ERTUGRUL BEY
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 11,582
- 21,620
Katika suratil al asiri Allah ameapa kwa wakati,hakika wakati ni rasimali muhumu sana katika maisha ya mwanadamu,kwahiyo usiutumie wakati wako vibaya hata kidogo hasa katika mwezi huu wa ramadhani
Utamsikia mtu anasema ngoja niende kijiweni nikapoteze wakati hakika ni msiba mkubwa,huu ni wakati wa kufanya amali nyingi zaidi,sikiliza darsa na mawaidha ya dini,soma qur'an,fanya dhikri utajo wa Allah kwa wingi na yale yote ambayo yatakuongezea akaunti ya mema yako
Masiku yenyewe ni machache mno kama anavyosema Allah subhana wa taala,basi ndugu zangu katika imani huu si wakati wa kupoteza mda kuangalia filamu na series mbali mbali,bali ni wakati wa kufanya amali zaidi kadri iweze kanavyo ili tufaidike na mwezi huu
Mtume Muhammad swalla llahu alaihy wasalaam,anasema hakika amepata khasara yule ambaye ramadhani imemfikia na kisha asisamehewe na Allah
Utamsikia mtu anasema ngoja niende kijiweni nikapoteze wakati hakika ni msiba mkubwa,huu ni wakati wa kufanya amali nyingi zaidi,sikiliza darsa na mawaidha ya dini,soma qur'an,fanya dhikri utajo wa Allah kwa wingi na yale yote ambayo yatakuongezea akaunti ya mema yako
Masiku yenyewe ni machache mno kama anavyosema Allah subhana wa taala,basi ndugu zangu katika imani huu si wakati wa kupoteza mda kuangalia filamu na series mbali mbali,bali ni wakati wa kufanya amali zaidi kadri iweze kanavyo ili tufaidike na mwezi huu
Mtume Muhammad swalla llahu alaihy wasalaam,anasema hakika amepata khasara yule ambaye ramadhani imemfikia na kisha asisamehewe na Allah