Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,313
- 46,825
Hahaha..na bournemouth anashinda leo mapema tuMngepanga usiku wa manane hilo tukio, mida ya kazi hiyo hasa jukwaa la kubeti na weekend hii mtatukosesha hela
Hahaha..na bournemouth anashinda leo mapema tuMngepanga usiku wa manane hilo tukio, mida ya kazi hiyo hasa jukwaa la kubeti na weekend hii mtatukosesha hela
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Maxence Melo, kila la heri kwa majaribio ya mashambulizi ya MISSILES mtakayo fanya. Tunawaombea RADAR zenu ziyakabili kwa wepesi.
Na asante sana kwa kutoa taarifa mapema.
#mara paap thread zinabadili chama, za CHADEMA zina hamia kwa wana CCM, na za wana CCM zinahamia kwa wana CHADEMA. hahahaha itakua noma[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Thread za britanicca zina hami kwa Salary Slip, na za Zitto zina hamia kwa Pascal Mayalla
Mimi nawachangia kopo nne za mafuta ya kupikia mkiwa kwenye mapambano, kila la kheri JFView attachment 928366
Hii imekaa vema nadhani mtatest na disaster recovery program say from disaster recovery site Kama IPO.Kuanzia saa 9 alasiri leo Novemba 10, 2018 (kwa majira ya Afrika Mashariki), JF inaweza kutoweka hewani.
Kuna mashambulizi kadhaa yatafanywa kwa mfulululizo (takribani saa 5) ili kuiangusha na kuiondoa hewani.
Lengo la mashambulizi haya ni kujitathmini kama ikitokea shambulizi (kwa levels zote) tutaweza likabili au linaweza sababisha athari gani.
NB: Si lazima kutoweka hewani; taarifa hii inalenga kutoa tahadhari ili ikitokea (kwa bahati mbaya) mteja ajue ni kitu kimepangwa.
imeeleweka Ila haikutakiwa kutolewa jinsi ilivyotolewaIMEELEWEKA....
Nimegundua kuwa uelewa wa baadhi ya watu humu JF ni mdogo mnooo. U can see through their commentsUmemuelewa Melo lakini?
Kueleweka imeeleweka Ila kitaalamu haikutakiwa kutolewa jinsi ilivyotolewaNafikiri haina tatizo, taarifa ipo very poised, it is universal for all JF Users (Who indeed have great diversity in understanding).
Ni katika kufanya taarifa ieleweke kwa wote.
asanteni kwa lengo lenu la kujitathimini uthabitiKuanzia saa 9 alasiri leo Novemba 10, 2018 (kwa majira ya Afrika Mashariki), JF inaweza kutoweka hewani.
Kuna mashambulizi kadhaa yatafanywa kwa mfulululizo (takribani saa 5) ili kuiangusha na kuiondoa hewani.
Lengo la mashambulizi haya ni kujitathmini kama ikitokea shambulizi (kwa levels zote) tutaweza likabili au linaweza sababisha athari gani.
NB: Si lazima kutoweka hewani; taarifa hii inalenga kutoa tahadhari ili ikitokea (kwa bahati mbaya) mteja ajue ni kitu kimepangwa.
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Mkuu hili shambulio litatuathiri watu wa KUBET maana hii mida ndio ya kuchungulia odds tuweke mikeka ..
Kama vipi mngeahirisha shambulio hilo hadi jumatatu usiku usiku.
Mkifanya weekend kuna watu tutalala njaa
Na mimi nikidhani ungenitag[emoji39][emoji39][emoji125]