Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Tukiamua Leo kupigana na Rwanda tunaua tu Budget ya Tamisemi ambayo ni 11 trillion ndio Budget nzima ya nchi ya Rwanda.
Wizara moja tu inabeba Budget ya Nchi nzima
Rwanda is overated
Kagame huyo hata hakuna Wakumjibu Ni kichaaa wacha aongee tu
 
Ni kweli kabisa
Huku watu wameona ni sawa tuwe na hizo ndege 12 ambazo zikishambulia wanahakikisha nusu ya population inakwisha

Sio onyo bali ni pigo takatifu

Iran kampiga Myahudi bila kumuogopa mtu na kapiga haswa ili kumuonyesha myahudi na kumuambia UKOME kabisa

Sasa huyu jirani anatuona tunapasua matofali ya udongo na commandos kuvaa manati anacheka sana

Ila tungekuwa tuna display drones 2000 kwenye maonyesha sidhani kama angefungua domo hilo

Leo Netanyahu wa kukubali suluhu na Hamas huko Qatar

Kuonyeaha silaha hadharani ni ubabe na kujiamini. Asikuambie mtu
Angalia US na hata Kiduku
Kiduku huwa ana test mambo hata kupitia anga za majirani kuonesha kwamba ni mbabe hasa,Korea kusini na Japan humuogopa kiduku.
 
Kwani ameshapona?
Anyway asipuuzwe huyu gorilla fighter kwa sababu vita vya kileo sio vya wingi wa wanajeshi bali vita vya siku hizi vita inapimwa na vifaa,technologia,skilled force na bajeti ya ulinzi na usalama
Umesahau experience and tacticts, ila wabongo sababu wamekariri mambo ya zamani wanadhani ni rahis
 
...kijeshi hasa akiijumlisha na South Africa....
Kama Kuna hasimu wake alipoteza maisha akiwa huko huko Africa Kusini bado wamtilia mashaka!!! Ni kweli Vita ya Wazi South Africa wapo juu ya Rwanda. Lakini, espionage na counterintelligence nadhani Rwanda wamejipanga! Msisitizo nadhani!
 
Tanzania sio wapuuzi kama Kenya ama Rwanda.
Tanzania sio wajinga kiasi hicho mzee weka hilo akilini.
Hatuwezi kugawanyika wakati wa vita,kama chuki iko baina yetu na tutaimaliza sisi wenyewe sio kwa external influence.
Yaaani mnateka, kuua na kufira wanaowakosoa alafu mnategemea Rwanda akivamia muungwe mkono?
 
Sikiliza we mkundu wewe,sio Kila anayeleta hoja kutetea serikali yeye ni CCM.
Mie ni mwanasiasa na nina uanachama wa ACT wazalendo tawi la Chang'ombe,ila linapokuja suala la nation interests HUWEZI ukaleta uchama matako wewe.
Wewe una uhakika kama Tanzania haijafanya maboresho yeyote kijeshi?
Wewe una uhakika Tanzania haijajipanga kwa lolote!??
Anaepigana ni rais au wanajeshi??
Matako mkubwa wewe.
Mkundu babu yako mtoto wa kahaba wewe.

Tena bora ungeendelea kuficha kuhusu itikadi yako ya kisiasa kubwa jinga wewe.

Hapa tanzania kama kuna chama ambacho ni hatari na ni sumu kwa taifa hili baada ya ccm basi ni hicho kichama chenu cha wasaliti, sasa Act nacho ni chama cha siasa chenye impact kwenye nchii hii? Nyie si ni kama mbwa wa bar tu ambao maccm ya kishashiba yanawarushia na nyie mifupa kisha mkishakula mnanyamaza wapuuzi nyie??

Eti unatetea national interests mseenge kweli wewe, ungekuwa unatetea national interests usingeandika uharo hapa kutetea udhaifu wa hili jeshi lililojaa siasa mpaka kagame analidharau maana limekosa waledi??

Nyie na bwana yenu zitto kabwe ni mbwaa tu ambao mmeamua kuwalamba makalio viongozi wa ccm hili mpate kusurvive na hamna sifa yoyote ya kuongelea national interests.

Haya jipige doko kisha useme mimi Kosugi ni mssenge sina akili FALAA wewe.
 
Sikiliza we mkundu wewe,sio Kila anayeleta hoja kutetea serikali yeye ni CCM.
Mie ni mwanasiasa na nina uanachama wa ACT wazalendo tawi la Chang'ombe,ila linapokuja suala la nation interests HUWEZI ukaleta uchama matako wewe.
Wewe una uhakika kama Tanzania haijafanya maboresho yeyote kijeshi?
Wewe una uhakika Tanzania haijajipanga kwa lolote!??
Anaepigana ni rais au wanajeshi??
Matako mkubwa wewe.
Sasa ACT Wazalendo wana tofauti gani na CCM? Nyie si ndo madalali wa CCM?
 

View: https://youtu.be/wUu2W2Mk3k0

General Paul Kagame amezungumzia mgogoro wake na Congo. Moja ya vitu alivyovisema ni kwamba wale wote ambao wanaamini kwamba wanaweza kuitishia Kigali wakiwa mbali anao uwezo wa kuwafuata hukohuko makwao.

Akaendelea kusema kwamba, wale waliokuwa wanaiunga mkono serikali ya Congo, Rwanda iliwasamehe na kuwaacha wapite nchini Rwanda na kurudi makwao. Katika watu ambao waliruhusiwa kupita Rwanda ni pamoja na askari wa JWTZ ambao kuna video inaonesha wanasachiwa ili kurudi nyumbani.

Paul Kagame amesema, kama wale wanajeshi wangethubutu kutunisha misuli bila kusalimu amri basi wangeangamizwa wote. Tena kama kuna wengine wataendelea kufikiria kwamba wataitishia Rwanda basi watafuatwa hukohuko makwao.

Maneno ya Dikteta Paul Kagame yameanzia dakika ya 14 ya hii video niliyoambatanisha hapa. Ni ujumbe wa vitisho kwa mataifa ya SADC, ikiwemo Tanzania, Malawi na Afrika Kusini.

Kuna msemo husema hivi, "Usipokuwa makini, hata mbwa atakucheka"

Povu Ruksa, Karibu Sana......

Kuna kiongozi mwandamizi wa jeshi la 🇹🇿 alisema kuna Mamuluki wamejazana kwenye Taasisi zetu. Sijajua kama ngazi ya kufanya maamuzi kama walifanyia kazi!
 
Drone ni hela zako tu, ukiingia hapo China na bilioni 100 unazichukua za kutosha. So Rwanda kuzimiliki sio kwamba Tanzania ni dhaifu
Unazungumzia drone za kuchukulia picha? Real time strike drones ni zaidi ya mil 100, aliyopiga nayo picha pk ni drone kutoka uturuki
Imejizolea sifa sababu ya performance yake kwneye vita vya ukraine na russia

Ifike mahali tz ikubali tu dunia inasonga mbele, huwez kufunika madhaifu yako kwa propaganda miaka yote, you will be exposed
 
Kiduku huwa ana test mambo hata kupitia anga za majirani kuonesha kwamba ni mbabe hasa,Korea kusini na Japan humuogopa kiduku.
Kuna wakati hata ukipita na panga karibu yangu lazima nikuogope 😂😂
 
Kiduku huwa ana test mambo hata kupitia anga za majirani kuonesha kwamba ni mbabe hasa,Korea kusini na Japan humuogopa kiduku.
Hawamuogopi kiduku ila wana avoid escallation, kiduku mwenyewe anavoid hilo ana anajua kabisa, is why anapiga kelele na matisho kibao ila hawez attempt kusababisha escalation
 

View: https://youtu.be/wUu2W2Mk3k0

General Paul Kagame amezungumzia mgogoro wake na Congo. Moja ya vitu alivyovisema ni kwamba wale wote ambao wanaamini kwamba wanaweza kuitishia Kigali wakiwa mbali anao uwezo wa kuwafuata hukohuko makwao.

Akaendelea kusema kwamba, wale waliokuwa wanaiunga mkono serikali ya Congo, Rwanda iliwasamehe na kuwaacha wapite nchini Rwanda na kurudi makwao. Katika watu ambao waliruhusiwa kupita Rwanda ni pamoja na askari wa JWTZ ambao kuna video inaonesha wanasachiwa ili kurudi nyumbani.

Paul Kagame amesema, kama wale wanajeshi wangethubutu kutunisha misuli bila kusalimu amri basi wangeangamizwa wote. Tena kama kuna wengine wataendelea kufikiria kwamba wataitishia Rwanda basi watafuatwa hukohuko makwao.

Maneno ya Dikteta Paul Kagame yameanzia dakika ya 14 ya hii video niliyoambatanisha hapa. Ni ujumbe wa vitisho kwa mataifa ya SADC, ikiwemo Tanzania, Malawi na Afrika Kusini.

Kuna msemo husema hivi, "Usipokuwa makini, hata mbwa atakucheka"

Povu Ruksa, Karibu Sana......

Tanzania inakuwa nchi ya kipumbavu sana inapokuwa inaongozwa na waislamu
 
Vitisho?. Wakati juzi kawapiga mmekimbia wenyewe DRC. Si mlijidai kunguru apigwe ila mkapigwa nyie.
Tofautisha vita yako na vita ya kumsaidia mtu ambaye na yeye hajielewi. Shida bongo tuna tabia ya kusifia kila kitu. Huyo ndugu yenu hana akili hizo mnazozisema ndo maana watu wamemuacha tu.
 
Vyombo gani na Ulinzi unavyovizungumzia wewe??.

Hawa Chawa wa CCM ambao Intelijensia Yao imejikita ni wapi alipo Gwajima, CHADEMA wanafanya nn??.


Hatuja Jeshi , huo ndio ukweli, huwezi kua na Jeshi la kichamachama ukategemea liwe Imada.

Kagame alikua kuliabisha sana JESHI la CCM.
Siongelei Polisi wala usalama. Naongelea Jeshi la Wananchi wa Tanzania
 
Back
Top Bottom