Wenzangu, mnawezaje kuishi na wanawake wababe?

Wenzangu, mnawezaje kuishi na wanawake wababe?

Godoro la kioo

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2025
Posts
436
Reaction score
934
Salam. Wakuu moja kwa moja kwenye mada

Wakuu nina demu wangu yapata sasa miezi minne kabila lake ni Mjita

Kiuhalisia hana shida kwani ananifanyia kila kitu ambacho mwanamke anatakiwa kumfanyia mwanaume

Lakin kuna tabia moja naona imeanza kunichosha
Demu ni mbabe mbabe haswaa
Ana kauli za kibabe mpaka kuna muda nakaa najilaumu
Mkipishana kidogo utasikia '' Yaani mimi kuachwa wala hata siwazi'' au "ww kama hunitaki niambie hata sasa hivi"

Nishamuonya sana anadai atabadilika baadae tena unakutana na hali ile ile

Kuna muda unaweza ukamuuliza kitu hilo jibu utakalokutana nalo likakupandisha hasira

Kuna siku tulipishana kidogo akaanza kudai tuachane mara tafuta mwanamke mwingine nikamuuliza "unamaanisha" akajibu "ndiyo" nikaitikia "sawa" na nikampotezea cha ajabu anakuja kunitafuta anasema alipitiwa

Demu ukimuita utasikia anaitika oyoo
Kuna muda ananiita Chalii
Mpaka kuna muda nahisi au ndo ile kaliba ya matomboy au labda malez aliokulia

Nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanawake wa hivi
 
Acha tabia ya kumuacha aendelee na toxic ultimatums, akikwambia "niambie kama hunipendi," jibu ndiyo ili aelewe kuwa threats zake hazikupi fear.

Badala ya kubishana, kuwa mtu wa kumtoa nishai pale anapotumia lugha ya kiume mf "oyaa"), call out utoto wake mara moja, akiona haupati reaction anayotaka, lazima tu atapunguza.
 
Salam. Wakuu moja kwa moja kwenye mada

Wakuu nina demu wangu yapata sasa miezi minne kabila lake ni Mjita

Kiuhalisia hana shida kwani ananifanyia kila kitu ambacho mwanamke anatakiwa kumfanyia mwanaume

Lakin kuna tabia moja naona imeanza kunichosha
Demu ni mbabe mbabe haswaa
Ana kauli za kibabe mpaka kuna muda nakaa najilaumu
Mkipishana kidogo utasikia '' Yaani mimi kuachwa wala hata siwazi'' au "ww kama hunitaki niambie hata sasa hivi"

Nishamuonya sana anadai atabadilika baadae tena unakutana na hali ile ile

Kuna muda unaweza ukamuuliza kitu hilo jibu utakalokutana nalo likakupandisha hasira

Kuna siku tulipishana kidogo akaanza kudai tuachane mara tafuta mwanamke mwingine nikamuuliza "unamaanisha" akajibu "ndiyo" nikaitikia "sawa" na nikampotezea cha ajabu anakuja kunitafuta anasema alipitiwa

Demu ukimuita utasikia anaitika oyoo
Kuna muda ananiita Chalii
Mpaka kuna muda nahisi au ndo ile kaliba ya matomboy au labda malez aliokulia

Nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanawake wa hivi
Wewe endelea kurembua macho mpaka siku atakayokumwagia mchuzi wa moto ndiyo akili zitakurudia.
 
Salam. Wakuu moja kwa moja kwenye mada

Wakuu nina demu wangu yapata sasa miezi minne kabila lake ni Mjita

Kiuhalisia hana shida kwani ananifanyia kila kitu ambacho mwanamke anatakiwa kumfanyia mwanaume

Lakin kuna tabia moja naona imeanza kunichosha
Demu ni mbabe mbabe haswaa
Ana kauli za kibabe mpaka kuna muda nakaa najilaumu
Mkipishana kidogo utasikia '' Yaani mimi kuachwa wala hata siwazi'' au "ww kama hunitaki niambie hata sasa hivi"

Nishamuonya sana anadai atabadilika baadae tena unakutana na hali ile ile

Kuna muda unaweza ukamuuliza kitu hilo jibu utakalokutana nalo likakupandisha hasira

Kuna siku tulipishana kidogo akaanza kudai tuachane mara tafuta mwanamke mwingine nikamuuliza "unamaanisha" akajibu "ndiyo" nikaitikia "sawa" na nikampotezea cha ajabu anakuja kunitafuta anasema alipitiwa

Demu ukimuita utasikia anaitika oyoo
Kuna muda ananiita Chalii
Mpaka kuna muda nahisi au ndo ile kaliba ya matomboy au labda malez aliokulia

Nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanawake wa hivi
Pole sana bro haya inayopitia hata mimi yananikuta.hakuna wanawake wababe kama wa kutoka singida.mimi nimeoa mnyaturu ni mbabe,kiburi,mbishi ni balaa.yeye akiamua jambo habadiliki.jamani singida msioe mtapata shida sana unless mjishushe kama mimi ili maisha yaendelee.msione uzuri wao,rangi zao hao hawafai kabisa.
 
Aisee hao wajita hawafai,kuna kipindi nishakuta wa design hiyo nilipiga chini. Demu mbabe balaa na kingine kusema asante au kushukuru kwake ni mtiti halafu kwakuomba msamaha sasa mwepesi kishenzi lakini dakika mbili kashasahau anarudi tena kulekule mpaka nikahisi huyu dish limecheza.
 
Pole sana bro haya inayopitia hata mimi yananikuta.hakuna wanawake wababe kama wa kutoka singida.mimi nimeoa mnyaturu ni mbabe,kiburi,mbishi ni balaa.yeye akiamua jambo habadiliki.jamani singida msioe mtapata shida sana unless mjishushe kama mimi ili maisha yaendelee.msione uzuri wao,rangi zao hao hawafai kabisa.
Pole sana kwa kuolea mtaa.
 
Salam. Wakuu moja kwa moja kwenye mada

Wakuu nina demu wangu yapata sasa miezi minne kabila lake ni Mjita

Kiuhalisia hana shida kwani ananifanyia kila kitu ambacho mwanamke anatakiwa kumfanyia mwanaume

Lakin kuna tabia moja naona imeanza kunichosha
Demu ni mbabe mbabe haswaa
Ana kauli za kibabe mpaka kuna muda nakaa najilaumu
Mkipishana kidogo utasikia '' Yaani mimi kuachwa wala hata siwazi'' au "ww kama hunitaki niambie hata sasa hivi"

Nishamuonya sana anadai atabadilika baadae tena unakutana na hali ile ile

Kuna muda unaweza ukamuuliza kitu hilo jibu utakalokutana nalo likakupandisha hasira

Kuna siku tulipishana kidogo akaanza kudai tuachane mara tafuta mwanamke mwingine nikamuuliza "unamaanisha" akajibu "ndiyo" nikaitikia "sawa" na nikampotezea cha ajabu anakuja kunitafuta anasema alipitiwa

Demu ukimuita utasikia anaitika oyoo
Kuna muda ananiita Chalii
Mpaka kuna muda nahisi au ndo ile kaliba ya matomboy au labda malez aliokulia

Nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanawake wa hivi
Unapima mazuri yake na mabaya yake,hapo ndipo unaamua nini cha kufanya,maana hakuna binadamu asiye na dosari,ukiona mazuri ni mengi basi mnavumiliana
 
Jipime mwenyewe kama unaweza kuhimili, kama huwezi basi achana naye....

"A man's ambitions should never exceed his worth"

Mambo mengine unajipima tu na obvious roho inakuambiwa Tu Hili huwezi hata ufanyeje lakini huwa tunapuuzia na ndio milio inapokuwa mingi, sio Kila mzigo ni wa kuubeba, beba mzigo unaoweza kuvumilia...
 
Salam. Wakuu moja kwa moja kwenye mada

Wakuu nina demu wangu yapata sasa miezi minne kabila lake ni Mjita

Kiuhalisia hana shida kwani ananifanyia kila kitu ambacho mwanamke anatakiwa kumfanyia mwanaume

Lakin kuna tabia moja naona imeanza kunichosha
Demu ni mbabe mbabe haswaa
Ana kauli za kibabe mpaka kuna muda nakaa najilaumu
Mkipishana kidogo utasikia '' Yaani mimi kuachwa wala hata siwazi'' au "ww kama hunitaki niambie hata sasa hivi"

Nishamuonya sana anadai atabadilika baadae tena unakutana na hali ile ile

Kuna muda unaweza ukamuuliza kitu hilo jibu utakalokutana nalo likakupandisha hasira

Kuna siku tulipishana kidogo akaanza kudai tuachane mara tafuta mwanamke mwingine nikamuuliza "unamaanisha" akajibu "ndiyo" nikaitikia "sawa" na nikampotezea cha ajabu anakuja kunitafuta anasema alipitiwa

Demu ukimuita utasikia anaitika oyoo
Kuna muda ananiita Chalii
Mpaka kuna muda nahisi au ndo ile kaliba ya matomboy au labda malez aliokulia

Nyie wenzangu mnawezaje kuishi na wanawake wa hivi
Pole. Tafuta wa kufanana na wewe, huyo wako kuna watu anaendana nao vizuri bila shida
 
Back
Top Bottom