‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

Status
Not open for further replies.
Hii ni taarifa mbaya kwetu, hakuna taarifa inayotupita bila kuipata tofauti na kwenye media ambapo inakuwa ishaondolewa ladha kwa kuwa edited kupitiliza.
Ila kwa kuwa imebainika mapema najua mmejipanga vya kutosha
 
Kuanzia saa 9 alasiri leo Novemba 10, 2018 (kwa majira ya Afrika Mashariki), JF inaweza kutoweka hewani.

Kuna mashambulizi kadhaa yatafanywa kwa mfulululizo (takribani saa 5) ili kuiangusha na kuiondoa hewani.

Lengo la mashambulizi haya ni kujitathmini kama ikitokea shambulizi (kwa levels zote) tutaweza likabili au linaweza sababisha athari gani.

NB: Si lazima kutoweka hewani; taarifa hii inalenga kutoa tahadhari ili ikitokea (kwa bahati mbaya) mteja ajue ni kitu kimepangwa.
Aisee, inakera sana hii kitu, wanawashambulia wakijisikia maana hii itakua Mara ya tano sasa kama sijakosea, nashauri mtumie server za kisasa zenye mechanism ya kuzuia mashambulizi ya denial of service attacks, NARUDIA TENA, TUMIENI SERVER ZA KISASA
 
Aisee, inakera sana hii kitu, wanawashambulia wakijisikia maana hii itakua Mara ya tano sasa kama sijakosea, nashauri mtumie server za kisasa zenye mechanism ya kuzuia mashambulizi ya denial of service attacks, NARUDIA TENA, TUMIENI SERVER ZA KISASA
Mzee hii ni staged
 
Madhara ya kujaribu vitu bila experience ni mabaya sana....kama lengo ni kujaribu iwapo shambulizi la aina yoyote litatokea basi Nawashauri muwe makini na mtumie weledi maana mnaweza mkaiathiri hii server hasa katika taarifa za siri za Sisi watumiaji....Be careful guys...wishing u all the best Maxence Melo
Kwa nini unadhani wanajaribu bila experience?
 
Hii n Sawa na kuonja sumu Kwa kujaribu kama inazuru VP sipingi hayo majaribio yenu lakini umakini mkubwa Unatakiwa live long home of great thinker
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom