‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

Status
Not open for further replies.
Mkuu, tupo vizuri; tumejipanga

Mkuu Max, unadhani kufanya majaribio hayo mchana ni sahihi au labda unataka iwe ni kwenye high traffic?

Nilidhani wakati wa usiku ndo ingekuwa kumetulia na hata wale wanaokutana usiku wa manane wanaweza kupumzika kwa muda.
 
Endeleeni kutupiga BAN na kufuta thread zetu hadi tunakuja na ID mpya..
Kuna mda tunausubiri wala sio huu unaousema

Ikifanikiwa penetration in admjn panel
Mtakuja na lugha moja.

. ...... Niliwahi ona comment hii mahali
 
Mkuu nasisi tunaweza endelea na mashambulizi kimya kimya.. ngoja niweke mitambo safi niingie kwenye mtanange..

tukutane saa tisa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom