Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,466
- 12,916
Unapomuunganisha Bashe na Jiwe ni kutaka kumuharibia Bashe, kwani Watanzania wengi wanamchukia Jiwe, so kama uko na nia nzuri mwache kijana wa watu.Msoga wasipomzonga naona ni mmoja wa vijana wenye nia njema na nchi hii...anajua anachokifanya... hongera kwa JPM kuibua kipaji.