Wenye PhD original kina ninyi ndio majizi wakubwaWaTz hatuwezi kuchagua mtu mwenye PhD fake
Mkuu wenyewe ujuzi wao wa kazi ni udiwani, ubunge na nafasi za kuteuliwa.Kwa Nini wafe mkuu, unamaanisha wao wataishi kwa nafasi za uteuzi au ajira. Wanaweza wakajiajiri siyo Lazima waajiriwe
Kafulila kaitumikia CHADEMA 2015? mods futeni huu uzi huyu ni mpotoshaji DAVID KAFULILA alifukuzwa CHADEMA na alihamia NCCR MAGEUZI alikua mbunge 2010-2015Kichwa cha habari kinajieleza vizuri.
Hawa vijana wawili walikuwa wanaitumikia Chadema pale Ufipa na walipoukosa ubunge 2015 baadae wakatimkia CCM kusaka fursa.
Mungu si athumani wakapata teuzi nono tu.
Hawakutosheka wakarudi kule kule walikoangukia pua 2015 na kuchezea kichapo mbele ya miamba ile ile ya Maselle na Husna.
Ama kwa hakika kunguru hafugiki.
Maendeleo hayana vyama!
Wenye PhD original kina ninyi ndio majizi wakubwa
Mnatumia usomi wenu kuijangili nchi, hatuwezi kuongozwa na majambazi kama ninyi
Tena hasa huyo karai( Katambi) anatakiwa asugue Gaga hasa mtaani mpaka akili imrudie. Aende akafungue ofisi ya uwakili hata Tinde au Maganzo aanze maisha huko.Kichwa cha habari kinajieleza vizuri.
Hawa vijana wawili walikuwa wanaitumikia Chadema pale Ufipa na walipoukosa ubunge 2015 baadae wakatimkia CCM kusaka fursa.
Mungu si athumani wakapata teuzi nono tu.
Hawakutosheka wakarudi kule kule walikoangukia pua 2015 na kuchezea kichapo mbele ya miamba ile ile ya Maselle na Husna.
Ama kwa hakika kunguru hafugiki.
Maendeleo hayana vyama!
CCM wamenifurahisha Sana katika hiliZote hizo ni hasira ila Bashite bungeni atabaki kupasikia.
Ile barua ya kusema wahamiaji waachiwe nafasi iliishia wapi ......... au ndiyo ulikuwa mtego wenyewe huo wa kuwatema kiaina!!?Malizia kusema wameingia kwenye mtengo ambao ccm wametega!!!
Hayo huwawanayasema wakiwa kwenye viyoyozi vya uteuzi! sasa nao wajiajiri iwe mfano kwetu piaKwa Nini wafe mkuu, unamaanisha wao wataishi kwa nafasi za uteuzi au ajira. Wanaweza wakajiajiri siyo Lazima waajiriwe
Mbona mnaongozwa na kichaa si Bora jambaziWenye PhD original kina ninyi ndio majizi wakubwa
Mnatumia usomi wenu kuijangili nchi, hatuwezi kuongozwa na majambazi kama ninyi
Umekariri wewe!Kafulila kaitumikia CHADEMA 2015? mods futeni huu uzi huyu ni mpotoshaji DAVID KAFULILA alifukuzwa CHADEMA na alihamia NCCR MAGEUZI alikua mbunge 2010-2015
Nafasi za uteuzi zimejaa,watarudi wapi sasa?Kichwa cha habari kinajieleza vizuri.
Hawa vijana wawili walikuwa wanaitumikia Chadema pale Ufipa na walipoukosa ubunge 2015 baadae wakatimkia CCM kusaka fursa.
Mungu si athumani wakapata teuzi nono tu.
Hawakutosheka wakarudi kule kule walikoangukia pua 2015 na kuchezea kichapo mbele ya miamba ile ile ya Maselle na Husna.
Ama kwa hakika kunguru hafugiki.
Maendeleo hayana vyama!
Hata wangebaki cdm bado wasingepata ubunge.huu ni mwaka wa kijani tupu majimbo yote kwa zaidi ya 95%.
Wataenda kujiajiri!Nafasi za uteuzi zimejaa,watarudi wapi sasa?
We jamaa umetisha sana.Chukua tanoMwanadamu aliyemkosa Mungu ndani ya moyo wake hana tofauti na mnyama wa kawaida.
Hata wangebaki cdm bado wasingepata ubunge.huu ni mwaka wa kijani tupu majimbo yote kwa zaidi ya 95%.
Mtaka vyote kwa pupa hukosa vyoteKichwa cha habari kinajieleza vizuri.
Hawa vijana wawili walikuwa wanaitumikia Chadema pale Ufipa na walipoukosa ubunge 2015 baadae wakatimkia CCM kusaka fursa.
Mungu si athumani wakapata teuzi nono tu.
Hawakutosheka wakarudi kule kule walikoangukia pua 2015 na kuchezea kichapo mbele ya miamba ile ile ya Maselle na Husna.
Ama kwa hakika kunguru hafugiki.
Maendeleo hayana vyama!