaumwa...lakini Mara nyingi utaanza kumshutumu mpaka atajiona Kama amekuwa kibaka nyumba kwake mwenyewe! Yakiendelea Sana hayo mnaendeleaga kuchukuliwa poa na kuzoea kutoa attention kwa mgao ambao mnaotaka ninyi! Sasa mjue wanawake ni wengi zaidi mtaani na Kila wakati wanatunyemelea...na wakipewa nafasi yaani mpaka migongoni tunabebwa na vionjo vinginevyo vingi hawana hiyana kuvitoa...Sasa kinachofuata unapanic kwa matokeo uliyoyayaandaa mwenyewe! Kama ni mwanawake wenye hadhi ya Kuwa mke najua utaelewa nachoongelea...lakini Kama ndio wale walioingilia kalama za watu kwa kujiingiza kwenye ndoa wakati wao walipaswa Kuwa barmaids na changudoas hii msg itaangukia kwenye sijui kiziwi!
 
Utajijua bwana...

Muache uende huko duniani udhani wa huko ndio hawa-cheat ndio utaelewa vizuri...

Achika,wanawake wengine wamchukue na wewe uchukuliwe na hao wanaume ambao "hawacheat" wa kufikirika!

Hivi mwanaume ku-cheat ni ishu siku hizi?

Kwanza ulijuaje ana-cheat kwa kidhibiti kipi,tuanzie hapo maana utatuletea utoto wa nilikagua simu,ulitokana nayo wapi to begin with?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyo mwanaume kama ameomba msamaha,nae ni kiazi..anatakiwa kukana everything....

Na huyo mwanamke kama anajitia hana mapenzi nae tena,ni well and good,na akijitusu tu nae a-cheat akishikwa ndio ndoa inafia hapo hapo siku hiyo hiyo.

Na kama ukikaa humo ndani ndio unajifanya humpendi tena,viburi,etc,unajipoteza tu maana huo usumbufu wa kukaa kama alien ni wako and he never cares what you actually feel maana nobody is in your heart or brain,she will sit on that shit...

Hivi viwanawake mume aki-cheat vinapaniki kupita maelezo ni visichana vya hovyo vyenye feminism ndani na vyenye theory ya mashindano
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28] we jamaa huwa unanipunguzia stress
 
Na wewe chepuka tu hapo kilichobaki nikulea watoto cheating haisameheki kabisa hasa mtu uliye mwamini, Hawa viumbe huua nyege za wake zao. Nakuhurumia maskini kiukweli na wewe chepuka tu ngoma droo wallah
Ha ha ha
 
Sasa kinachobaki kulea watoto tu basi hamuachani kila mtu a mind bussiness zake ukimwamini mtu akuzingue upendo hufa kabisa hata ufanyeje situation won't be the same again mnaishi kwa mazoea why mjidaganye ooh vumilia wanaume wote wako hivi kah.
Hata hao watoto wajifunze tu hivo hivo kuwa udanganyifu si mzuri na ndio maana wa Africa uongo na uchafu mwingi.
Mimi yote afanye, tatizo kuniletea ukimwi hapo tu[emoji848][emoji848]
 
Embu tafuta kidume cha mbegu huko pembeni mi sijaolewa ila nikigundua mwanaume anachepuka huwa siumizi roho nani anapenda kuangalia mashine ile ile kila siku, yeye anatamani uchi mpya hata mimi natamani dushe jipya [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4] ninajifunza na style mpya huko niendako
Tatizo maradhi dear

Mimi afya ndo kila kitu, yy kuto..mba huko hainiumi je, coz na mi sio msafi kiviile
 
Dadangu nimekwambia mruhusu mumeo aoe mke mdogo ili ukae mlee tu watoto wenubasi. Wanaume sisi asili yetu ni polygami, hata mm nna mke ila nna wanawake wako mikoa tofauti, nnapoishi nna mmoja dar mmoja mwanza mmoja na bukoba mmoja owte ni wanawake wangu and wanajuana na wote wana watoto wangu na ninawajibika kwao na kila mtu ana nyumba yake sio ya kupanga nimewajengea in case heta nikitangulia mbele za haki wanangu wasiteseke. And still I am 39 years now. Wanawake wangu wananipenda sana huwa nawakusanya kila skukuu tunafurahia pamoja na wanangu. Hiyo ndo style nloamua kuishi na wote wamekubaliana na mm

Mkuu hao wanawake wako huko waliko una uhakika hawana wanaume wengine aisee
 
angalia mazuri aliyofanya na anayofanya kwako,usiangalie negativity za kila jambo hutaishi kwa amani maisha,heshima ndo kitu cha mhimu kwenye ndoa,yawezekana kuna sehemu umemkosea lakini yeye akakaa kimya,wanaume tunatembea na mengi,kama ukishindwa kabisa basi jipe likizo ya miezi miwili halafu tathmini kama bado unamhitaji usijekufanya vitu kwa mihemko,kama ukiona unaweza ishi bila yeye basi karibu kwenye maisha ya ubachela japo huku kunachangamoto nyingi kuliko ndoani
 
M
nyakoo you are too selfish! Wewe ndiye chanzo cha mumeo kukucheat. Kitu cha msingi kwa naye muulize akueleze ulipoteleza. Inaonesha anakupenda sana
Mwanaume yeye huwa hatelezi? Nadhani wanaume tunajitengenezea mazingira ili tuonekane bila kucheat kwetu haiwezekani. Jamani wapo wanaume wanaridhika na mwanamke mmoja maisha yote. Mimi mmoja wao.
 
Umeandika harakaharaka Sana Mama Terry, relax, calm urself down, kunywa maji glasi moja, Vuta hewa kwa nguvu ndani , itulize kidogo Kisha itoe kwa nguvu, ndipo Anza kuandika!
Ni kwamba Mara nyingi ninyi wake zetu mnapozaa, sijui ni kwa sababu majukumu huongezeka huwa mnatusahau Sana Kuwa nasi ni watoto wakubwa...attention asilimia 200 kwa watoto na sisi tunajikuta tumekosa nafasi, na hata tukijaribu kuwaambie huwa ndio kwanza mnaona Kama tunawagasi! Kama unakumbukumbu nzuri, tafakari vizuri Kama hujawahi lalamikiwa na mumeo kuhusu mahitaji yake ya msingi...na pia kumbuka ni majibu gani uliyompa! Ukimstahi Sana utajisingizia unaumwa...lakini Mara nyingi utaanza kumshutumu mpaka atajiona Kama amekuwa kibaka nyumba kwake mwenyewe! Yakiendelea Sana hayo mnaendeleaga kuchukuliwa poa na kuzoea kutoa attention kwa mgao ambao mnaotaka ninyi! Sasa mjue wanawake ni wengi zaidi mtaani na Kila wakati wanatunyemelea...na wakipewa nafasi yaani mpaka migongoni tunabebwa na vionjo vinginevyo vingi hawana hiyana kuvitoa...Sasa kinachofuata unapanic kwa matokeo uliyoyayaandaa mwenyewe! Kama ni mwanawake wenye hadhi ya Kuwa mke najua utaelewa nachoongelea...lakini Kama ndio wale walioingilia kalama za watu kwa kujiingiza kwenye ndoa wakati wao walipaswa Kuwa barmaids na changudoas hii msg itaangukia kwenye sijui kiziwi!
Kweli unajua uzazi unakuja na complication nyingi, na nakuambia ukimsaidia mkeo kwenye uzazi na hata kumlea mtoto, usiku mnasaidiana na aone kabisa una upendo nae atarelax na hamu itakuja fastaa,
Me nilijifungua napataga hamu ya tendo haraka sana hata siku 40 naziona nyingi na lazima niwe msafi na Nampa tunaanza taratibu taratibu na tunaendelea.
Yote hayo Ni possible cause ananijali ananisaidia na majukumu so lazima akili yangu itakua karibu nae sanaaa.
Sasa wewe nenda huko nje chepuka ukija unaniona sifai as huna hamu Tena.
Wanawake wengi Sana wanalalamika wakijifungua mnakua busy na michepuko Hadi mnajidai Kama vile mnatuonea huruma kusex , wengine Hadi mke anakuomba humpi sanasana unamwambia mwanaume lazima achepuke.
Sasa mfano ungeniambia hata iweje huwez kuridhika na Mimi unataka niwe nalia kila siku? Au nifanye Nini? Manake hata niongezee mautundu nikubebe mgongoni utachepuka tu
Basi solution Ni kutafuta furaha yangu ambayo inaweza kuwa kwa style nyingi but as long as am happy
 
Upo vizuri na utakua na furaha Sana kwenye ndoa yako
QUOTE="The Hebrew, post: 36198984, member: 272714"]
M

Mwanaume yeye huwa hatelezi? Nadhani wanaume tunajitengenezea mazingira ili tuonekane bila kucheat kwetu haiwezekani. Jamani wapo wanaume wanaridhika na mwanamke mmoja maisha yote. Mimi mmoja wao.
[/QUOTE]
 
[emoji2788]my future husband popote ulipo...nasema hiviiii I don't care how much u are going to cheat me...AI DONT KEA...I will eat food..eat your d*ck... enjoy my life take care of our babies...and steal your money...and start a business... idiot organism..[emoji849][emoji849]
Ahaaaahaaaa[emoji134][emoji1787][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.

Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Dada, msamaha wa mapenzi si kama msamaha mwingine wowote mtu awezao utoa, unaweza kusamehe ila moyo kuachia na kuishi kama zamani si rahisi. Unahitaji kadhaa;
1. MUDA ni dawa kubwa sana, hata kama kaomba radhi unahitaji muda wa kutosha kuflash moyo wako ukae sawa na hata hivyo kuna kikasoro flani kitabaki na hakitafutika moyoni milele (yaani haitatokea ikawa kama mwanzo).
2. Muombe Mungu akuwezeshe kusamehe. Nilijuaga naweza samehe kiurahisi mpaka mpenzi wangu aliponicheat ndio nkajua kusamehe si rahisi. Ila dawa ya kusamehe ni Mungu akuwezeshe, uasilia wetu wa ubinadamu ni ngumu sana.
3. Unahitaji kukaa na mume wako karibu zaidi, japo ni maumivu ila ndio dawa yako ya kumsamehe. Ukikaa nae mbali na kujitenga nae ndio tatizo zaidi, mnahitaji muda mwingi zaidi pamoja na itakusaidia sana sana. Hapa hutanielewa kiurahisi mpaka utakapoweza kusamehe utaelewa nini maana yake.

MUNGU AKUSAIDIE.
 
Kweli unajua uzazi unakuja na complication nyingi, na nakuambia ukimsaidia mkeo kwenye uzazi na hata kumlea mtoto, usiku mnasaidiana na aone kabisa una upendo nae atarelax na hamu itakuja fastaa,
Me nilijifungua napataga hamu ya tendo haraka sana hata siku 40 naziona nyingi na lazima niwe msafi na Nampa tunaanza taratibu taratibu na tunaendelea.
Yote hayo Ni possible cause ananijali ananisaidia na majukumu so lazima akili yangu itakua karibu nae sanaaa.
Sasa wewe nenda huko nje chepuka ukija unaniona sifai as huna hamu Tena.
Wanawake wengi Sana wanalalamika wakijifungua mnakua busy na michepuko Hadi mnajidai Kama vile mnatuonea huruma kusex , wengine Hadi mke anakuomba humpi sanasana unamwambia mwanaume lazima achepuke.
Sasa mfano ungeniambia hata iweje huwez kuridhika na Mimi unataka niwe nalia kila siku? Au nifanye Nini? Manake hata niongezee mautundu nikubebe mgongoni utachepuka tu
Basi solution Ni kutafuta furaha yangu ambayo inaweza kuwa kwa style nyingi but as long as am happy
Mama Terry, usichanganye porojo za 'mwanaume lazima a'cheat'! Hizo ni za wavulana! Ila mwanaume anayejitambua ukimuona ame'cheat' ujue kabisa umemsukumiza wewe mwenyewe huko na ukimvuta kwa upendo wenye mautundu atarudi barabarani! Hivi unajua kisaikologia hivi unafikiri huwa mtu anajisikiaje anapikuwa kwa mchepuko pasi kujua home Nini kinaendelea!
Kama mke mwenye kukielewa na umeolewa na mwanaume na siyo mvulana, unanafasi kubwa Sana ya kumuweka mumeo barabarani pasi kukosea njia na kujikuta vichakani! We all want to drive on tarmac road unless you push us aside!
By the way, wanaume tunapenda Sana kushiriki ktk ulezi wa watoto wetu! Hata kuwabadirisha nepi na pambasi huwa hatuna hiana!
 
Unampaga jicho? Jitafakari huenda unambania kitu alichokifata nje ya ndoa. Pigana mama umsikilize mumeo
Wanaume tuliumbiwa utoto fulani kwenye akili kuhusu mapenzi.... Tunapenda vikolombwezo vidogovidogo ambavyo ni vya ajabuajabu ujue
Kubabaake acha nife singo[emoji15][emoji15] jicho what the fuvk[emoji848]
 
Back
Top Bottom