Kweli mkuu pia naona njia uliyopendekeza na pia waangalie jinsi ya kuweka mapapeti kwenye hizo idara ili kujua kama wana mipango gani juu ya JF!!Melo sina nia ya kukukatisha tamaa najua unajua unachofanya ila zoezi hili kama halitasaidia sana siku za mbele.
Maadui wa JF (mfano wale walioiblock April 2018) wana vitendea kazi na knowledge ya kutosha, siku yoyote watakayoona kuna ulazima wa kuiblock JF kwa mashambulizi wanaweza kufanya hivyo.
Njia pekee na ya UHAKIKA kujilinda nao ni kwa nyie kuwatumia hao hao wanaowapa maadui zenu hivyo vitendea kazi na knowledge ili wawape counter-measures ili siku ya siku muwashangaze! Ukihitaji niambie nitakwambia wapi pa kuwapata.
Bila hivyo naona mtaweza tu kuresist mashambulizi ya wadukuzi binafsi ambao sidhani kama wana muda sana na JF (labda kuitumia kwa mazoezi) lakini siyo ya watu wasiojulikana.
Tupo pamoja lakini.
Inasikitisha sanaNimegundua kuwa uelewa wa baadhi ya watu humu JF ni mdogo mnooo. U can see through their comments
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dah nimecheka vibaya mnoMngepanga usiku wa manane hilo tukio, mida ya kazi hiyo hasa jukwaa la kubeti na weekend hii mtatukosesha hela
hao mahacker washindwe kwa jina lako love
Ngoja nikaondoshe tandabui kwenye acc hangu ya Kenya talk...No problem tutahamia kwa muda kwa ndugu Kenya talk
Clarify the meaning to me!Hii imekaa vema nadhani mtatest na disaster recovery program say from disaster recovery site Kama IPO.