Yaaah, tatzo ni pale unaajiri watu wa programming ambao hawapo nondo kwa kugeana pande au mtu alifaulu interview kwa bahati yake na kushindwa kufanya kazi ipasavyo hasa katka trouble shooting the problem, af kingine wabongo wengi hatuaminiani hasa katka Kaz hz za programming, bosi yupo tayar kumpa kazi mtu au kampuni nyingine kutengeza program fulan au mfumo fulan, na akamnyima Kaz mtu wa ndan ya kampuni mwenye uwezo mkubwa ili tu ionekane kampuni x ilipewa tenda na miamala itoke nje ya ofisi pesa zipigwe ndefu, pia mabosi wengi huwa wanataka share flan privately wanapotoa tenda kwa watu.

Sasa shida inakuja tatzo likitokea Kama hili, kila kitu linakuwa undercontrol ya mshkaji, labda niwachane tu. ICT ipo juu huku tunafanya project na sio research, kunaproject nyingi Sana znazomake sence zinaishia kwenye vyumba vya presentation...Ila vingekuwa implemented tungekuwa mbali Sana.
Kwa uandishi wa namna hii, Computer Science itaendelea kudharaulika sana kwenye mitandao ya Kijamii nchini Tanzania.
 
Nimenunua saa 11 jioni kupitia Tigo Pesa.
Wacha uongo hadi saa hizi 11:48 PM hamna kitu na tokea jana.

Hivi mawaziri na boss wao wanapataje usingizi kwa kadhia hii kwa wananchi waliowapa dhamana ya uongozi?
 
Wakuu toka jana tarehe 17/ May umeme was Tsnesco kwa mfumo was Luku haupatikani kabisa. Tanesco wanachodai ni Kuwa mfumo upon down. Kwa zaidi ya Masaaki 24 wateja wanakosa huduma ya umeme. serekali nayo inakosa mapato yake.
Najiuliza je hii inaweza kuwa ni hujuma kukwamisha juhudi za mama. Ingefaa wahusika wachunguze kulikoni Ta
nesco?
Kwakweli mama amtoe kalemani hapo naona anamuujumu mama toka magu atangulie huku kigoma kwanza umeme unakatika sana hatujawahi kushinda bila tatizo alafu watu tumewekwa kwenye matumizi makubwa wote naukiweka hiyo luku ya 10000 unapata unit 28 hata mwezi aumalizi zinakimbia kama nini sijui mfano mimi kwangu ninatumia tv flat nch 24 taa wat 5 zipo tatu lakini kwahali kama hii nauona umeme kama anasa enzi za muhongo prof hali ilikuwa poa sana lakini sasa ni hovyo kabisa nafikiria ninunue soler nimwachie kalemani umeme wake
 
Kwahiyo ili kununua umeme ni hadi kwa mawakala wao. Kesho nijihami kabla luku haijakata kabisa.

Nimejaribu kununua hapa naona hola.
 
Very correct mkuu kwa issue za project nadhani vyuo wangepaswa kuangalia project za wanafunzi na kualika organizations/sponsors mbalimbali angalau kuwe na link kati ya elimu na mazingira ya kazi kuna project nyingine ziko more advanced zinapoachwa kwenye flash au cd' inakatisha tamaa sana kwa vijana wengi
Ndo tunafeli, hata ukianzisha project yako lazma ufanye michakato flan flan ya kiuchumi na utawala. Sasa ukiwafata wale jamaa watakuambia uje kesho Mara keshokutwa Mara sjui nn Mara utakuwe kutoa rushwa utazan unaombaj msaada vile.
 
Nipe
Kwa uandishi wa namna hii, Computer Science itaendelea kudharaulika sana kwenye mitandao ya Kijamii nchini Tanzania
Nipe fact mkuu, mm sio mhariri pia nna uwezo wa kawaida na nnatosha kufanya baaz ya kazi , sjui umeona kosa lip la kuizarau taaluma, pia sjui taaluma yako ,pia nikiwa nna akili timamu nathubutu kuandika kuwa programming sio sawa na factors affecting milk production in Canada, kwa mantiki hiyo nna ujasiri wa kukuambia chomoa hicho kibunzi huko jichoni
 
Kama ni hivyo basi hiyo sukuma gang ni mtandao mkubwa sana: malori kukwama bandarini, tra mtandao uko chini, majambazi wanatest mitambo dar, etc
Hao wasukuma wako wengi kiasi gani hadi kuwa kila sehemu ya tatizo ?mimi naona wapinzani wa sisiemu wanatumia hii njia kuwaondoa watu wa kanda ya ziwa upande wao bila kujua na ifikapo 2025 ndio utaona turnabout ki ukweli wasukuma hawajwahi kuwa na umoja wowote na hii sukuma gang nI tactic ya kuwaunganisha kuona kuwa wanabaguliwa na watu bila kujua wamekuwa wana shabikia hatimaye kisichokuwapo kitakuwapo na itakuwa kitu kibaya kuliko maelezo muda utaongea
 
Hao wasukuma wako wengi kiasi gani hadi kuwa kila sehemu ya tatizo ?mimi naona wapinzani wa sisiemu wanatumia hii njia kuwaondoa watu wa kanda ya ziwa upande wao bila kujua na ifikapo 2025 ndio utaona turnabout ki ukweli wasukuma hawajwahi kuwa na umoja wowote na hii sukuma gang nI tactic ya kuwaunganisha kuona kuwa wanabaguliwa na watu bila kujua wamekuwa wana shabikia hatimaye kisichokuwapo kitakuwapo na itakuwa kitu kibaya kuliko maelezo muda utaongea
Uko sahihi, wasukuma ni watu poa sana, very inclusive, tumesoma nao mashuleni walikuwa majamaa poa sana, hawakuwa na ubaguzi wala upendeleo. Nakumbuka tukiwa shuleni tulikuwa tunapenda sana kuwachagua kwenye uongozi maana walikuwa hawana noma, wao ilikuwa ni kutaniana tu.

Sijui hili la kuwaita sukuma gang na kuwabagua kama litawabadilisha, labda. Ila wakijiona wametengwa nadhani wataungana na kuwa na umoja.
 
Back
Top Bottom