Jabali la Siasa
JF-Expert Member
- Jul 10, 2020
- 2,545
- 2,175
Akizungumza katika maadhimisho ya miaka mitatu ya Uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan Mkurugenzi Mkuu wa Ubia nchini PPP Mhe David Kafulila amesema,
Nchi ya Tanzania kwa awamu hii ya sita imeamua kujikita zaidi kwa kuwekeza kwenye Sekta ya Kilimo ambayo inagusa Jamii kubwa ya Watanzania,
Kilimo ndio Sekta ambayo Kila Mtanzania inamgusa kwa namna moja au nyingine huko nyuma haikupewa kipaumbele sana kama ilivyo Leo,
Mathalani, Kilimo bajeti yake imekuwa kutoka TZS 230BL mpaka TZS 970BL karibu mara Nne ,
Kafulila anasema, zaidi ya 70% ya wakulima wote ni Wanawake ambao jumla yao ni karibu Wanawake mil 28 hata hivyo zaidi ya 64% ya Watanzania wote 61,741,120 ambao jumla yao ni karibu wakulima mil 40 ni Wakulima, huku zaidi ya 80% ya malighafi zote za viwandani nazo zinatemea Kilimo.
Nchi ya Tanzania kwa awamu hii ya sita imeamua kujikita zaidi kwa kuwekeza kwenye Sekta ya Kilimo ambayo inagusa Jamii kubwa ya Watanzania,
Kilimo ndio Sekta ambayo Kila Mtanzania inamgusa kwa namna moja au nyingine huko nyuma haikupewa kipaumbele sana kama ilivyo Leo,
Mathalani, Kilimo bajeti yake imekuwa kutoka TZS 230BL mpaka TZS 970BL karibu mara Nne ,
Kafulila anasema, zaidi ya 70% ya wakulima wote ni Wanawake ambao jumla yao ni karibu Wanawake mil 28 hata hivyo zaidi ya 64% ya Watanzania wote 61,741,120 ambao jumla yao ni karibu wakulima mil 40 ni Wakulima, huku zaidi ya 80% ya malighafi zote za viwandani nazo zinatemea Kilimo.