Jamii forums kiboko..namshukuru muungwan alienpm finally nimelipata hili/hay (ma)duka. God bless.
Safi sana bei umethibitisha ni ndogo?
Jamii forums kiboko..namshukuru muungwan alienpm finally nimelipata hili/hay (ma)duka. God bless.
Yes mkuu, nimewasilian nae tunameet, ananipeleka next week. Price ni fair and reasonable kabisa kuliko ile nimekutana nayo IG. Kwa mimi nilishindw ile bei ndo man nlikuw natafuta alternative, na nimeipata.Safi sana bei umethibitisha ni ndogo?
Upo wapi ? Niingie kazini niitafute.Mwenye kujua chimbo za hii bidhaa na bei yake ya jumla anielekeze maana pale msimbazi hawasemag wanatoaga wapi View attachment 2411462
Nielekeze tu mkuuUpo wapi ? Niingie kazini niitafute.
Nikishika hiyo bidhaa nikienda hapo mjini sikosi chimboNielekeze tu mkuu
Kuhusu vipodozi. Niliamua kwenda mwenyewe nikapajua.
Mwenye kujua chimbo za hii bidhaa na bei yake ya jumla anielekeze maana pale msimbazi hawasemag wanatoaga wapi View attachment 2411462
Msaada mkuu machimbo ya vipodozi kwa jumla natarajia kuanza biashara iyo ivi karibuni natanguliza shukrani [mention]Mlolongo [/mention]
Naomba mwenye chimbo la slipers wanawake anijuze 0675924353
Naomba namba pm bossNinazo 3.500 kuanzia 10pcs quality ya pili
4,500 quality ya kwanza kuanzia 10pcs
Mkuu naomba unipe baadhi ya biashara za kufuata ChinaKuna shipping agents wanaokutumia vitu vyako huku bongo na kukutolea bandarini (door to door)....Kama Silent Ocean na wengine.
Mzigo Unaulipia charges kwa cbm (cubic meters) inategemea na aina ha bidhaa hyo ina include shipping, agency na taxes. Ila kikubwa ukifika kule inakua na nguvu zaidi unaweza chagua bidhaa unayotaka hata ku negotiate price na wachina masokoni kwao face to face. The more unanunua mzigo kwingi the more discount u get hence the more profit u get ukija uza huku.
Ili umake good money kweli uone unapiga hela kweli uwe na kitu kama 10 M hivi hyo mzgo tu. (Unaweza ukaanza less than that ila mimi naona kuanzia 10 M kuendelea ndio kweli naweza nikasema huyu mtu ana make hela)
Weka picha mzeeMimi nauza ndala kutoka China ndala kali na bei ni kitonga mikoani tunatuma
Zipo za kitoto za kike na kiume
Nawekaje picha ebu nielekeze ila kam unatak serios nifate pmWeka picha mzee
Weka picha na bei sasa daah yan hadi mkumbushweMimi nauza ndala kutoka China ndala kali na bei ni kitonga mikoani tunatuma
Zipo za kitoto za kike na kiume