Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Mkuu hebu soma kilicho andikwa kwanza ndio uulize maswali.Mbona zikianzaga kuvuma zile Threads za @BenSaanane JF inaanza kushambuliwa ? Kuna nini Nyuma ya Camera ?!!
Jana Jioni niliweza kusoma Thread ikimuhusu Ben saa nane ! Kwamba Wana JF wanajadili kuweka Dau ili itusaidie kupatikana Kwa BEN awe hai au Laa
Ni hayo tu Nayo waza Kwa sasa
Hahahaha aiseee siasa hizi ni hatari sana...