Bashe hajaibuliwa na marehemu wenu tafuteni sehemu nyingine ya kujiliwaza.Msoga wasipomzonga naona ni mmoja wa vijana wenye nia njema na nchi hii...anajua anachokifanya... hongera kwa JPM kuibua kipaji.
Tatizo kukifanyika mabadiriko usishangae mtu kama huyo kusikia kahamishiwa Tamisemi, ndio shida ya siasa zetu.Ni kamarada H.Bashe tena....
Bashe anaweza....
Bashe is a visionary leader....
Bashe is a charismatic leader.....
TUNATEGEMEA mengi kutoka kwake ,amin🙏
#Siempre JMT🙏
Tatizo mfumo wa ruzuku unahujumiwa kwa viwango vya kutishaKuijali kwa maneno tu.
Mara zote amekua akiambia kuwa Bei ya pembejeo imepanda Mara 3 wanaomba ashughulikie, lakini kimya. Leo anakuja na hili. Alipaswa aanze na pembejeo.
Sasa uniform za afisa ugani kwa sasa za nn? Kama mkulima kashindwa kununua pembejeo sababu ya Bei kubwa hizo uniform kazi yake inakua nn?
Bashe is good.Ila nashauri kwa mara nyingine tena yafuatayo:Dodoma.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumpatia Sh150 bilioni ili aziweke katika benki za biashara kama dhamana (security), hatua itakayowezesha wakulima nchini kuanza kupata ruzuku ya mbolea katika msimu wa kilimo ujayo.
Bashe ameomba fedha hizo leo Jumatatu Aprili 4, 2022 wakati wa hafla ya uzinduzi wa ugawaji wa vitendea kazi kwa maofisa ugani nchini.
Bashe amesema bei ya mbolea katika soko la dunia imepanda kwa zaidi asilimia 300.
Amesema Rais Samia aliielekeza Benki Kuu (BoT) kutenga Sh1 trilioni kwa ajili ya sekta ya kilimo na kumuomba Sh150 bilioni kwa ajili ya kuweka katika benki za biashara kama security.
Amesema hatua hiyo itawezesha kuaanza kutoa ruzuku ya mbolea katika msimu ujao wa kilimo.
“Nakuhakikishia mheshimiwa Rais fedha hii haitapotea. Tumeshafanya hivi katika korosho kwa kugawa ruzuku ya pembeje na tumeongeza uzalishaji tani 40,000,”amesema.
Aidha, Bashe amesema jumla ya maofisa ugani 7,000 watagawiwa pikipiki na vifaa vya kupimia udongo.
“Tumeanza kuwapa elimu maofisa ugani kulingana ekolojia ya maeneo na mazao yanayozalishwa na tutawapa ekari moja kwa kila ofisa ugani, atapewa mbegu bora na mbolea ili akiwafundisha awapeleke shambani,”amesema.
Amesema kuwa majaribio yameanza katika mikoa mitatu ya Dodoma, Singida na Simiyu kwa kutenga mashamba 600 ambapo kila kijiji kitakuwa na shamba darasa ili wakulima wapate elimu stahiki.
Pia amesema maofisa ugani hao watapatiwa vifaa vya kupimia udongo na kwamba hapo mwanzo taarifa za udongo zilikuwa zinapatikana kama za uganga wa kienyeji.
Bashe amesema lengo hadi kufikia mwaka 2025 kila kata iwe na kipimia udongo chake ambapo mkulima atapimiwa udongo na kupewa cheti ambacho kitakuwa na taarifa zote za afya ya udongo wake na aina ya virutubisho vinavyotakiwa.
View attachment 2175655
Daa, haki ya nani, sasa mkuu samia anahusikaje hapo wakati hata huyo bashe ni zao la Magu?Watakubali tuu kwamba Samia ni akili hadi kufikia 2025
Sasa mwenye akili ni bashe au Samia?Watakubali tuu kwamba Samia ni akili hadi kufikia 2025
Ukiteua pumba manake na wewe ni pumba kwa sababu wasaidizi wakifaulu sifa ni kwa mfalme.
Weee Magu alimzaa Bashe au sio? Kwa hiyo Bashe alikuwa minister wa kilimo enzi za mwendazake au sio?Daa, haki ya nani, sasa mkuu samia anahusikaje hapo wakati hata huyo bashe ni zao la Magu?
Nia ya jinamizi ilikuwa ni kumziba mdomo Bashe ili ajumuike kwenye praise choir.Bashe ni zao la Rostum Aziz Jinamizi lilijikomba tu.
View attachment 2175798
Labda mapinduzi ya Kilimo CHUMBANI KWAKEDodoma.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumpatia Sh150 bilioni ili aziweke katika benki za biashara kama dhamana (security), hatua itakayowezesha wakulima nchini kuanza kupata ruzuku ya mbolea katika msimu wa kilimo ujayo.
Bashe ameomba fedha hizo leo Jumatatu Aprili 4, 2022 wakati wa hafla ya uzinduzi wa ugawaji wa vitendea kazi kwa maofisa ugani nchini.
Bashe amesema bei ya mbolea katika soko la dunia imepanda kwa zaidi asilimia 300.
Amesema Rais Samia aliielekeza Benki Kuu (BoT) kutenga Sh1 trilioni kwa ajili ya sekta ya kilimo na kumuomba Sh150 bilioni kwa ajili ya kuweka katika benki za biashara kama security.
Amesema hatua hiyo itawezesha kuaanza kutoa ruzuku ya mbolea katika msimu ujao wa kilimo.
“Nakuhakikishia mheshimiwa Rais fedha hii haitapotea. Tumeshafanya hivi katika korosho kwa kugawa ruzuku ya pembeje na tumeongeza uzalishaji tani 40,000,”amesema.
Aidha, Bashe amesema jumla ya maofisa ugani 7,000 watagawiwa pikipiki na vifaa vya kupimia udongo.
“Tumeanza kuwapa elimu maofisa ugani kulingana ekolojia ya maeneo na mazao yanayozalishwa na tutawapa ekari moja kwa kila ofisa ugani, atapewa mbegu bora na mbolea ili akiwafundisha awapeleke shambani,”amesema.
Amesema kuwa majaribio yameanza katika mikoa mitatu ya Dodoma, Singida na Simiyu kwa kutenga mashamba 600 ambapo kila kijiji kitakuwa na shamba darasa ili wakulima wapate elimu stahiki.
Pia amesema maofisa ugani hao watapatiwa vifaa vya kupimia udongo na kwamba hapo mwanzo taarifa za udongo zilikuwa zinapatikana kama za uganga wa kienyeji.
Bashe amesema lengo hadi kufikia mwaka 2025 kila kata iwe na kipimia udongo chake ambapo mkulima atapimiwa udongo na kupewa cheti ambacho kitakuwa na taarifa zote za afya ya udongo wake na aina ya virutubisho vinavyotakiwa.
View attachment 2175655
Akili kubwa hiyo asingeiweza.Nia ya jinamizi ilikuwa ni kumziba mdomo Bashe ili ajumuike kwenye praise choir.
Labda mapinduzi ya Kilimo CHUMBANI KWAKE huko.Dodoma.
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kumpatia Sh150 bilioni ili aziweke katika benki za biashara kama dhamana (security), hatua itakayowezesha wakulima nchini kuanza kupata ruzuku ya mbolea katika msimu wa kilimo ujayo.
Bashe ameomba fedha hizo leo Jumatatu Aprili 4, 2022 wakati wa hafla ya uzinduzi wa ugawaji wa vitendea kazi kwa maofisa ugani nchini.
Bashe amesema bei ya mbolea katika soko la dunia imepanda kwa zaidi asilimia 300.
Amesema Rais Samia aliielekeza Benki Kuu (BoT) kutenga Sh1 trilioni kwa ajili ya sekta ya kilimo na kumuomba Sh150 bilioni kwa ajili ya kuweka katika benki za biashara kama security.
Amesema hatua hiyo itawezesha kuaanza kutoa ruzuku ya mbolea katika msimu ujao wa kilimo.
“Nakuhakikishia mheshimiwa Rais fedha hii haitapotea. Tumeshafanya hivi katika korosho kwa kugawa ruzuku ya pembeje na tumeongeza uzalishaji tani 40,000,”amesema.
Aidha, Bashe amesema jumla ya maofisa ugani 7,000 watagawiwa pikipiki na vifaa vya kupimia udongo.
“Tumeanza kuwapa elimu maofisa ugani kulingana ekolojia ya maeneo na mazao yanayozalishwa na tutawapa ekari moja kwa kila ofisa ugani, atapewa mbegu bora na mbolea ili akiwafundisha awapeleke shambani,”amesema.
Amesema kuwa majaribio yameanza katika mikoa mitatu ya Dodoma, Singida na Simiyu kwa kutenga mashamba 600 ambapo kila kijiji kitakuwa na shamba darasa ili wakulima wapate elimu stahiki.
Pia amesema maofisa ugani hao watapatiwa vifaa vya kupimia udongo na kwamba hapo mwanzo taarifa za udongo zilikuwa zinapatikana kama za uganga wa kienyeji.
Bashe amesema lengo hadi kufikia mwaka 2025 kila kata iwe na kipimia udongo chake ambapo mkulima atapimiwa udongo na kupewa cheti ambacho kitakuwa na taarifa zote za afya ya udongo wake na aina ya virutubisho vinavyotakiwa.
View attachment 2175655
Shule ipi?Labda mapinduzi ya Kilimo CHUMBANI KWAKE huko.
Hakuna nchi yoyote ile Duniani iliyowahi kufanya Mapinduzi ya Kilimo kwa Bajeti ya $ 40M. Hizo fedha ni Sawa na Bajeti ya Shule ya Msingi hapo SOUTH AFRICA TU.