Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,781
- 3,942
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseee..Tunaweka CCTV sawa ili ijulikane itapotelea njia ya Kawe au wapi.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseee..Tunaweka CCTV sawa ili ijulikane itapotelea njia ya Kawe au wapi.
Sio siri bwana melo huu mtandao kwa sasa hauvutii kabisa bora niende zangu facebook,Instagram au WhatsAppKuanzia saa 9 alasiri leo Novemba 10, 2018 (kwa majira ya Afrika Mashariki), JF inaweza kutoweka hewani.
Kuna mashambulizi kadhaa yatafanywa kwa mfulululizo ili kuiangusha na kuiondoa hewani.
Lengo la mashambulizi haya ni kujitathmini kama ikitokea shambulizi (kwa levels zote) tutaweza likabili au linaweza sababisha athari gani.
NB: Si lazima kutoweka hewani; taarifa hii inalenga kutoa tahadhari ili ikitokea (kwa bahati mbaya) mteja ajue ni kitu kimepangwa.
UPDATE:
Yamefanyika majaribio kadhaa ya awali na JF imefanikiwa kuyashinda. Zoezi litarudiwa Disemba 8, 2018.
Tunawashukuru kwa uelewa na ushirikiano
Wewe binafsi una kipi cha kusaidia/kushauri ili jf irudi kwenye mvuto huo unaousemea?Sio siri bwana melo huu mtandao kwa sasa hauvutii kabisa bora niende zangu facebook,Instagram au WhatsApp
Namshauri huku CEO wa JF ambaye ni hashauriki wala haambiliki aweke uzi then asikilize maoni wa wanaJF wote wanataka nini kipya kiwekwe na kipi kiondolewe.Wewe binafsi una kipi cha kusaidia/kushauri ili jf irudi kwenye mvuto huo unaousemea?
Sent using Jamii Forums mobile app