‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

‪Scheduled JF Maintenance: Novemba 10, 2018‬ & Dec 08, 2018

Status
Not open for further replies.
Madhara ya kujaribu vitu bila experience ni mabaya sana....kama lengo ni kujaribu iwapo shambulizi la aina yoyote litatokea basi Nawashauri muwe makini na mtumie weledi maana mnaweza mkaiathiri hii server hasa katika taarifa za siri za Sisi watumiaji....Be careful guys...wishing u all the best Maxence Melo
Nadhani wangetengeneza JF Copy wailipue huko kupima kama italipuka!
Cc Maxence Melo
 
Hii inahusiana na kilichoandikwa hapo juu mkuu? Hata wewe kuna watu watakulalamikia kwa kuingiza hoja ndani ya hoja (off-topic) na ukisoma sheria za JF zinazuia 😊
Hahaa haa haaa ...

by the way nawapa pongezi kwa hiyo hatua yenu mliyoifikiria kuifanya " ... nimaamuzi makini tena sahihi 100% katika wakati muafaka
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom