Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 14,047
- 20,411
JIWE hapo kakakaa anachekelea, yeey hata vumbi haruhusiwi kupigwa, okay kama MUNGU yupo kweli na naamini yupo ATENDE MUUJIZA AMPENDE ZAIDI HUYU ANAYEFANYA HAYA, ampende tu zaidi.
Nadhani wanarogwa kabla ya kuajiriwa hivi unapata wapi ujasiri wa kutetea mtu aliyekunyima nyongeza za mishahara na kukuletea kikotoo, huku ukistaafu unakosa mafao yako.Hao pilisi wana roho ya shetani, hata akilala na njaa, asubuhi akiamka anafikia kupiga saruti, hawezi kudai haki yake ya kupatiwa chakula
Hao English Audience ni kina nani hasa ..for wngilsh audinenc nyeee
Hilo liko wazi mkuu na wanajua....Umemsahau mkurugenzi wa tume yeye ndo kawa wa kwanza kujiwekea ushahidi wa wazi wa kupelekwa the Hague maana kasema wameamua chadema wapigwe mabomuIGP RPC OCD wote wanaoshiriki vitendo vya kuwaonea wapinzani kuhatarisha Amani watambue kuwa mara baada ya uchaguzi watafikishwa ICC The Hague kujibu tuhuma zao
Au we unasemaje labda?Kwahiyo mmekinukisha?