Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Atawaeleza nini wana Kagera?Ile kampeni ya mgombea Urais wa JMT kupitia CCM ndugu John Magufuli haitokuwepo leo.
Inasemekana kesho ndiyo ataelekea huko.
Kawatukana, kala hela zao za tetemeko, kamtesa mtoto wao Kabendera hadi mama yake amefariki na mbaya zaidi hakumruhusu hata kwenda kumzika.