Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Mkosaji ni mume wako, kama amekiri na kuomba msamaha,basi,amani ya Nafsi yako na mwenza wako itategemeana na maamuzi yako ya kusamehe na kupuuza.

Kama unampenda kweli usije ukajaribu kulipa kisasi kwa kuchepuka,pia usipende kutegemea ushauri kwa watu wengine kwenye masuala ya ndoa maana unaye muomba ushauri yeye mwenyewe yupo kwenye mgogoro japo utakuwa tofauti na wako. Ukisikia "wanaume wote ni mambwa tu" ujue naye kaumizwa ila kiukweli sisi sio mambwa. Tukiomba msamaha ujue ni wa dhati kabisa.

Msamehe baby wako pluziii,anateseka huko alikoView attachment 1521897
Huyo mwanaume kama ameomba msamaha,nae ni kiazi..anatakiwa kukana everything....

Na huyo mwanamke kama anajitia hana mapenzi nae tena,ni well and good,na akijitusu tu nae a-cheat akishikwa ndio ndoa inafia hapo hapo siku hiyo hiyo.

Na kama ukikaa humo ndani ndio unajifanya humpendi tena,viburi,etc,unajipoteza tu maana huo usumbufu wa kukaa kama alien ni wako and he never cares what you actually feel maana nobody is in your heart or brain,she will sit on that shit...

Hivi viwanawake mume aki-cheat vinapaniki kupita maelezo ni visichana vya hovyo vyenye feminism ndani na vyenye theory ya mashindano
 
Tuliza akili,fanya maamuzi ya busara kwa kutumia akili na sio hisia( hasira).Waza kesho yako katika hiyo ndoa,waza jana yako katika ndoa.Tafuta mizania ya mazuri yote uliyofanya na mumeo na mabaya yaliyotokea then tafuta uzito upo wapi.Kumbuka," akili za kuambiwa changanya na zako".
 
Usilipe uzito hilo jambo ni kawaida hasa ukishafikiria kuwa hakuna mkamilifu duniani.. Wanaume ndivyo walivyo mumy na ht ukisema uondoke upate m'ume mwingine ni yale yale tu. Tena wew shukuru kakiri kosa na kuomba msamaha wengi wao huo msamaha utausikia kwenye paa la nyumba
Usijilazimishe kusamehe kwa haraka jipe muda moyo utasamehe taratibu
 
Yeye Hali raha kisa mume ukitaka mahusiano lazima uwe na vidumu vitatu bila hivo ndoa inakufa kah, ujue huwa kunakuchokana tu basi, nikiwa na vidumu nikikufuma hata hatugombani, pia kwanini nimpende mtu mwingine kuliko kujipenda nafsi yangu na wanangu.
Kwa hiyo dawa ya moto ni moto!! Hao watoto watajifunza zaidi kwenye hiyo battle ya wazazi au sio!!
 
"sisi wanume wote" is such a strong word. Things are not the same and i dont think they will ever be. Kama unaelewa maana ya ndoa lakini.

Mkuu nakuomba njoo PM kuna la kukushauri unaweza kuchukua
 
Usilipe uzito hilo jambo ni kawaida hasa ukishafikiria kuwa hakuna mkamilifu duniani.. Wanaume ndivyo walivyo mumy na ht ukisema uondoke upate m'ume mwingine ni yale yale tu. Tena wew shukuru kakiri kosa na kuomba msamaha wengi wao huo msamaha utausikia kwenye paa la nyumba
Usijilazimishe kusamehe kwa haraka jipe muda moyo utasamehe taratibu
Mungu akuzidishie hekima na akutunze.
 
Kwa hiyo dawa ya moto ni moto!! Hao watoto watajifunza zaidi kwenye hiyo battle ya wazazi au sio!!
Sasa kinachobaki kulea watoto tu basi hamuachani kila mtu a mind bussiness zake ukimwamini mtu akuzingue upendo hufa kabisa hata ufanyeje situation won't be the same again mnaishi kwa mazoea why mjidaganye ooh vumilia wanaume wote wako hivi kah.
Hata hao watoto wajifunze tu hivo hivo kuwa udanganyifu si mzuri na ndio maana wa Africa uongo na uchafu mwingi.
 
Embu mshirikishe mama yako mzazi kama yupo,au bibi yako,kama wote hawapo tafuta mama mtu mzima unayemheshimu mtaani kwako au kazini kwako usikie nini atakwambia.

Nina imani utajifunza makubwa ambayo hukuwahi kuyafikiria na si ajabu ukajiona una bahati sana.

Sisi wanaume nasema sisi sababu,tuko na sifa zinazoendana.hatutosheki na mwanamke mmoja wote,ila ukipata mwanaume anayekula nje na anakumbuka familia yake(mpaka kukuomba msamaha)mama shukuru Mungu.

Maana mimi ni mwanaume,ila kuna baadhi ya wanaume ni mbwaa.anatoka na ukihoji inakuwa tatizo.

Remember the glass is always greener outside the fence,unaweza hisi labda sababu wako ni mfupi,kumbe walaa,kila mtu ana majanga yake mbali mbali.
 
Ndio ukubwa huo sasa!hapo sasa ukivuka katika hilo ndoa yako na nafsi yako itakuwa na amani saaana!
utajifunza kujipenda wewe kwanza na kujipa furaha,hutomuwaza huyo msaliti tena!yaani arudi nyumbani mapema au achelewe wewe kwako sawa tu! Anakua rafiki yako tu sasa maana ule upendo wa ndani wa juu kabisa unakua umeisha! Wanawake tukipenda halafu tukaumizwa ndio tunakua hivyo[emoji26]inauma saaaana saaaana!!!haiishi hasira yake,muombe mungu akuepushe na chuki na kisasi dhidi yake ile ya wazi! ila kifupi ni kwamba hali ya moyo wako haiwezi kuwa kama zamani tena,never ever hasa ukiwa ulimpenda sana,ulitimiza majukumu yako kwake kama mke,hukuwahi kumsaliti wala kumvunjia heshima!! HAKIKA INAUMA,najua Viatu vyako mummy!pole sana muda utaamua
 
Mwenzenu yamenikuta na kusema za ukweli nashindwa kabisa kuelewa namna ya kutoka hapa na kusonga mbele.

Ni mume nilompenda sana sana sana. Mungu katujaalia two beautifull kids na mengine ambayo am greatfull for. Tuliishi kwa upendo,furaha na amani hadi miezi 8 ilopita nilipogundua kuwa nilivyomdhania mume wangu sivyo alivyo.
Kwakuwa nampenda na kumfahamu sana mume wangu, kuna kitu nilikuwa tu nakihisi hakiko sawa kwa muda. Baadae nikagundua he was cheating. Yaani sitaki kuelezea mstuko niloupata na jinsi ninaumia jamani. Japo aliomba sana msamaha and all that ila moyo wangu umekufa ganzi wapendwa.

Mume nilompenda sana kwasasa namuona kama jirani yangu tu, hata hamu nae sina kabisa na hata tendo la ndoa ni kama ananibaka tu. Tushaongea sana, tushakwenda hadi vacation sie wawili tu ila sioni kinachobadilika. Akisafiri kikazi au mimi nikisafiri najisikia amani zaidi and i dont miss him kabisa.

Kuna wakati nilimuomba some alone time nifikirie kuhusu mustakabali wa hii ndoa, alinipa huo muda na kwa kipindi hicho cha wiki moja kichwani mwangu nilishangaa kunazunguka watoto wetu tu na sio mume wangu. Sijamueleza mtu yeyote kuhusu hili hata mama yangu wala mshenga wetu ila linanitafuna hatari.

Wenzangu mnawezaje kusamehe wanaume wanaowacheat na kurudi katika hali zenu za kawaida? Maana mie kwasasa mume wangu namuonaje sijui, nae naona hali hii inamtesa ila ndio hivyo tena[emoji134]
Sijisikii kumpenda wala kumheshimu tena, naona kama hadeserve kwa kutokuithamini na kuivuruga ndoa yetu.
Pole sana mamii,
Your kids comes first, ni hali ambayo almost kila mwanamke analipitia au ameshaipitia ndani ya ndoa yake,

Tofauti ni mapokeo tu, kila mtu kuna namna anavyolipokea jambo fulani na kulikubali au kutokulikubali

Kama ulivyosema ameomba msamaha, take as much time as you can na ujaribu kukubali huo ukweli, samehe, focus, maisha yaendelee,

Ukiwaza sana utajiumiza, kumbuka mna watoto wawili, labda tu nikwambie ALL MEN cheats, wametofautiana tu style ya kucheat, wengine wakecheat wanafanya siri sana hata mke hajui wala haonyeshi tofauti yoyote nyumbani, ila wengine wakianzisha mahusiano nje unagundua maana everything change for worse

Usithubutu kuwaza kuanzisha mahusiano nje, utakua unaharibu zaidi ukizingatia watoto wanahitaji mwongozo wako

Jaribu kumwomba Mungu akupe amani ya moyo,uweze kusamehe na kusahau kabisa.

Otherwise, nakupa pole sana
 
Back
Top Bottom