Kasema ukweli.
Bunge la JMT liko chini ya serikali!
Hahahaa kweli kbsa mkuuTumbo linaweza hata kukutoa ufahamu
CCM backbenchers tayari wanajutia hiyo katiba.Hata mimi nimemsikia. Kwa kifupi, huyu hata Ndugai atakuwa na nafuu!!
Kaongea alichongea ili kumfurahisha Mama ampe uspika, na akiupata, atakuwa ni bora Ndugai.
Wabunge kama mko makini, huyu msimpe uspika ingawa sioni uwezekano wa nyinyi kupinga chaguo la Raisi ni nani awe spika.
Kwa sasa Mama anaweka Spika wake(atakaeilinda serikali yake Bungeni) na baadae ataweka Waziri Mkuu wake.
Tukio la Ndugai kushinikizwa kujiuzulu ni ushahidi tosha wa hii katiba mbovu tulioanayo(Mungu ana makusudi kwa kila jambo).
Hata hivyo, nafurahi Ndugai kaonja machungu ya hii katiba mbovu, na ipo siku CCM kama chaka watakuja kujutia hii katiba.
Kwa maongezi ya Rais Hadi kusema Lukuvi hagombei, tayari tumesha andaliwa Spika.Bunge halina maana tena,
Hata usome vipi, ukiamua kuutumikia unafiki, unakuwa mwendawazimu. Uwendawazimu ukimpata msomi na ambaye hajasoma, huwa hakuna tofauti. Kama kutakuwa na utofauti, mwendawazimu ambaye hakusoma atatukana kwa Kiswahili, ambaye amesoma atatukana kwa Kiingereza.Kumbukeni Huyu mama ni mwanasheria kabisa, pale Leo anapokuja na kusema kuwa Rais wa Tanzania ndo Muhimili mkubwa wa mihimili yote iliyoopo, hiyo ipo kwenye ibara gani ya katiba yetu au ni kujipendekeza kumezidi? Hebu wanasheria twambieni kama kuna Kifungu kama hicho kwenye katiba yetu
Dola ni nini ?Kumbukeni Huyu mama ni mwanasheria kabisa, pale Leo anapokuja na kusema kuwa Rais wa Tanzania ndo Muhimili mkubwa wa mihimili yote iliyoopo, hiyo ipo kwenye ibara gani ya katiba yetu au ni kujipendekeza kumezidi? Hebu wanasheria twambieni kama kuna Kifungu kama hicho kwenye katiba yetu
Usilete vitu vya kufikirika Kwa kuwa kasema, Mimi nimesema msomu kma yeye angeleta kitu kilichopo kwenye katiba yetu hiyo mbovu, SASA wewe tutajie Kifungu gani kinasema hicho alichokisema kma mwanasheria?Dola ni nini ?
Nani mkuu wa Dola ?
Jamani semeni mambo yote lakini acheni kukwepa UHALISIA kwasababu ya MIHEMKO.
Rais ndio mkuu wa kila kitu, kinacholeta tofauti ni kuheshimu taratibu tu.
Fanya ufanyavyo, tengeneza Katiba uwezavyo ila mwisho wa siku yule ambaye JESHI LINAMTII na anakaa na HAZINA akitakaa kuwasumbua, atawasumbua tu na hakuna kitu mtafanya.
Sawa kamandaaaaa pipoooooooooooooooosssssssssUsilete vitu vya kufikirika Kwa kuwa kasema, Mimi nimesema msomu kma yeye angeleta kitu kilichopo kwenye katiba yetu hiyo mbovu, SASA wewe tutajie Kifungu gani kinasema hicho alichokisema kma mwanasheria?
Hili sio taifa la kidikteta.Dola ni nini ?
Nani mkuu wa Dola ?
Jamani semeni mambo yote lakini acheni kukwepa UHALISIA kwasababu ya MIHEMKO.
Rais ndio mkuu wa kila kitu, kinacholeta tofauti ni kuheshimu taratibu tu.
Fanya ufanyavyo, tengeneza Katiba uwezavyo ila mwisho wa siku yule ambaye JESHI LINAMTII na anakaa na HAZINA akitakaa kuwasumbua, atawasumbua tu na hakuna kitu mtafanya.
Namuangalia Nchimbi kwa jicho la tatu, ana nafasi kubwa ili kukamilisha ile timu ya mama kuelekea 2025.Kwa maongezi ya Rais Hadi kusema Lukuvi hagombei, tayari tumesha andaliwa Spika.
PipoooooooooooooosssssHili sio taifa la kidikteta.
Itakuwa hivyo mkuuNamuangalia Nchimbi kwa jicho la tatu, ana nafasi kubwa ili kukamilisha ile timu ya mama kuelekea 2025.
Rais yupo kwa sababu Kuna watu/wananchi hivyo asili ya mamlaka yake ni wananchi. Wananchi wanawasiliana na Rais kupitia wawakilishi wao ambao ni wabunge. Ukisema sababu ya ukuu wa Rais uamiri jeshi mkuu si sawa. Hakuwekwa Hapo na jeshi. Jeshi linalinda matakwa ya wananchi.Dola ni nini ?
Nani mkuu wa Dola ?
Jamani semeni mambo yote lakini acheni kukwepa UHALISIA kwasababu ya MIHEMKO.
Rais ndio mkuu wa kila kitu, kinacholeta tofauti ni kuheshimu taratibu tu.
Fanya ufanyavyo, tengeneza Katiba uwezavyo ila mwisho wa siku yule ambaye JESHI LINAMTII na anakaa na HAZINA akitakaa kuwasumbua, atawasumbua tu na hakuna kitu mtafanya.
Akiukosa uspika basi hata unaibu ajiuzulu tuKILA SIKU HUWA NAWAAMBIA WATU HAPA NDANI. RAIS HAYUKO LEVEL SAWA NA SPIKA AU JAJI MKUU.