Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Ndugu yangu! Usilo lijua ni Sawa na usiku kiza! TPDF si dhaifa kama unavyodhani, lipo more advance,kuna mengi yamefanyika na yanaendelea kufanyika kimyakimya, kama bado unamtazamo wa jeshi lileee lililopigana vita ya Kagera! Basi unakosea Sanaa,kuna Idadi kubwa ya vijana wenye uwezo wamekuwa walipelekwa urusi kwa mafunzo ya muda mrefu,takriban miaka 6 kwa bechi ya kozi moja,TPDF inafanya kazi zake kwa usiri na umakini mkubwa Sanaa,Tofauti na watu wanavyoifikiria.
Urusi kwenye mafunzo!🤣 Urusi itakufundisha nini kwenye jeshi sasa??!
 
Tanzania tuwekeze kwenye Teknology ya kisasa! Tusibaki na historia za kumpiga Id Amin na M23.
PK anachozungumza huenda ana uhakika nacho.
Tuwe tunajiuliza! Wakati wa JK jeshi letu lilikipiga kikundi cha M23 vipi safari hii Jeshi letu limeshindwa nini mpaka likanyosha mikono?
 

View: https://youtu.be/wUu2W2Mk3k0

General Paul Kagame amezungumzia mgogoro wake na Congo. Moja ya vitu alivyovisema ni kwamba wale wote ambao wanaamini kwamba wanaweza kuitishia Kigali wakiwa mbali anao uwezo wa kuwafuata hukohuko makwao.

Akaendelea kusema kwamba, wale waliokuwa wanaiunga mkono serikali ya Congo, Rwanda iliwasamehe na kuwaacha wapite nchini Rwanda na kurudi makwao. Katika watu ambao waliruhusiwa kupita Rwanda ni pamoja na askari wa JWTZ ambao kuna video inaonesha wanasachiwa ili kurudi nyumbani.

Paul Kagame amesema, kama wale wanajeshi wangethubutu kutunisha misuli bila kusalimu amri basi wangeangamizwa wote. Tena kama kuna wengine wataendelea kufikiria kwamba wataitishia Rwanda basi watafuatwa hukohuko makwao.

Maneno ya Dikteta Paul Kagame yameanzia dakika ya 14 ya hii video niliyoambatanisha hapa. Ni ujumbe wa vitisho kwa mataifa ya SADC, ikiwemo Tanzania, Malawi na Afrika Kusini.

Kuna msemo husema hivi, "Usipokuwa makini, hata mbwa atakucheka"

Povu Ruksa, Karibu Sana......

Dikteta Kagame anamtishia dikteta Chura kiziwi😂
 
Mafunzo ya drones ya wapi mkuu?
Hapo vita inaanza ndipo mnaanza kuomba msaada wa mafunzo na kutoa order, order kuja kufika, na hao vijana kupata tu ile basics za kuendesha hizo drones, mmepigwa mmechakaa vibaya sana... yaani its too late...

Hivi sasa vita ya kisasa ni pamoja na cyber warfare, electronics warfare... huko pia tupo weupe... yaani unashangaa hizo cheng du J7G za kichina tunazoringia ambazo ni main battle fighter jet zinakuwa hacked tu, au radars zinakuwa jammed... juzi hapa Rwanda waliipiga ndege ya DRC sukhoi 25..
Sukhoi 25 azikufua dafu kwa rwanda mwaka huu,drc wenyewe wakaamua wazipaki tu,TZ tushtuke majirani wametuacha mbali mno
 
Kitu usichojua ni kuwa DRC wana jeshi bora kuliko Tz , achana na hz data za kisiasa
Drc hana jeshi bora kuliko sisi,drc wana bajeti kubwa ya wizara ya ulinzi kuliko sisi,na wana silaha za kisasa zaidi yetu,kumiliki sukhoi 25 si jambo dogo,shida yao hawana askari wazalendo,na ndicho kitu pk alichowawin kwenye hii vita,vita imekua ngumu hata sadc sababu mbinu zao za kumkabili adui unakuta m23 wanajua,wakongo wanalipwa na pk tena ni majenerali wa jeshi la congo,hata wale wapiganaji wa kukodiwa toka ulaya waliamua kujisalimisha sababu ya unafiki wa jeshi la kongo,unapigania nchi ya mtu halafu huyo mwenye nchi anaenda kujisalimisha kinafiki,wenye nchi ndio wanaotoa siri zote za vita kwa adui,congo hamna jeshi pale
 

View: https://youtu.be/wUu2W2Mk3k0

General Paul Kagame amezungumzia mgogoro wake na Congo. Moja ya vitu alivyovisema ni kwamba wale wote ambao wanaamini kwamba wanaweza kuitishia Kigali wakiwa mbali anao uwezo wa kuwafuata hukohuko makwao.

Akaendelea kusema kwamba, wale waliokuwa wanaiunga mkono serikali ya Congo, Rwanda iliwasamehe na kuwaacha wapite nchini Rwanda na kurudi makwao. Katika watu ambao waliruhusiwa kupita Rwanda ni pamoja na askari wa JWTZ ambao kuna video inaonesha wanasachiwa ili kurudi nyumbani.

Paul Kagame amesema, kama wale wanajeshi wangethubutu kutunisha misuli bila kusalimu amri basi wangeangamizwa wote. Tena kama kuna wengine wataendelea kufikiria kwamba wataitishia Rwanda basi watafuatwa hukohuko makwao.

Maneno ya Dikteta Paul Kagame yameanzia dakika ya 14 ya hii video niliyoambatanisha hapa. Ni ujumbe wa vitisho kwa mataifa ya SADC, ikiwemo Tanzania, Malawi na Afrika Kusini.

Kuna msemo husema hivi, "Usipokuwa makini, hata mbwa atakucheka"

Povu Ruksa, Karibu Sana......


Ukweli ni kwamba Rwanda ni nchi pekee yenye uongozi kama taifa karika ukanda huu wa Afrika .
Wale wanajeshi wanaokwenda Kongo kujifanya kuwa wanalinda amani ni mamluki na wezi wa mali za Kongo .
Wengi kwa muda mrefu walikua wanakwenda Kongo kwa ufadhili wa UN na Majambazi wanaoiba madini Kongo na kupeleka silaha . Wanajeshi hao ikiwemo wa afrika Kusini wanapokua Kongo wanasiba sana dhahabu na madini mengine . Wakirudi makwao wanakua matajiri wakubwa . Hali inayopelekea kufurahia Vita ya Kongo na kuona kama ni dili.


Kuhusu Rwanda kufaidi madini ya Kongo hiyo ni dhana ya kijinga sana inayojengwa na hao hao watawala na wakuu wa vyombo vya majeshi hayo ya hizo nchi ambao wanasiasa wao ni wezi na wanashindwa kulipa wanajeshi wao vizuri hivyo huona kuwa fursa pekee ni ya kuwapeleka wanajeshi wao Kongo ,Dafuru n,k ili wapate mapesa mengi na kusahau siasa za kifisadi ndani ya nchi zao.

Mfano Tanzania wakati wa utawala wa awamu ya pili serikali ilikosa kabisa uwezo wa kulipa watumishi wake ikiwemo wanajeshi na polisi. Rushwa ikawa kubwa sana kwa polisi , ujambazi wa kuteka magari ya abiria ukawa juu sana mita chache karibu na kambi za jeshi na hata wizi wa mabenki na magari ya kubeba pesa .
Kambi za jeshi zikawa ni sehemu ya kuuza gongo na kupika gongo .Wanajeshi walikua na maisha magumu . Polisi rushwa ilikua juu sana hivyo wao walionekana kuwa na maisha mazuri kuliko wanajeshi . Chuki kati ya polisi , jwtz na askari magereza ilikua kubwa sana .

Baadae Mkapa aliuza kila kitu kwa Mabepari wa kizungu ,kiarabu na kihindi . Kisha akawaomba Hao mabwanyenye na wanyonyaji kuwa Wanajeshi wa Tanzania wapate nafasi za kwenda huko kwenye misheni zinazofadhiliwa na UN ili kushiriki kupinda amani. Lengo likiwa ni kuwasaidia kupata kipato huko maana UN wanalipa kwa viwango vya kimataifa . Lengo la pili ni kuwaondoa wanajeshi kwenye kufuatilia mambo ya siasa za ndani na kufuatilia siasa za nje . Ndio maana mambo yale yale yanayofanyika Kwenye setiksli za Kongo ,Somalia ,Sudani na kwengineko yanafanana sana sana na serikali nyinngine za Afrika lakini penye upenyo wa vurugu vita haiishi kwa sababu watawala wananufaika na vita za majirani na vurugu za ndani zinawapa jeuri ya kutawala kibabe huku wakiwa wanachota rasilimali za nchi zao wakati majeshi yao yakiwa bize kuruliza vurugu na vita za majirani.
Ndio maana ukiwaambia wafanye siasa za haki na sheria za haki wao wanakujibu kuwa amani itavurugika na watu watauana . Wao wanajua kitakachoendelea maana wapo tayari kutumia majeshi hata ya kukodi ili kuua watu na kisha kuyafanya majeshi kuwa bize huku wao wakiwa wanashirikiana na mabepari wa ndani na nje kuiba mali za umma .
Tangu lini uchaguzi wa haki ukaleta vita?
Ingekuwa uchaguzi unaleta vita Ulaya si ingekua kama Kongo ?

Vita za Afrika ni miradi ya Watawala na Mabepari wa nchi za magharibi .
Eti SADEC sijui vikundi gani vinapeleka majeshi kongo . Kwa nini wasipeleke majeshi na wasimamizi wa uchaguzi huru ili Wananchi wachague viongozi wao kwa haki na anayeshindwa akubali na kama kuna pingamizi lisimamie na kusikilizwa kwa haki . Mechi ikiisha kila mtu arudi nyumbani kwake kwa furaha .
Lakini hawa watawala wasanii wanachezea demokrasia na chaguzi zao halafu wanatumia silaha kuua watu wanaopinga udhalimu na wizi wa kura sasa nchi zikichafuka ndio wanapeleka majeshi kusaidiana ili kubakishana madarakani.


Kenya ,India , Tailand na Afrika kusini wanaongoza kwa kuuza Madini ya Tanzanite inayopatikana Tanzania .
Je, majeshi ya nchi hizo yanaikalia Tanzania ?
Waje wanijibu wale wapimbavu wanaoilaumu Rwanda kwa kuwa na akiba ya dhahabu kutoka Kongo .
Wachimbaji wadogo wadogo wanauza maduni yao kwenye nchi yenye soko zuri la kununua na kuwalipa kwa usalama bila makodi ya kukomoana na rushwa nyingi.
 
Hujui Siri za jeshi na jeshi lipoje.
Gusa sovereignty ya nchi husika ndio utaona kitakachokukuta.
Trust me!, hizo ni propaganda tu tuliaminishwa tangu enzi za IDD Amin.
Tanzania ya sasa siyo kama ya zamani. Narudia tena, Kagame anakupiga akiwa ofisini kwake Kigali. Fikiria tu, Rwanda anaivimbia DRC, hujiulizi kuna nn chini ya kapeti?. Rwanda alishachangamkia fursa kitambo mno kabla hamjaamka ndo maana ana uwezo wa kuivimbia hata South Africa.
Waliogundua jeuri za Rwanda na anachoringia, waliondoa majeshi Kongo haraka iwezekanavyo sababu ya Rwanda.
 
Huyo ashazoeleka kuropoka tangu enzi za JAKAYA.
Ila nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje.
Tanzania kiulinzi ilikuwa zamani, haina tena cha mziki wala ngoma.

Walinda nchi wameungana na wala nchi.
Tumebaki mdebwedo.
 
Huyo ashazoeleka kuropoka tangu enzi za JAKAYA.
Ila nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje.
Sorry, mna mziki gani Mkuu? Huu huu wa Diamond na Saa100 au kuna mwingine tuutegemee?
 
Na hayo ndiyo mhadhara ya kuchanganya siasa na Jeshi
Ukweli ni kwamba jeshi linatakiwa lijue siasa ila halitakiwi kujihusisha na siasa cha kushangaza siku za hivi karibuni baadhi ya wanasiasa ambao hawalijui jeshi vizuri wanatumia nafasi zao kwa kuwaingiza ndugu zao kwa nguvu jeshini bila kufuata utaratibu.
 
Dalili za kuzeeka huko, anaanza kuwa mropokaji kama Museveni.

Mtu ambae siku zote amekuwa akikana, Rwanda aihusiki na mgogoro wa DRC, leo anaiambia dunia ni wao.

Atakuwa yuko sawa huyo kama keshasahau hata Rwanda official position kwenye mgogoro wa DRC ya kuwa ni internal conflicts za wenyewe.

Hayo ya kujigamba anaweza ingilia popote, nadhani Rwanda kuna watu wengi wanaotaka kumuona yeye anaondoka. Siku akipagana na wanajeshi Kamili hao watu watakuwa tayari kugawa mbinu za vita.

You hope kuna succession planning nzuri ya kuendeleza udikteta, vinginevyo atakuwa raisi huku akiwa na hali kama ‘Salva Kiir Mayardit’ anaelekea huko,
 
Umekwisha igana ha o na kuwamaliza wote!
Hii mi asho ya mama imewakolea kwelikwelii; hata hamuoni aibu kabisa kufanya ulaghai katika kila jambo!
Acha shobo basi mama sijui baba, au huwa unaniota maana naona umekuwa busybody ghafla sana.
 
Hapa mkuu umenena Tanzania kama Ina Inteligensia nzuri....watoe msaada Kwa jeshi la Burundi FDRl Kisha wapige wakitokea huko iwe kama Base

Maana tambo ZA Kagame zimekuwa nyingi

Maana hata Israel ilikuwa Ina sapoti Syria (rebels) kilichotokea Asad alisalimu Amri Na kukimbia
Hadi Leo Rwanda Burundi Wana uhasama Wa Kidumu, Congo Na Rwanda Wana uhasama Wa Kidumu

Kagame Kwa Sasa Hana Rafiki ndani YA East Africa na alichobakiza Ni jeuri Na maneno YA kejeri

Kutumia vikundi vya waasi Rwanda inaweza kusambaratishw bila JW kuingia

Kazi kwenu intelligence YA Jeshi
Wala nguvu kubwa haitumiki,kuna maadui zake ambao wakipewa support kidogo watakunywa supu ya PAKA na wapambe zake bila huruma.
 
Huyo ashazoeleka kuropoka tangu enzi za JAKAYA.
Ila nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje.
Mmebaki na historia za kale tu, hawa chawa na wakata mauno wa sasa wanacho kijua ni kupiga wananchi wa nchi yao tuu kwa faida ya wezi wa mali za Umma walio jivika Uccm, swala la vita lilisha zikwa na mkapa.
 
Back
Top Bottom