Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Wanawake wenzangu mnawezaje kumsamehe a cheating husband?

Hii mada ya mentality ya wanaume na wanawake kuhusu sex na love havitokuja kueleweka mpaka mwisho wa dunia

Maoni yangu jitafakari na ujipime ndoa yako imesimama katika misingi gan? Dini au misimamo yenu binafsi?

Kama ni dini basi fanya kile dini yako na viapo vya imani yako vinachokuagiza ufanye. Najua unajua ila inaweza kuwa ngumu kufuata dini inachoshauri ila ndo lipaswalo kufanywa kama unataka ndoa yako izidi kusimamia misingi hyohyo.

Kama imesimama juu ya misimamo na yale uyaaminiyo ww kama ww, basi fanya kile unacho hisi kitaupa moyo wako amani.

Mwisho wa siku mlikutana ninyi wenyewe, kitendo cha kuomba ushauri wa wenzako wanasemehe vipi ni dhahiri hutaki ndoa iharibike na unataman umsamehe. Jibu ni moja tu hapo, kusamehe ni nje ya uwezo wa kawaida wa ubinadamu wa nyama. Inahitaji kuweka imani yako katika hlo. Omba sana sawasawa na imani yako, kama unaamini kuwa hali inaweza kurejea kama mwanzo basi shikiria imani yako hyo na kama haiwezekan utapata ufumbuzi wa kuishi na kovu hilo kwa maana kusudio lako ni kusamehe na mrudie kama mwanzo.
 
Khantwe Wana mambo mengi hawa bunadamu wenzetu wanayofata huko mengine hawawezi hata kuyahadithia. Laiti mkiwa kwenye ndoa ubongo na moyo vingekua transparent wenza wakaweza kusoma matendo wanayofanya huko wanakochepukia wengi tungekufa kwa cardiac attack.
[emoji1787][emoji1787] mbona unatutisha mama D
 
Kule nimeondoka niko huku iliko baridi yenyewe sasa, nje hakutokeki mpaka liwake jua
Aisee!!
Pole sana, kumbe na huko bado wapo, ni wale wakubwa kabisa? Dada atakuwa amebaki mpweke tena
 
Kusamehe au kutosamehe ni swala la mtu binafsi, wanaume kibao wanachitiwa na wanasamehe.

BTW, nipo hapa Mbezi kuna foleni sijawahi kuona, nahisi nitalala njiani leo.
Wengi yamewashinda na waweza samehe mtu Ila usiendelee naye kimahusiano kubaki na mtu sio kwamba umesamehe, so hivo vtu vipo watu wamesameheana Ila kila mtu na hamsini zake.
Pole kwa Hilo foleni usiku huu ya Nini?
 
Kuna watu wanashauri kuwa mleta mada achepuke na yeye...kama ameshindwa kusamehe kwa nini asiombe talaka?,watoto watakuwa tu wakubwa na mambo mengine yatanyooka.

Ni mwanaume "bwege" tu atakayeishi na mwanamke anayecheat as long as mume ni major provider...Mwanaume anaweza kuwa na michepuko kumi lakini itakuwa bonge la msala mkewe kuwa hata na mchepuko mmoja.

So mngemshauri talaka atleast mnge-make sense.


All in all jipe muda moyo wako utamsamehe ili ndoa iendelee na uzuri mume ameomba msamaha na kukiri kosa lake
 
Huwa tunaitumia hiyo excuse kuhalalisha kuendelea kuishi kweye ndoa na hao wazinzi (so far hata ndoa yenyewe kwenye spiritual realm inakuwa imeshavunjika). Inabidi tu niassume na kwa wenzangu kunawaka moto kama kwangu teh; ntafanyaje huku ndoa naitaka. It's wise kusema umeamua tu kuendelea kuishi na huyo mzinzi pamoja na yote (you don't owe anyone an explanation so far); kuliko kujifariji kuwa all men cheat ilhali unagugumia ndani kwa ndani

Hapa wengine tunajishaua all men cheat; ila tukihisi tu kuna mchepuko; tunautafuta then tunaenda kuanzisha timbwili au humo ndani kunawaka moto. Jiulize ni wangapi humu tukifumaniaga huwa tunawaambiwa waume zetu "hongera mume wangu; upo sawa tu kama wanaume wote? Kwa nini tuumie sasa ilhali hiyo ni tabia ya wanaume wote?

Bado wapo wanaume waaaminifu; wanaoheshimu wake zao, na viapo vyao vya ndoa kwa kutokuchepuka. Wengine ni personal decision tu kutokuchepuka; na wengine wanafanya hivyo kwa sababu ya hofu ya Mungu. Ndoa ni kitu chema sana; ndoa si kuishi na maumivu kama wengi wetu tunavyojifariji hapa. Although uaminifu sio chagamoto pekee kwenye ndoa; lakini uaminifu ukikosekana ni jambo la kujeruhi moyo sana. Kuna makosa mengi lakini usaliti sio tu ni kosa; bali ni kuvunja imani ambayo mtu alikuwa nayo juu yako. Ni gharama kubwa sana kurudisha imani ilivunjika; na kwa wengi ni kidonda kisichopona.

Let's stop legitimising nonsense. Usaliti sio tu kitu ambacho mtu anafanya kinapita. Usaliti umevunja ndoa nyingi; umetenganisha wazazi na watoto; watu wameambukizwa magonjwa yasiyotibika; familia zimetelekezwa hazina mbele wala nyuma. Kuna michepuko inaroga na kuua wake ili yenyewe iolewe afu baadaye watoto ndo wanateseka n.k. If one decides to settle for nonsense; it's very ok, but let us not propagate it. Ni upumbavu na ni ubatili

Mithali 6:26, 32-33

26. Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate;Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani.

32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

33 Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika.
Mnakosea sana kusema ALL... inawezekana mume wako, baba yako , jirani yako na wote unaowajua wanacheat ila kamwe haiwezi kuwa WOTE
 
Huwa tunaitumia hiyo excuse kuhalalisha kuendelea kuishi kweye ndoa na hao wazinzi (so far hata ndoa yenyewe kwenye spiritual realm inakuwa imeshavunjika). Inabidi tu niassume na kwa wenzangu kunawaka moto kama kwangu teh; ntafanyaje huku ndoa naitaka. It's wise kusema umeamua tu kuendelea kuishi na huyo mzinzi pamoja na yote (you don't owe anyone an explanation so far); kuliko kujifariji kuwa all men cheat ilhali unagugumia ndani kwa ndani

Hapa wengine tunajishaua all men cheat; ila tukihisi tu kuna mchepuko; tunautafuta then tunaenda kuanzisha timbwili au humo ndani kunawaka moto. Jiulize ni wangapi humu tukifumaniaga huwa tunawaambiwa waume zetu "hongera mume wangu; upo sawa tu kama wanaume wote? Kwa nini tuumie sasa ilhali hiyo ni tabia ya wanaume wote?

Bado wapo wanaume waaaminifu; wanaoheshimu wake zao, na viapo vyao vya ndoa kwa kutokuchepuka. Wengine ni personal decision tu kutokuchepuka; na wengine wanafanya hivyo kwa sababu ya hofu ya Mungu. Ndoa ni kitu chema sana; ndoa si kuishi na maumivu kama wengi wetu tunavyojifariji hapa. Although uaminifu sio chagamoto pekee kwenye ndoa; lakini uaminifu ukikosekana ni jambo la kujeruhi moyo sana. Kuna makosa mengi lakini usaliti sio tu ni kosa; bali ni kuvunja imani ambayo mtu alikuwa nayo juu yako. Ni gharama kubwa sana kurudisha imani ilivunjika; na kwa wengi ni kidonda kisichopona.

Let's stop legitimising nonsense. Usaliti sio tu kitu ambacho mtu anafanya kinapita. Usaliti umevunja ndoa nyingi; umetenganisha wazazi na watoto; watu wameambukizwa magonjwa yasiyotibika; familia zimetelekezwa hazina mbele wala nyuma. Kuna michepuko inaroga na kuua wake ili yenyewe iolewe afu baadaye watoto ndo wanateseka n.k. If one decides to settle for nonsense; it's very ok, but let us not propagate it. Ni upumbavu na ni ubatili

Mithali 6:26, 32-33

26. Maana kwa malaya mtu hutiwa katika hali ya kuhitaji kipande cha mkate;Na kahaba humwinda mtu anase nafsi yake iliyo ya thamani.

32 Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa;Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

33 Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima;Wala fedheha yake haitafutika.
Comment yako imenifuraisha Sana umemaliza kila kitu
 
Mkosaji ni mume wako, kama amekiri na kuomba msamaha,basi,amani ya Nafsi yako na mwenza wako itategemeana na maamuzi yako ya kusamehe na kupuuza.

Kama unampenda kweli usije ukajaribu kulipa kisasi kwa kuchepuka,pia usipende kutegemea ushauri kwa watu wengine kwenye masuala ya ndoa maana unaye muomba ushauri yeye mwenyewe yupo kwenye mgogoro japo utakuwa tofauti na wako. Ukisikia "wanaume wote ni mambwa tu" ujue naye kaumizwa ila kiukweli sisi sio mambwa. Tukiomba msamaha ujue ni wa dhati kabisa.

Msamehe baby wako pluziii,anateseka huko alikoView attachment 1521897
Hiyo picha tyuuuh ndo imenivunja mbavu khaaaah, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom