Rais Samia azindua ugawaji wa vitendea kazi kwa maafisa ugani kilimo. Asema Serikali imeongeza bajeti ya utafiti kutoka Tsh 7.35bn hadi 11bn

Hizo pikipiki zitadumu ushangae
Imagine pikipiki baada ya miaka 2 inakuwa yako unaanzaje kuifuja?
Ingawa hapa patakuwa na figisu hutoamini
 
Mapesa yote hayo kwenye utafiti wakati wakulima ambao ndio walengwa hawana pembejeo??

Kwanini Serikali isiweke pesa kwenye mbolea ili bei iwe affordable na pia pembejeo nyingine ili kilimo kiwe na tija.

Kila wakati tunadump pesa kwenye mambo yasiyoleta matokeo chanya.
 
Mkuu unafikiri kwanini Sumry anataka kuacha kulima..?
Unafikiri kwa mkulima wa level ya sumry naye niwakutafutiwa masoko na serikali?..

Kilimo ni biashara na uwekezaji, binafsi naamini kilimo kufanywa na mtu masikini ni kuendelea kumfanya masikini tu...Kilimo naamini kinahitaji uwekezaji wa kulima kuanzia ekari 10 na kuendelea na sio chini ya hapo...Kulima ekari tano kushuka chini ni kutafuta chakula tu na hela ya kula..

Kilimo bila ya uwekezaji ni sawa na bure tu, masoko yaliyoko huko duniani yanahitaji constant supply ya mazao, ukiweza hili na dunia ikajua kila miezi fulani inaweza kupata say 1000ton lazima wateja waje, na kuzipata ton hizo kwa constant supply unahitaji uwekezaji sio hiki kilimo chetu cha kimasikini..

Mfano, kila siku asubuhi pale London wanahitaji fresh flower na unapaswa kujaza ndege, sasa mkulima wa hivi lazima awe bepari...
Zimbabwe baada ya kunyang'anya mashamba wazungu walishindwa kulima maana walitegemea kulima kwa jembe la mkono wakati wenzao waliwekeza..

Duniani nchi zilizoendelea kilimo kinafanywa na wafanyabiashara wakubwa matajiri sio watu masikini, maana yake ni nini, Kilimo kinahitaji uwekezaji mkubwa ndio tafsiri....

Ni mara chache sana kilimo kinamtajirisha mtu masikini, kilimo kinawezekana tu kufanywa na matajiri...
Noted
 
Pikipiki Hoyee
Serikali Ianze Kugawa Magari Kwa Madereva Kama Walivyofanya Kwenye Pikipiki
 
Hizo pikipiki zitadumu ushangae
Imagine pikipiki baada ya miaka 2 inakuwa yako unaanzaje kuifuja?
Ingawa hapa patakuwa na figisu hutoamini
Boxer? Tena huko shamba?
Boxer shamba kwa miaka miwili hata uitunzaje itachoka tu
 
Wakati huo huo yajayo yanafurahisha kwa Wakulima

Screenshot_20220404-171143.png
 
Pamoja na yooote Mh. Bashe anaonyesha dhamira ya kweli katika kukiendeleza kilimo. Binafsi siamini katika muundo huu wa ugani na wakulima wadogo ambao efficiency yao ni ndogo. Pia mfumo huu wa kilimo ndiyo unaosababisha masoko kutokupatikana kwakua unaleta ushindani usio wa lazima huku kila kaya ikijilisha yenyewe hivyo kuvuruga utaratibu wa soko....

Hata hivyo bado Waziri mwenye dhamana anaonyesha angalau kuijali sekta tofauti na watangulizi wenzake
Kuijali kwa maneno tu.
Mara zote amekua akiambia kuwa Bei ya pembejeo imepanda Mara 3 wanaomba ashughulikie, lakini kimya. Leo anakuja na hili. Alipaswa aanze na pembejeo.
Sasa uniform za afisa ugani kwa sasa za nn? Kama mkulima kashindwa kununua pembejeo sababu ya Bei kubwa hizo uniform kazi yake inakua nn?
 
Kuijali kwa maneno tu.
Mara zote amekua akiambia kuwa Bei ya pembejeo imepanda Mara 3 wanaomba ashughulikie, lakini kimya. Leo anakuja na hili. Alipaswa aanze na pembejeo.
Sasa uniform za afisa ugani kwa sasa za nn? Kama mkulima kashindwa kununua pembejeo sababu ya Bei kubwa hizo uniform kazi yake inakua nn?
Do you have functioning mind? Unadhani kushughukikia ni kiropoka na kupayuka?

This is how we go 👇

Screenshot_20220404-171143.png
 
Mkuu unafikiri kwanini Sumry anataka kuacha kulima..?
Unafikiri kwa mkulima wa level ya sumry naye niwakutafutiwa masoko na serikali?..

Kilimo ni biashara na uwekezaji, binafsi naamini kilimo kufanywa na mtu masikini ni kuendelea kumfanya masikini tu...Kilimo naamini kinahitaji uwekezaji wa kulima kuanzia ekari 10 na kuendelea na sio chini ya hapo...Kulima ekari tano kushuka chini ni kutafuta chakula tu na hela ya kula..

Kilimo bila ya uwekezaji ni sawa na bure tu, masoko yaliyoko huko duniani yanahitaji constant supply ya mazao, ukiweza hili na dunia ikajua kila miezi fulani inaweza kupata say 1000ton lazima wateja waje, na kuzipata ton hizo kwa constant supply unahitaji uwekezaji sio hiki kilimo chetu cha kimasikini..

Mfano, kila siku asubuhi pale London wanahitaji fresh flower na unapaswa kujaza ndege, sasa mkulima wa hivi lazima awe bepari...
Zimbabwe baada ya kunyang'anya mashamba wazungu walishindwa kulima maana walitegemea kulima kwa jembe la mkono wakati wenzao waliwekeza..

Duniani nchi zilizoendelea kilimo kinafanywa na wafanyabiashara wakubwa matajiri sio watu masikini, maana yake ni nini, Kilimo kinahitaji uwekezaji mkubwa ndio tafsiri....

Ni mara chache sana kilimo kinamtajirisha mtu masikini, kilimo kinawezekana tu kufanywa na matajiri...
Umesema sawa na mm nilivyosema/nilichotaka kusema
Sababu ya wafanyabiashara wakubwa mojawapo kushindwa ni operations cost, Kama alihitaji kutumia bil 1 kununua pembejeo, Sasa hivi atahitaji bil 3.
Hawa wafanyabiashara wakubwa waliowekeza kwenye kilimo Wana maafisa ugani wao, serikali ilipaswa kwa Sasa kuwapunguzia Bei ya pembejeo tu. Hayo mengine ndio yangefuata
 
Kuijali kwa maneno tu.
Mara zote amekua akiambia kuwa Bei ya pembejeo imepanda Mara 3 wanaomba ashughulikie, lakini kimya. Leo anakuja na hili. Alipaswa aanze na pembejeo.
Sasa uniform za afisa ugani kwa sasa za nn? Kama mkulima kashindwa kununua pembejeo sababu ya Bei kubwa hizo uniform kazi yake inakua nn?
Angalau anataja taja wakulima...Japo kama nilivyosema sijaiona nia ya kweli kwa watu hawa wa hii wizara kuleta mapinduzi...Mbinu zao tu zinaonyesha hutegemei kubwa lolote zaidi ya kutaka kura kutoka kwa wakulima...Siasa nje nje
 
Back
Top Bottom