Dkt. Tulia Ackson awataka Mawaziri waliopumzishwa kwenye nafasi zao waondoe wasiwasi

Bush Dokta

JF-Expert Member
Apr 11, 2023
12,132
20,295
Ikiwa wakiteuliwa wanaachwa wapumzike tu then wanarudishwa tena.

Wakichoka wanapumzishwa uchovu ikiisha wanarudishwa tena. Je, sisi Chawa wa Mama ma Chawa wa Chama ni lini tutaingiamo? Au nafasi hizi ni za kwao tu?

Sitasema mengi oneni mwenyewe.

==========

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amewatoa wasiwasi Mawaziri waliopumzishwa kwenye nafasi zao ambapo amesema nafasi hizo huwa ni kwa zamu kama vile Kocha wa mpira ambavyo anaweza kumpumzisha Mchezaji kwa ajili ya mechi ijayo.

Spika Dkt. Tulia ametoa kauli hiyo Bungeni Dodoma leo September 04, 2023 wakati akimkaribisha Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko na akitoa salamu za pongezi kwake na kwa Baraza zima la Mawaziri.

“Wale ambao mmepumzika kidogo msiwe na wasiwasi, hili Baraza linao ambao waliwahi kupumzika, wakarejea, wakapumzika tena, wakarejea, kwahiyo msiwe na wasiwasi mnafasi hizi huwa ni kwa zamu ”

“Mtu zamu yake inapofika basi anapewa hiyo kazi, zamu yake inapopungua kidogo ni kama kocha anaweka huyu si kwamba wewe uliyetoka ni mbaya ama namna gani, Kocha anataka akupumzishe kwa ajili ya maandalizi ya shughuli nyingine hapo baadaye”

AYO
 
Natafakari kwa mfano , mawaziri wakipembuliwa kwa uwezo wa kazi, wangapi wataondolewa na wangapi watabaki

Lakini pia kama uwaziri ni sehemu ya kuachiana nafasi je, zile damu changa na watu wapya wenye ari ya kufanya makubwa ila wapo nje ya system na wala hawana powerful surnames. Je, wana nafasi ya kutoboa kwenye space of power

Ni tafakari
 
Natafakari kwa mfano , mawaziri wakipembuliwa kwa uwezo wa kazi, wangapi wataondolewa na wangapi watabaki

Lakini pia kama uwaziri ni sehemu ya kuachiana nafasi je, zile damu changa na watu wapya wenye ari ya kufanya makubwa ila wapo nje ya system na wala hawana powerful surnames. Je, wana nafasi ya kutoboa kwenye space of power

Ni tafakari
Ndio maana hutashangaa Wasira bado anautaka uwaziri maana bado yuko kwenye list ndani ya Pdf
 
Natafakari kwa mfano , mawaziri wakipembuliwa kwa uwezo wa kazi, wangapi wataondolewa na wangapi watabaki

Lakini pia kama uwaziri ni sehemu ya kuachiana nafasi je, zile damu changa na watu wapya wenye ari ya kufanya makubwa ila wapo nje ya system na wala hawana powerful surnames. Je, wana nafasi ya kutoboa kwenye space of power

Ni tafakari
Wakaoneshe uwezo na hiyo ari yao kwenye makampuni na maeneo mengine huko? Hizo nafasi sio za kila mmoja, maalumu kwa wapakwa mafuta

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ikiwa wakiteuliwa wanaachwa wapumzike tu then wanarudishwa tena.

Wakichoka wanapumzishwa uchovu ikiisha wanarudishwa tena. Je, sisi Chawa wa Mama ma Chawa wa Chama ni lini tutaingiamo? Au nafasi hizi ni za kwao tu?

Sitasema mengi oneni mwenyewe.

==========

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amewatoa wasiwasi Mawaziri waliopumzishwa kwenye nafasi zao ambapo amesema nafasi hizo huwa ni kwa zamu kama vile Kocha wa mpira ambavyo anaweza kumpumzisha Mchezaji kwa ajili ya mechi ijayo.

Spika Dkt. Tulia ametoa kauli hiyo Bungeni Dodoma leo September 04, 2023 wakati akimkaribisha Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko na akitoa salamu za pongezi kwake na kwa Baraza zima la Mawaziri.

“Wale ambao mmepumzika kidogo msiwe na wasiwasi, hili Baraza linao ambao waliwahi kupumzika, wakarejea, wakapumzika tena, wakarejea, kwahiyo msiwe na wasiwasi mnafasi hizi huwa ni kwa zamu ”

“Mtu zamu yake inapofika basi anapewa hiyo kazi, zamu yake inapopungua kidogo ni kama kocha anaweka huyu si kwamba wewe uliyetoka ni mbaya ama namna gani, Kocha anataka akupumzishe kwa ajili ya maandalizi ya shughuli nyingine hapo baadaye”

AYO
Hiki kinyang'unya nacho michosho tu
 
Ikiwa wakiteuliwa wanaachwa wapumzike tu then wanarudishwa tena.

Wakichoka wanapumzishwa uchovu ikiisha wanarudishwa tena. Je, sisi Chawa wa Mama ma Chawa wa Chama ni lini tutaingiamo? Au nafasi hizi ni za kwao tu?

Sitasema mengi oneni mwenyewe.

==========

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amewatoa wasiwasi Mawaziri waliopumzishwa kwenye nafasi zao ambapo amesema nafasi hizo huwa ni kwa zamu kama vile Kocha wa mpira ambavyo anaweza kumpumzisha Mchezaji kwa ajili ya mechi ijayo.

Spika Dkt. Tulia ametoa kauli hiyo Bungeni Dodoma leo September 04, 2023 wakati akimkaribisha Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko na akitoa salamu za pongezi kwake na kwa Baraza zima la Mawaziri.

“Wale ambao mmepumzika kidogo msiwe na wasiwasi, hili Baraza linao ambao waliwahi kupumzika, wakarejea, wakapumzika tena, wakarejea, kwahiyo msiwe na wasiwasi mnafasi hizi huwa ni kwa zamu ”

“Mtu zamu yake inapofika basi anapewa hiyo kazi, zamu yake inapopungua kidogo ni kama kocha anaweka huyu si kwamba wewe uliyetoka ni mbaya ama namna gani, Kocha anataka akupumzishe kwa ajili ya maandalizi ya shughuli nyingine hapo baadaye”

AYO
Nyie machawa mtaendelea kula mihogo na posho ya buku saba, cz hamna impact yoyote zaid ya kusifiasifia!!
 
Rushwa Upigaji Uzembe kulindana Nepotism nk. nk. ndio CCM hiyo
 
Huwezi kujiita mlokole Halafu ukaishi kama wapagani, lazima Roho Mtakatifu akuhukumu sawasawa na dhamira yako. Yuda alizitupa zile shekeli kisha akajinyoga...Hakuna dhambi mbaya kama ya kumkufuru Mungu
Ni kweli
 
Back
Top Bottom