Albert Chalamila: Kamati imebaini kuwa moto wa Kariakoo ulisababishwa na hujuma, sio ajali

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uchunguzi wa kamati aliyoiunda umebaini moto uliotokea eneo la Mnadani, Kariakoo jijini Dar es Salaam sio ajali bali ni hujuma ndani ya wafanyabiashara wenyewe.

Baadhi ya kamera za CCTV zimebainisha haya ambapo wafanyabiashara wa awali walisema sababu ya moto huo ulikuwa ni jenereta, lakini uchunguzi umebaini jenereta likukuwa zima, halikuungua na halikuwa chanzo cha moto huo.

Tukio hili liliokea Oktoba 1, 2023.


Pia soma: Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi
 
Kitaifa
Dar es Salaam. Siku chache baada ya tukio la moto lililotokea Kariakoo na kuteketeza baadhi ya maduka na
vibanda vya wafanyabiashara, kamati iliyoundwa na Ofisi Mkuu wa Mkoa imebaini chanzo cha moto huo ni hujuma baina ya wafanyabiashara na sio ajali.

Oktoba Mosi, moto mkubwa uliteketeza maduka na vibanda kadhaa vya wafanyabiashara
Kariakoo na kusababisha hasara ya mamilioni ya shilingi, huku chanzo cha moto huo kikiwa bado

Hata hivyo, baada ya tukio hilo
 
Kitaifa
Dar es Salaam. Siku chache baada ya tukio la moto lililotokea Kariakoo na kuteketeza baadhi ya maduka na
vibanda vya wafanyabiashara, kamati iliyoundwa na Ofisi Mkuu wa Mkoa imebaini chanzo cha moto huo ni hujuma baina ya wafanyabiashara na sio ajali.

Oktoba Mosi, moto mkubwa uliteketeza maduka na vibanda kadhaa vya wafanyabiashara
Kariakoo na kusababisha hasara ya mamilioni ya shilingi, huku chanzo cha moto huo kikiwa bado hakija fahamika

Hata hivyo, baada ya tukio hilo Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, aliunda kamati ya
uchunguzi ikihusisha vyombo vya ulinzi na usalama ambayo ilitwkiwa kufanya uchunguzi wa tukio hilo
ndani ya siku Saba.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema uchunguzi wa kamati aliyoiunda umebaini moto uliotokea eneo la Mnadani, Kariakoo jijini Dar es Salaam sio ajali bali ni hujuma ndani ya wafanyabiashara wenyewe.

Baadhi ya kamera za CCTV zimebainisha haya ambapo wafanyabiashara wa awali walisema sababu ya moto huo ulikuwa ni jenereta, lakini uchunguzi umebaini jenereta likukuwa zima, halikuungua na halikuwa chanzo cha moto huo.

Tukio hili liliokea Oktoba 1, 2023.


Pia soma: Kariakoo: Moto Mkubwa unawaka Msimbazi
Waliofanya hujuma wametiwa nguvuni?
 
Back
Top Bottom