Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Mimba ni matokeo tu anaweza kujitahidi isitokee. Ila atafute heshima maana kuchepuka kunaleta heshima ya ndoa.
Sawa, Nyakoo nenda katafute mabwana tena sio mmoja tafuta watano wawe wanakupiga mtungo on a regular basis heshima utakayopata ni kubwa sana. Mungu akutangulie katika maamuzi utakayochukua.
 
Nisaidie kusema ndugu yangu. Surprisingily mke ndo anaonekana mjinga kwa kuumia; eti alitakiwa akubaliane tu na hilo mweeeeh. Hivi hizi ndoa huwa tunafunga za nini sasa kama tuna uhakika hatuwezi kukeep hizo vows? Tuishi tu kama majogoo na tetea tushee mambo kwa uhuru; kama kulea watoto na ngono mtu anaweza kuvipata bila hata ndoa. No need ya kuishi na makaratasi na lipete kidoleni ilhali unajua huwezi kutimiza kiapo cha ndoa. Tuwe na hofu ya Mungu
Yaaan weee acha tyuuuh dea aaaah
 
Hahaaa kiukweli wao wenyewe huwa hawaturidhishi kabisa wengi wanakuacha na hamu zako lakini unakuta wanahangaika huko nje. Jamani Mimi sioni shida mtu kutafta mridhisho popote pale bila kujali jinsia, binadamu ni ngumu kuridhika na kitu kimoja
Wewe kuna Uzi ulisema hujaolewa then hapa unasimulia experience za kuachwa na nyege na kuchakaa kwenye ndoa [emoji3][emoji3]
 
Hizi ndio hofu mnazojaza Dada zenu mxeeeew.
Kwanini nisiolewe au nisiwe na mwanaume?
Wewe ungekua Mwanaume ukakuta Mwanamke kaachika utaoa??
kwamba Mwanaume mwenzio alikua kiazi kumwacha huyo mwanamke?

mkiwaza upande wenu, jaribuni kuwaza na upande wa pili pia, inawezekana ila ni ngumu kupita maelezo
 
Sawa, Nyakoo nenda katafute mabwana tena sio mmoja tafuta watano wawe wanakupiga mtungo on a regular basis heshima utakayopata ni kubwa sana. Mungu akutangulie katika maamuzi utakayochukua.
Kwani mumewe alipiga mtungo?
Hapana, anajitafutia mmoja tu mtulivu anamtuliza baaasi. Maisha yanasonga taratiiibu bila stress.
 
Kama anajiweza aliache tu Hilo furushi, ama nae aende agongwe nje ili kubalance maumivu la sivyo watauana humo ndani
Atafute kipoozeo kimoja matataaa, akirudi home mwepesiiii. Heshima na adabu kama zote, anaimba tu mapambio[emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kwani wee unadhan soln ni ipi? Hapa ni vidumu tyuuh huko nje tena wawe quality kuliko mume wake, utaona atakuwa na furaha na amani,
Pia kumsamehe mume wake, huku akimchukulia kawaida pasipo kuathiri ndoa na familia yake, maisha lazima yaendeleeeh.
Nakubaliana na wewe hii tabia ya kujiaminisha huyu wangu, hufanyi starehe matokeo yako ni kujeruhiwa moyo.
Huyo atafte kipoozeo standard kuliko mumewe bana aendelee na maisha na huyo mume ampuuze life liendelee
 
We ni moja wa ke uliyetoa ushauri wa busara maana naona ke wengine wanampa ushauri unaokwenda kumuangamiza zaidi. Akitaka kushindana na mwanaume yeye yuko on the loosing end zaidi ya mwanaume.

Ni vizuri hujagundua kuwa mme wako ana-cheat. Wengine hutumia resources na nguvu nyingi kufuatilia kama mme wake anacheat wakati hawana plan B baada ya kupata jibu wanalotafuta. Kama mwanaume anakuheshimu na anatimiza majukumu yake usitake kufukunyua mambo mengine. Na ukitumia nguvu nyingj kufukunyua utapata majibu unayoyahisi.
Na sitaki kugundua, the best way ni kwamb huwa simfatilii wala sifatilii mawasiliano yake, hata akiacha simu yake siigusi, hata ikiita sigusi kabisaa..nimejiwekea hiyo principle

Nafanya hivyo kulinda heshima na upendo uliopo ndani ya ndoa yetu,

Cha msingi anatimiza wajibu wake kama mume, kama baba, na kama kiongozi wa familia, he is always there when we need him na ananiheshimu

Hayo mengine sihitaji kujua. Hakuna viashiria na kama kuna tofauti tunazungumza yanaisha

Kwa kifupi, huyo dada atakua kwenye maumivu makali and it will take time to heal, ila pia kuvunja ndoa au kucheat in return does not make it right, asichukue sana ushauri wa mtandaoni ila afikirie future yake na watoto, na hata akisema atafute mchepuko, its likely possible kuumizwa zaidi ya maumivu aliyoyapata kwenye ndoa
 
Rahisi sana kuishi na mke akiwa na mimba, fuata masharti yote anayo kupa, tenga muda wa kutosha wa kuwa karibu naye, punguza marafiki wenye mtazamo tofauti, usijaribu kuwa na mchepuko kipindi hiki.
Siku ya kujifungua muombe daktari uwepo chumba cha kujifungulia. Utakapoona zile damu na maumivu anayopitia haki ya Mungu nakuapia kuanzia siku hiyo utaapa kwa miungu yako yote kuwa mke akitoka hapa salama hautamtenda kwa baya lolote. Hilo Agano linakuja automatikale na lina dumu sana. Pia mke anakuchukulia kama ni mtu mwenye upendo na unaye jali sana. Anajikuta anakupenda na kukuheshimu.

Kwanini uchepuke? Ile kitu kama haikuchanwa kuongeza njia ni siku tano tu na kama alichanwa ruhusu mwezi upite inakuwa tayari kwa matumizi halali ya nyumbani.

Muhimu:vaa condom kuepuka mimba na usinyonye maziwa maana utakuwa una dhurumu haki ya mtoto.

Wewe mfano wa ulio uleta hapa wa kuzaa hauna tija hayo ni maagizo kwamba watazaa kwa utungu na mwanaume akaambiwa atakula kwa jasho! Ingekuwa hivyo basi wangekuwa wanaishia kuzaa mtoto mmoja tu kwa kuhofia utungu huo
 
Hahahhaah wanaume wanavyobweka hapa fyoko fyoko mwanamke mmoja haturidhishi,, Nani aliwaambia sie tunaridhishwa na mwanaume mmoja??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had basi yaan wee acha tyuuuh, khaaaah eti n nature ya mwanaume kuchepuka, sasa why anaoa? Si awe bachelor ili awapange hao demuz km njugu.
Sio kuwapa maumivu na mateso viumbe wa watu khaaaaaah, wanakera mnoooh
 
Wewe kuna Uzi ulisema hujaolewa then hapa unasimulia experience za kuachwa na nyege na kuchakaa kwenye ndoa [emoji3][emoji3]

[emoji1] ushauri wake sio kabisa ukifuatwa watu watapoteana for sure, huko ni kukomoana sio ushauri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had basi yaan wee acha tyuuuh, khaaaah eti n nature ya mwanaume kuchepuka, sasa why anaoa? Si awe bachelor ili awapange hao demuz km njugu.
Sio kuwapa maumivu na mateso viumbe wa watu khaaaaaah, wanakera mnoooh
Wao wakisalitiwa wanavyotia huruma😂😂😂😂😂 shenzi zao

Wengine hata nguvu hawana wapo hapa wanajishaua,, 'mwanamke mmoja hatoshi'' (ukisoma hapa Soma kwa sauti ya puani)
 
Back
Top Bottom