toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 5,839
- 10,263
Kwani ni uongo waliomtarget ni ccm ? Lisu ukiacha kuwa ni mwanasiasa ndio kiongozi anaeongeaga facts kuliko wote na ni jasiri sana angekuwa mlaini laini angeopt kuwa ccm leo angekuwa nae anaiba kama wenzakeInasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia badala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.