HujuwiHii sasa ni dharau, hivi kagame anaweza kuvuka mpaka na kuja kupigana na tanzania? Hebu aambiwe ukweli tanzania si congo na asijaribu kuvuka mpaka hata sentimeta moja. SADC haikutaka kuichakaza rwanda afahamu hilo
HujuwiHii sasa ni dharau, hivi kagame anaweza kuvuka mpaka na kuja kupigana na tanzania? Hebu aambiwe ukweli tanzania si congo na asijaribu kuvuka mpaka hata sentimeta moja. SADC haikutaka kuichakaza rwanda afahamu hilo
Acha kulinganisha Simba na mbwa, yaani Waisraeli ndio ulinganishe na Rwanda? Mbona ni vitu 2 tofauti?Unajua uwezo wake? Israel yenye watu 8mln imempiga Iran yenye watu zaidi ya million 100 kwa siku 12 mpaka rais wao hajaonekana mpaka leo akiogopa kuuliwa🤣🤣🤣🤣
Unamdanganya nani wewe jamaa?Acheni uongo. SADC walikuwa wameanza kuivamia Rubavu, ndipo Rwanda wakaingia mzigoni. Kama hujui kitu kaa kimya. Tushukuru Rwanda waliwaonea huruma wakawateka nyara tu na sio kuwaua wanajeshi wote wa SADC.
Mkuu unadhani Hawa Chinga wanaweza kuwa kama GenZ?😎 Wachuuzi ambao ndo idadi kubwa ya vijana wa kitanzania hawawezi ngoma siku mbili mfululizo au kuandamana.
Umepata division ngapi matokeo ya Jana?
Huko Kigali we matrako una hamu ya kuwa mkimbizi Tena au Unaishi ukimbizini.Mimi siishi Tanzania wewe chawa.
Anasema wanaotishia Kigali wakiwa mbali kabla hawajaipiga Kigali watawafuata huko huko. Anasema RPF wanaweza kupigana 2000km kwa miguu!
My take, kusema watawafuata huko huko kabla hawajashambulia Kigali ni ujumbe kuwa wapo "huko" tayari wanasubiri amri tu! Tuwe makini hasa mamluki ndani ya vyombo.
Acha uongo wa kipuuzi wewe, Rwanda hakuna umoja,tuna raia ambao wametoka Rwanda wako TZ wengi tu ambao wanamchukia Kagame.Rwanda Kuna umoja sio kama huko bongo. Kwa Sasa tumeufuta uhutu na utusi, tunajitambulisha kama wanyarwanda.
Unamdanganya nani wewe jamaa?
SADC hawakuhusika kwenye confrontation yeyote Ile,hayo maeneo yote inayosema wewe walikua askari wa DRC,na wao walianza kujisalimisha bila upinzani,nimekua nikifuatilia ule mzozo hadi redioni aisee pia huko ndugu tunao pia.
Nchi ipi uliona imeenda kupigana vita na Amiri Jeshi Mkuu Mama?Kwani anayepigana vita ni mama? Jeshi lipo kwa ajili hiyo.
Kabisa bora October tukatiki tuMkuu unadhani Hawa Chinga wanaweza kuwa kama GenZ?😎 Wachuuzi ambao ndo idadi kubwa ya vijana wa kitanzania hawawezi ngoma siku mbili mfululizo au kuandamana.
😂😂Kabisa bora October tukatiki tu
Nina ndugu wapo huko kwa mwamvuli tofauti Moja wapo amerudi na jeshi la SAMIDRC,unamdanganya nani!?Unaongea tu hapa. Sisi tunaoishi huko tunajua kila kila kitu. Majeshi ya SADC wakishirikiana na majeshi ya FDRC walioanza kuishambulia Rubavu ambapo Makao yake Makuu ni Gisenyi, Kwa msaada wa air defence Rwanda wakaweza kuzuia mashambulizi na ndipo majeshi ya RDF yakaingia ndani ya DRC na kuyachakaza majeshi ya SADC na kuyateka nyara. Sisi tuliopo Gisenyi ndio tunajua kilichotokea.
Acha uongo wa kipuuzi wewe, Rwanda hakuna umoja,tuna raia ambao wametoka Rwanda wako TZ wengi tu ambao wanamchukia Kagame.
Rwanda ni nchi ambayo bado Kuna ukabila,na mind you kama hakutakuwa na succession nzuri ya uongozi huwenda mapigano ya kikabila yakazuka tena.
Viache kua busy na chadema na wakosoaji wa mama wahangaike na mambo kama hayo???Hii kauli inaonyesha jinsi gani wamejipanga. Vyombo vya Ulinzi na Usalama viwe macho muda wote
🤣🤣 Kura yako kaa nayo nyumbani kwa wivu mkubwa ukipanga foleni tu ujue ushatapeliwa
Nina ndugu wapo huko kwa mwamvuli tofauti Moja wapo amerudi na jeshi la SAMIDRC,unamdanganya nani!?
Hakuna askari wa SADC hususan TZ aliyeingia front,askari wa DRC ndio walikua front,pia awamu hii sio TZ Wala South Africa ambao walikuja na silaha zao na ndio maana hata vita ilionekana ngumu kidogo.
Silaha walizozikuta ni duni huko Congo.
Nina ndugu wanajeshi mzeee usinidanganye.