Hakuna namna tutatoka kwenye hiyo tragedy bila kupata Katiba Mpya.
Katiba ya ccm inatumika kutuharibia taifa!
Kumbukeni kuwa ndani ya ccm SSH ni kila kitu kwao... Kwa hali ilivyo sasa wakitofautiana na mwenyekiti wa chama chao hakuna rangi wataacha kuona!
Ni hatari sn
 
Dola ni nini ?

Nani mkuu wa Dola ?

Jamani semeni mambo yote lakini acheni kukwepa UHALISIA kwasababu ya MIHEMKO.

Rais ndio mkuu wa kila kitu, kinacholeta tofauti ni kuheshimu taratibu tu.

Fanya ufanyavyo, tengeneza Katiba uwezavyo ila mwisho wa siku yule ambaye JESHI LINAMTII na anakaa na HAZINA akitakaa kuwasumbua, atawasumbua tu na hakuna kitu mtafanya.
Kibwengo ndo umemaliza hapa kuandika ,

Kazi sana
 
Dola ni nini ?

Nani mkuu wa Dola ?

Jamani semeni mambo yote lakini acheni kukwepa UHALISIA kwasababu ya MIHEMKO.

Rais ndio mkuu wa kila kitu, kinacholeta tofauti ni kuheshimu taratibu tu.

Fanya ufanyavyo, tengeneza Katiba uwezavyo ila mwisho wa siku yule ambaye JESHI LINAMTII na anakaa na HAZINA akitakaa kuwasumbua, atawasumbua tu na hakuna kitu mtafanya.
Kwani huko Sudan, Mali, Guinea, Zimbabwe nk ambapo jeshi limepindua hao marais hawakuwa ma-amiri jeshi wakuu. Unaongea utafikiri umenyweshwa wanzuki.
 
Hata mimi nimemsikia. Kwa kifupi, huyu hata Ndugai atakuwa na nafuu.

Kaongea alichongea ili kumfurahisha Mama ampe uspika, na akiupata, atakuwa ni bora Ndugai.

Wabunge kama mko makini, huyu msimpe uspika ingawa sioni uwezekano wa nyinyi kupinga chaguo la Raisi ni nani awe spika.

Kwa sasa Mama anaweka Spika wake (atakaeilinda serikali yake Bungeni) na baadae ataweka Waziri Mkuu wake.

Tukio la Ndugai kushinikizwa kujiuzulu ni ushahidi tosha wa hii katiba mbovu tulioanayo(Mungu ana makusudi kwa kila jambo).

Hata hivyo, nafurahi Ndugai kaonja machungu ya hii katiba mbovu, na ipo siku CCM kama chaka watakuja kujutia hii katiba.
Mie kwa upande wangu nina imani CCM ITAKUJA KIDONDOKA
 
Kutamka ni suala moja ila kwenye practical ni ishu tofauti,ndio maana Trump alikuwa anawatimua na hakuna sehemu alivunja Katiba licha ya kuapa kwao huko ulikosema lakini walikuwa wateule wa Rais.
Spika wa bunge hapaswi kuwa mteule wa Rais
 
Kila siku huwa nawaambia watu hapa ndani. Rais hayuko level sawa na spika au Jaji Mkuu.
Bungeni likiamua kumtoa Rais linaweza? Rais anaweza kulilazimisha Bunge kufanya kitu kikatiba? (sio kuwatisha wabunge kupitia chama)
 
Kwahi ilivyo ataweza chukua fomu bila kuambiwa. Ataambiwa chuka fomu au baki hapo hapo.
 
Kama tunataka nchi yetu iwe mahali bora kwetu sote fikra kwamba kuna muhimili mkubwa zaidi ni ujinga sana.
Yaani tumfanye mtu atembe akijigamba kuwa yeye ndo mwamba asiyetikiswa. Kama si kupalilia udikteta nini.
Ni lazima fike mahali muimili wowote ujue na uamini kwamba unaweza kutikiswa kama hauendi vizuri. Hiyo ndiyo afya ya taifa
Acha porojo weka hapa kifungu ambacho kinasema SPIKA na RAIS ni LEVEL MOJA KATIKA NCHI
 
Tulia amenishangaza na kunistua sana.
Kile kiwango cha chini kabisa cha heshima ya udaktari wa sheria.
Kuna udaktari wa heshima wa sheria kwenye suala zima la njaa! 😁😁😁 Ule usemi unaosema njaa haina baunsa, unatakiwa kuuchukulia kwa uzito sana.

Kwa sasa akili yake yote ameihamishia tumboni kama makada wenzake. Kule kichwani amebakiza akili kidogo tu kwa ajili ya kutatulia mahitaji yake muhimu ya kila siku.
 
Kumbukeni Huyu mama ni mwanasheria kabisa, pale Leo anapokuja na kusema kuwa Rais wa Tanzania ndo Muhimili mkubwa wa mihimili yote iliyoopo, hiyo ipo kwenye ibara gani ya katiba yetu au ni kujipendekeza kumezidi? Hebu wanasheria twambieni kama kuna Kifungu kama hicho kwenye katiba yetu
Kwani tuna Marais wangapi ndani ya nchi hii? Ukilijibu hilo Basi utakuwa umeua ndege wawili kwa jiwe moja.
 
Ni dhahiri kuwa katiba ya mwaka 77 ambayo wengi wa watanzania walikuwa hawajazaliwa ina mapungufu mengi, ni vema kabisa ikafanyiwa marekebisho. Watawala waliangalie hili, sio kwa manufaa yao..bali ya taifa!!
 
Kumbukeni Huyu mama ni mwanasheria kabisa, pale Leo anapokuja na kusema kuwa Rais wa Tanzania ndo Muhimili mkubwa wa mihimili yote iliyoopo, hiyo ipo kwenye ibara gani ya katiba yetu au ni kujipendekeza kumezidi? Hebu wanasheria twambieni kama kuna Kifungu kama hicho kwenye katiba yetu
Ili uwepo, unatakiwa sehemu ya akili uiondoe, ndio utadumu, kama unaenda kuongoza Bunge ambalo unalishusha hadhi, sijui, katiba inatamka wazi kuwa kutakuwa na mihimili mitatu yenye hadhi sawa.
 
Back
Top Bottom