sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,750
- 8,942
[emoji3][emoji3][emoji3]Wanajimwambafai tu kwenye keyboard huku mtaani wanatia huruma ajabu
[emoji3][emoji3][emoji3]Wanajimwambafai tu kwenye keyboard huku mtaani wanatia huruma ajabu
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] alijisahau ktk malezi ya mumewe, mweeeeeeeh
Isome vizuri hiyo comment then utaelewa, sio unakuwa na haraka lolSasa nimegundua tatizo nini..
KwaheriiiView attachment 1523640
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ila wewe ni chizi eti mkunyenge wenye kiwango cha uchumi wa kati umenichekesha aisee.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakufa uwiiiiiiiiiiih, utakuta mwanaume ni kiba100, kweny show 16% F grade, kiumbe kike wa watu anamvumilia ili kumpa heshima na thamani yake, afu kenyewe kanajikuta kumba kumba kwa demuz pembeni,
Dadeki ni kupeleka nyapu nje ikutane na mikunyenge ya kiwango cha uchumi wa kati hadi ijute kukaa ndani tyuuuh 4 nothing, uwiiiiiiiiih
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dea weee relaaaaaax tyuuuuh.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]ila wewe ni chizi eti mkunyenge wenye kiwango cha uchumi wa kati umenichekesha aisee.
Ukiona hivyo ujuwe tunatamani hayo maisha mazuri ndio tunajaribu kuvaa uhusika[emoji23][emoji23]
Sasa ww bishana na mchangiaji! Ukweli ndo huo, duniani hutapata mume wako tu, wanaume ndivyo tulivyo, hatuwezi kuwa tunakula mboga ile ile kila siku tukirudi home, lazima tubadili, tunatofautiana tu namna za kuficha siri ili wake wasijue, ndo maana ukiwa legelege kwenye kuficha siri unakamatwa.
Alinikamata wife na picha za mchepuko za lodge ndoa ikiwa na miaka2 na miezi8, baada ya hapo hajawahi kunikamata tena hata na msg, miaka sasa! Ni upgrade mbalimbali tu zinatumika kwenye mfumo wa ufichaji siri
Tena kipara nusu atoe damu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna wengine mnaonekana tu kweli mnavyo haijalishi mtasema au hamsemi ila kuna wengine wenzangu na mimi kujifanya wanavyo lakini kiuhalisia wanakuna vichwa kila siku [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daaaaaah unaudhi sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan mkewe amlinde mumewe kwa kipi? Ili iweje? Km mwenyewe mtu mzma hawez jilinda ndo mwingne ataweza? Kila mtu ashinde match zake.
Last paragraph, hahhhahhhahha [emoji16][emoji16][emoji2960][emoji23],nimecheka balaa.Na wajaluo mnavojifanya mnajua kupenda[emoji57][emoji57]... anyway... usithubutu kutaka kumjua mwanaume haswa Kama unampenda au unajua huwezi kumuacha..haswa Kama n mumeo wa ndoa... usithubutu... [emoji2788] USITHUBUTUUUUUU for your own health...[emoji2936][emoji2935]... Hapo Sasa sijui ufanyeje jamaani...Ila ukifanikiwa kupona usithubutu Tena kumjua mumeo...
Mimi bado nacoment kwenye post za wapendanao... "Wooow nice couple" alafu nakunywa maji nalala...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi wee upo? Maan hadi nilikusahau khaaaahDaaaaaah unaudhi sana
Uwezi nisahau Mimi ndo fikra zako[emoji85][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vipi wee upo? Maan hadi nilikusahau khaaaah
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuoni kule jukwaani MMU.Uwezi nisahau Mimi ndo fikra zako[emoji85]
Samahani mkuu wewe hujawahi kuchepuka?
Bado nayaogopa mapenzi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuoni kule jukwaani MMU.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hapa pagumu,ajipe muda atafakariAachwe kwa kipi? Mbona huyo mwanaume hajaachwa? Aaaaah hakuna tena ndoa hapo, waishi kwa mustakabali wa familia, ila upendo, furaha na amani watapata nje.
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app