asubuhi sana
JF-Expert Member
- Mar 18, 2015
- 1,669
- 1,418
Mbona zikianzaga kuvuma zile Threads za @BenSaanane JF inaanza kushambuliwa ? Kuna nini Nyuma ya Camera ?!!
Jana Jioni niliweza kusoma Thread ikimuhusu Ben saa nane ! Kwamba Wana JF wanajadili kuweka Dau ili itusaidie kupatikana Kwa BEN awe hai au Laa
Ni hayo tu Nayo waza Kwa sasa
Jana Jioni niliweza kusoma Thread ikimuhusu Ben saa nane ! Kwamba Wana JF wanajadili kuweka Dau ili itusaidie kupatikana Kwa BEN awe hai au Laa
Ni hayo tu Nayo waza Kwa sasa