Uchaguzi 2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CCM, Dkt. John Pombe Magufuli na Samia Suluhu

Nalipa Kodi Kila mwezi so chini ya laki mbili lakini matishiwa eti nikimchagua mpizani hataleta maendeleo kwa kauli hiyo huyu anatugawa na kutubagua kazi kwangu 28/10/2020
 
Katika hali inayoashiri mikikimiki ya Campaign, Mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi amepumzika kufanya kampeni.

Wachambuzi wa mambo wanatafsiri kuwa kampeni za Mwaka huu zimekuwa siyo nyepesi kama zilivyodhaniwa.

Magufuli ambaye mwaka 2015 alizunguuka kwa barabara nchi nzima, inaonekana dhahiri kuwa safari hii hawezi kuifikia rekodi ya mwaka huo. Safari hii inaonekana ameweka nguvu zaidi katika mikoa ya ukanda wa ziwa huku Wapiga kampeni wengine wakienda kanda nyingine.

Hata hivyo wapiga kampeni wake yaani Mama Samia na Kassim Majaliwa hawana mvuto mkubwa wa kisiasa wa kuweza kuchangia kura za maana kwa Magufuli.

Wakati huohuo mgombea wa Chadema Tundu Lissu ambaye ana faida ya kujinadi mapema makhsusi kwa ajili ya uchaguzi huu kwa kisingizio cha "kutafuta wadhamini" ameendelea kuchanja mbuga kwenye ngazi ya jimbo kwa jimbo baada ya kumaliza kupiga show kwenye ngazi ya kanda kwa kanda.

Sambamba na ngazi ya Jimbo kwa jimbo, Chadema watafanya mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha wanamng'oa Magufuli madarakani.

Bado haijajulikana kama kupumzika huku kwa mgombea wa CCM ni routine ya kawaida tu au uchovu au afya, tunangoja chama cha mapinduzi kitujuze zaidi.

View attachment 1567050
Hiyo ipo kwenye ratiba, amekampeni awamu ya kwanza, anavuta pumzi kwa siku kadhaa kisha ataendelea...

Mbona nyie mgombea wenu alipumzika juzi hapa hadi kupata mida wa kufanya mahojiano na vyombo vya habar na haikuwa hoja iweje leo magu apumzike muishikie bango?

Tulieni tuwanyooshe kwny sanduku la kura ndo mtajua hamjui!
 
Dr. Magufuli umri umesogea. Mwenzie Kikwete alidondoka jukwaani. Mwacheni apumzike kidogo then aendelee.
 
Dr. Magufuli umri umesogea. Mwenzie Kikwete alidondoka jukwaani. Mwacheni apumzike kidogo then aendelee.

Jiwe sio mtu wa umri mkubwa; tatizo lake he cannot handle stressful situations na ndio maana mara nyingi anakuwa mkali!
Inawezekana kuwa kweli betri yake huwa inapungua charge hivyo anakuwa disorientated!!
 
Jiwe sio mtu wa umri mkubwa; tatizo lake he cannot handle stressful situations na ndio maana mara nyingi anakuwa mkali!
Inawezekana kuwa kweli betri yake huwa inapungua charge hivyo anakuwa disorientated!!
Tatizo mwili wake unatema sumu sana na ukiangalia tena ni mtu wa lile jibwana basi na linaelekea mwishoni ni tabu tupu!
 
Katika hali inayoashiri mikikimiki ya Campaign, Mgombea urais kupitia chama cha Mapinduzi amepumzika kufanya kampeni.

Wachambuzi wa mambo wanatafsiri kuwa kampeni za Mwaka huu zimekuwa siyo nyepesi kama zilivyodhaniwa.

Magufuli ambaye mwaka 2015 alizunguuka kwa barabara nchi nzima, inaonekana dhahiri kuwa safari hii hawezi kuifikia rekodi ya mwaka huo. Safari hii inaonekana ameweka nguvu zaidi katika mikoa ya ukanda wa ziwa huku Wapiga kampeni wengine wakienda kanda nyingine.

Hata hivyo wapiga kampeni wake yaani Mama Samia na Kassim Majaliwa hawana mvuto mkubwa wa kisiasa wa kuweza kuchangia kura za maana kwa Magufuli.

Wakati huohuo mgombea wa Chadema Tundu Lissu ambaye ana faida ya kujinadi mapema makhsusi kwa ajili ya uchaguzi huu kwa kisingizio cha "kutafuta wadhamini" ameendelea kuchanja mbuga kwenye ngazi ya jimbo kwa jimbo baada ya kumaliza kupiga show kwenye ngazi ya kanda kwa kanda.

Sambamba na ngazi ya Jimbo kwa jimbo, Chadema watafanya mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba ili kuhakikisha wanamng'oa Magufuli madarakani.

Bado haijajulikana kama kupumzika huku kwa mgombea wa CCM ni routine ya kawaida tu au uchovu au afya, tunangoja chama cha mapinduzi kitujuze zaidi.

View attachment 1567050
Missile of nation so alikuwa Mbeya? Ina maana katoka Mbeya kwenda kupumzika?
 
Pumzi imekata! Lissu hafai aisee!! Alijua mwaka huu atateremka tu mlima kitonga! Kisa amenunua ndege na kujenga flyovers. Alichokutana nacho, hatokuja akisahau kamwe.

Hili ndilo somo sahihi la kudhani maendeleo ni VITU pekee!
Kwa akili ndogo ya Jiwe, hawezi kutambua kuwa wapambe wake wanaomuita Yesu walikuwa wanamdanganya awateue. Kama hajatambua kuwa wanaomzunguka ni wanafiki, basi kutakuwa na tatizo upstairs! Nashauri awafukuze wrote wanaomshangilia na yeye aache tabia ya kutaka kusifiwa!
 
Chama tawala katika kampeni hizi ndio kimehodhi vyombo vyote vya habari, mabango nchi nzima na wasanii wa kumwaga.

Jambo la ajabu timu yao ya kampeni ndiyo inatetemeka na kukosa formation ya wakifanyacho hadi kujikita kufanya faulo wakilindwa na vyombo vya dola.

Sasa hivi hata ilani yao wameitupa ni kudandia dandia Sera za vyama vingine.
Polepole na Bashiru kila mtu kivyake.
Wanakwama wapi?
Upinzani umejengwa mioyoni mwa watu kwa sababu ya uonevu, ukandamizaji, upendeleo, ubaguzi, ukabila ukanda, utekaji, utesaji, dharau kiburi na uuaji. Hamna amabaye hajaona haya yakiendelea mchana kweupeee sasa wakulamiwa hawezi kuwa waliyemuua akarudishwa na Mungu au Chama cha siasa
 
Chama tawala katika kampeni hizi ndio kimehodhi vyombo vyote vya habari, mabango nchi nzima na wasanii wa kumwaga.

Jambo la ajabu timu yao ya kampeni ndiyo inatetemeka na kukosa formation ya wakifanyacho hadi kujikita kufanya faulo wakilindwa na vyombo vya dola.

Sasa hivi hata ilani yao wameitupa ni kudandia dandia Sera za vyama vingine.
Polepole na Bashiru kila mtu kivyake.
Wanakwama wapi?
Vibendera kujidanganya nakujipa upepo ndio kazi
Humu ninId tano tano hahaha
Mpo hali mbaya na pigo mtakalo pokea mtahistoria
 
Back
Top Bottom