Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868

Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku Rais Magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu anapiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti hivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini Dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo Dar alikuwa Dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao Polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake.

Wala askari waliotakiwa kuwa lindo hawajawai kuulizwa walikuwa wapi siku ya tukio na nani aliwapa amri waondoke.
 
Siku baada ya shambulio(tarehe 8/09/2017), alionekana Morogoro anapiga tizi majira ya asubuhi, akinyosha misuli baada ya kazi nzito jana yake...

....Morogoro.... Kihonda....kuna gari zikawa zinakuja speed DOM MORO road! Daladala moja ikawa kama haieleweki pale barabarani! Basi wale wa kwenye gari iliotokea uelekeo wa DOM, Mmoja akashusha kioo! Akanyanyua juu SILAHA YA MZUNGU! Dereva wa daladala akawa mpole. Akatii! Jamaa wakapita na zao
Alikuwa maeneo ya n.s.r.h
 
Mbona facts ameziweka wazi tuu! Au wewe unayako mengine? Kama unapingana na aliyoyasema lisu basi toa vigezo vyako vitakavyopingana na maelezo ya.majeruhi mhusika.
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia nadala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app
 


Hints:

Tundu Lissu anasema kuwa siku aliyopigwa risasi ndio siku rais magufuli alikuwa akipokea ripoti ya makinikia.

Na masaa mawili kabla ya shambulio lake alitangazia umma kuwa kuna mtu analiga kelele sana huko nje na katika vita jeshini watu wa namna hiyo ni sawa na wasaliti ivyo kazi huwa ni moja kuuliwa tu.

Kumbuka ripoti hiyo ilikuwa inakabidhiwa jijini dar huku mkuu wa mkoa wa mkoa huyo hakuwepo dar alikuwa dodoma.

Na cha ajabu eneo analoishi hulindwana masaa 24 na askari wenye silaha ila cha ajabu hawakuwepo kabisa katika viunga vya Area D.

Lakini hao polisi wanaotaka kunihoji mimi hawajawai kumwita wala kumuhoji Makaonda akiwa kama suspect.

Na aliyesema anafaa kufa hajawai kuulizwa juu ya kauli yake
Na polisi waliotakiwa kuwepo lindo hawajawahi kuhojiwa walikuwa wapi wakati wa tukio au kuwajibishwa kwa kutoonekana sehem ya kazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana mwanasheria msomi anaongea kwa hisia nadala ya facts.
I predict his spiral down fall even to beat the constant gravitational force.
unaufahamu ushahidi wa kimazingira,kama waufahamu huwa unatumika vp?

ushahidi wa kiaminika ungetokana na cctv camera vp ziko wapi?

ni suala la muda atakaye fata kufa kiutata ni yule camera zilizo ondolewa kwake. kuficha siri
 
Huyo mtoa taarifa ndiye mzalendo wa kweli kwa kutaja hila za mashetani
Kuna mtu anamwambia..kila analosema anasema "nimeambiwa"!! Huyu mtoa taarifa anayefanya kazi serikalini adhabu yake hasa ni ipi..?
Kwa mujibu wa maelezo yake Tundu lissu ana vyanzo vya taarifa kutoka Usalama wa Taifa, kutoka Polisi, kutoka Bungeni, kutoka Wizara ya Afya. Na kila sehemu ambao wanampa hizo taarifa nyeti.
Katika moja ya maelezo yake amesema hataki kumtaja huyo mtoa taarifa wake sabbu akimtaja "atauwawa"!!
Je huyu mtoa taarifa mara atakapogulika /ama watakapogundulika kufanya hivyo adhabu yao halisi huwa ni ipi?
Je, maadili yao ya kazi yanawaruhusu kutoa hizo habari?



Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Back
Top Bottom