Theodora
JF-Expert Member
- Dec 20, 2009
- 802
- 570
Halafu ukute hata insurance ya jengo hamna, na kama ilikuwepo iliexpire. Sasa muziki wa fidia kwa hao wafanyibiashara. Very Sad. Lazima serikali ibadilike aisee.Kwenye sehemu za umma ambazo serikali ndio muwajikabi hizo sheria hazifuatwi, lakini taasisi za binafsi utakuta watu wa fire brigade wanashinda hapo kufanya ukaguzi...