Wakubwa! Hivi mmeangalia ratiba ya kampeni? Mpaka mnakuja ajenda, kila mgombea kapewa mda wa kupumzika hata TL alipumzika siku 2 tarehe 8&9
UnajifarijiKampeni ya CCM ya safari ni ya kisayansi zaidi CCM hatuna mcheche hutuoni na helikopta wala ndege slow but sure
Atuletee umeme ,maji , barabara vijiji vya hapa geita vijijini, vijiji vya Nyamikoma,lwenge,Kamwanga na bugurura mkuyuni. Huko hali ni mbaya .Katika hali inayoashiri mikikimiki ya Campaign, Mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi amepumzika kufanya kampeni.
Wachambuzi wa mambo wanatafsiri kuwa kampeni za Mwaka huu zimekuwa siyo nyepesi kama zilivyodhaniwa.
Magufuli ambaye mwaka 2015 alizunguuka kwa barabara nchi nzima, inaonekana dhahiri kuwa safari hii hawezi kuifikia rekodi ya mwaka huo. Safari hii inaonekana ameweka nguvu zaidi katika mikoa ya ukanda wa ziwa huku Wapiga kampeni wengine wakienda kanda nyingine.
Hata hivyo wapiga kampeni wake yaani Mama Samia na Kassim Majaliwa hawana mvuto mkubwa wa kisiasa wa kuweza kuchangia kura za maana kwa Magufuli.
Wakati huohuo mgombea wa Chadema Tundu Lissu ambaye ana faida ya kujinadi mapema makhsusi kwa ajili ya uchaguzi huu kwa kisingizio cha "kutafuta wadhamini" ameendelea kuchanja mbuga kwenye ngazi ya jimbo kwa jimbo baada ya kumaliza kupiga show kwenye ngazi ya kanda kwa kanda.
Sambamba na ngazi ya Jimbo kwa jimbo, Chadema watafanya mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha wanamng'oa Magufuli madarakani.
Bado haijajulikana kama kupumzika huku kwa mgombea wa CCM ni routine ya kawaida tu au uchovu au afya, tunangoja chama cha mapinduzi kitujuze zaidi.
View attachment 1567050
Kufikiri'Kufikili' ni neno la Kiswahili?
Akishinda ni kwa mbinu zile, siyo kwa kura maana hata ma-ccm wengi hawatompa kuraAu inawezekana afya haimruhusu kuendelea na mikikimikiki ya kampeni. Tungoje CCM watujuze zaidi
Lakini kikubwa zaidi, wana CCM wengi hawana shauku ya kumpigania Magufuli kwenye kampeni za mwaka huu isipokuwa kwa unafiki na hofu tu ya kushughulikiwa.
MembeKuna siku nilipost kuwa nimeoteshwa moja kati ya popular candidate atajitoa kwenye uchaguzi huu kwasababu mbali mbali lakini chaajabu @moderetors waliufuta huo Uzi
Naona something will happen but @modes sikuvunja sheria kutoa kilicho moyoni
Alipiga pushups pale Geita nusura atujambie! Itakuwa moto umekata!Inawezekana amepewa ushauri wa daktari, muache apumzike tu.
Safari hii hatobozi! Akimaliza kampeni hizi basi ni mwanaume!inasemekana ni kimeo
Mambo ya Mungu hayo , wema hulipwa kwa wema ,ubaya kwa ubaya .Sasa inakuwaje yule aliyekaa hospitali miaka mitatu anaonekana ngangari zaidi kuliko yule aliyekaa kwenye kiyoyozi Ikulu miaka mitano?
Duh...!.Alipiga pushups pale Geita nusura atujambie! Itakuwa moto umekata!
Pole sana MkuuMkuu utafiti umefanyik,Uchaguzi ukifanyika kesho Rais Magufuli atashinda kwa 89% ila ukifanyika October atashinda kwa 97%
Kiupande wa ubunge Ccm itashinda kwa 98%
Tume huru ikija bado litatafutwa lingine la kulalamikia.Sasa mna yote hayo kwa nini mmeshindwa uwepo wa tume huru ili muwashinde kiroho safi wasiwe hata na kisingizio?
Kwa nini muwabanie vyombo vya habari?
Kwa nini kuwa engua engua?
Kwa nini mafigisu yasiyokwisha dhidi yao?
Wewe ni miongoni mwa mnaoonesha madhaifu ya mtaala wa elimu yetu Tanzania!I knew it since The beginning of Elections, ccm can't withstand this heavy stopa Mr Lissu.