‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

Status
Not open for further replies.
Mbona zikianzaga kuvuma zile Threads za @BenSaanane JF inaanza kushambuliwa ? Kuna nini Nyuma ya Camera ?!!


Jana Jioni niliweza kusoma Thread ikimuhusu Ben saa nane ! Kwamba Wana JF wanajadili kuweka Dau ili itusaidie kupatikana Kwa BEN awe hai au Laa




Ni hayo tu Nayo waza Kwa sasa
 
Mngepanga usiku wa manane hilo tukio, mida ya kazi hiyo hasa jukwaa la kubeti na weekend hii mtatukosesha hela
Mkuu,

Nina hakika huenda usishtukie kuwa hata attacks zimeisha. Ila nilichoweka ni tahadhari ili mkiona iko slow msishtuke.

Tunajiamini kuwa tupo sawa, ila tumealika attackers ili tujiridhishe na uimara wetu. Kasoro zitakazobainika zitafanyiwa kazi haraka
 
Soma vizuri uelewe.
Mbona zikianzaga kuvuma zile Threads za @BenSaanane JF inaanza kushambuliwa ? Kuna nini Nyuma ya Camera ?!!


Jana Jioni niliweza kusoma Thread ikimuhusu Ben saa nane ! Kwamba Wana JF wanajadili kuweka Dau ili itusaidie kupatikana Kwa BEN awe hai au Laa




Ni hayo tu Nayo waza Kwa sasa
 
Mkuu hili shambulio litatuathiri watu wa KUBET maana hii mida ndio ya kuchungulia odds tuweke mikeka ..
Kama vipi mngeahirisha shambulio hilo hadi jumatatu usiku usiku.

Mkifanya weekend kuna watu tutalala njaa
Mkuu,

Wewe endelea kuweka mikeka. Uwezekano wa kuwa offline ni 5% na kuendelea kuwa online ni 95%. Hivyo, ondoa shaka!
 
Nina hakika pamoja na Melo kuandika kwa lugha nyepesi asilimia sabini hawajamuelewa kabisa.

Hapa ndio huwa naamini hakuna lugha nyepesi kabisa yani pamoja na mtu kusema imepangwa bado wanashindwa kuelewa ni kama mtu kutest uimara wa gari lake kwa kulipitisha njia anayo jua kabisa inaweza kuli athiri ili kumsaidia kujua uimara wa gari lake....
 
Great thinkers wachache sana humu. Ukitaka kuamini pitia comments zote za huu uzi, kuna watu hawajaelewa wanacomment out of topic[emoji23][emoji23]
akili ya mtu haijawahi kupimwa kwa comments anazotoa humu jf wengine huwa wanamchaenji mleta uzi
 
Kwahiyo itarudi baada ya muda gani?, ila kwa mtazamo wangu maintenance ilitakiwa ifanyike mida ya usiku.
Itakuwepo muda wote. Usihofu, ikitokea kupotea tutahakikisha inarejea haraka sana
 
Great thinkers wachache sana humu. Ukitaka kuamini pitia comments zote za huu uzi, kuna watu hawajaelewa wanacomment out of topic[emoji23][emoji23]

Hahahahaha asilimia 70 hawajaelewa labda Melo aandike kuwa " kuanzia saa 9 tutaushambulia mtandao wetu tuangalie kama uko imara kwa mashambulizi yeyote yale"

Mimi huwa nasema kabisa watanzania sisi tuna vichwa vigumu sana lakini hatupendi kusikiliza au kusoma kwa makini.

Melo anatakiwa kukaa kwenye huu uzi kujibu kila comment maana kazi ipo sana...
 
Njia pekee na ya UHAKIKA kujilinda nao ni kwa nyie kuwatumia hao hao wanaowapa maadui zenu hivyo vitendea kazi na knowledge ili wawape counter-measures ili siku ya siku muwashangaze! Ukihitaji niambie nitakwambia wapi pa kuwapata.
Any attack inakuwa analysed mkuu wangu.

Previous attacks zote zilikuwa recorded na tunajua walifanya nini.

This time around tumealika nguli kadhaa ambao ni advanced kwenye mashambulizi ya kila namna na tunafanya hivi kwa lengo la kujihakiki wenyewe.

Asante
 
Tunaweza kukutengea muda wako ukitaka kujaribu. Unakaribishwa, lengo ni kuongeza uimara katika ulinzi.

Hatutaki tushtukizwe, ndo maana tunafanya kwenye live site na muda ambao kunakuwa na watu wengi
Sawasawa mkuu,keep up the good work,amani ya bwana iwe nanyu daima milele,na awajaalie muweze kuzishinda juhudi za mabwanyenye and the powers that be wanaojaribu kutu/kuwadhoofisha.
 
Mkuu Max, hawa hawatuwezi ni wajinga.

Tutapambana nao vilivyo kulinda heshima ya JF.

Yaani kamati ya ufundi imekesha usiku kucha, kila wakija wanakutana na msemo kwenye ujumbe usemao, "back off"

Usicheze na JF.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom