‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

Status
Not open for further replies.
Kuanzia saa 9 alasiri leo Novemba 10, 2018 (kwa majira ya Afrika Mashariki), JF inaweza kutoweka hewani.

Kuna mashambulizi kadhaa yatafanywa kwa mfulululizo (takribani saa 5) ili kuiangusha na kuiondoa hewani.

Lengo la mashambulizi haya ni kujitathmini kama ikitokea shambulizi (kwa levels zote) tutaweza likabili au linaweza sababisha athari gani.

NB: Si lazima kutoweka hewani; taarifa hii inalenga kutoa tahadhari ili ikitokea (kwa bahati mbaya) mteja ajue ni kitu kimepangwa.

Ooooh asante kwa taarifa Melo pia pole kwa majukumu yanayokukabili. Nakutakia kila la kheri kwenye ufanyalo.

Missed you.

Cheers.
 
Hii ya leo wanawafahamu hao watu maana wamewakaribisha wenyewe. Ila pia kasema hata wasiojulikana wanakaribishwa

Natambua uwezo wa Max.

Bila yeye na mazee wengine, JF isingeweza kusimama hapo ilipo.

Sisi wengine twaangalia ustawi.

Si wanaona nipo hapa, nipo kitambo.
 
Sasa mmeweka na muda kabisa. Sasa mkiwa mnajishambulia na watu wasiojulikana wakawashambulia kwa muda huo huo mtajua nundu hii imetokana na ngumi ipi na dawa yake ni ipi?
Swali making sana, ila kikosi cha mashambulizi kitaona eneo lililoshambuliwa hawakushambulia wao. Hope watajiongeza.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom