Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,933
- 34,912
Ukweli ni kwamba hakuna nchi inayoweza kusimamia kijeshi na Tanzania hapa Africa Mashariki na kusini.
Ukweli ni kwamba hakuna nchi inayoweza kusimamia kijeshi na Tanzania hapa Africa Mashariki na kusini.
Nchi imekufa kabisa. IKO UCHIIIIIII
Wazalendo wamebaki UVCCM
View attachment 3397718View attachment 3397719View attachment 3397720View attachment 3397721
View attachment 3397722
Nchi imekufa kabisa. IKO UCHIIIIIII
Wazalendo wamebaki UVCCM
View attachment 3397718View attachment 3397719View attachment 3397720View attachment 3397721
View attachment 3397722
Nyaraka za Siri kuvujishwa hadharani ni kiashiria kuna tatizo sehemu...Nchi imekufa kabisa. IKO UCHIIIIIII
Wazalendo wamebaki UVCCM
View attachment 3397718View attachment 3397719View attachment 3397720View attachment 3397721
View attachment 3397722
Acheni stori za vijiweni...Acheni maneno, Rwanda anazalisha silaha latest zipi hizo? Hizo ni assembling tu, bado sioni kwamba Rwanda imeizidi Tanzania wapi, sawa wanaweza kuwa mbele kwenye drone ila hiyo sio factor ya kushinda vita na Tanzania, siku wakijichanganya akati wao ni landlocked country watajutia sana, itakuwa ndo mwisho wa Kagame, war of attrition itawatosha, baada ya mwezi mmoja hiyo stock ya drone hawataikumbuka imeisha vipi
Huyo nduo DALALI wa SIRAHA zenu🖕🖕🖕
Anao wengi tu.Habari ya miaka 12 ndiyo unaileta leo unafikiri watu watakuwa hawajajifunza tu![]()
Hakuna umoja katika nchi ya Tanzania hii nchi isije ikajiroga kuingia vita sasa hata huko tunakoelekea hali ni mbaya labda kama watapigana wana CCM tuNi kweli Mkuu!Ila siasa zetu zinavyoenda unaweza Sema ukiwa nje kuwa kuwa Umoja haupo lakini inside Umoja upo.Kagame sio mjinga Kuna jambo katonya kuwa hayuko salama ndio maana kaamua kuchimba mkwara.Na hiyo ni message kwa Ramaphosa.
Mafunzo ya drones ya wapi mkuu?Ushahidi mnao, hivi tuna hata mafunzo ya matumizi ya drones kwa majeshi yetu?, siraha za anga je? au siraha za kujilinga na mashambulizi ya anga tupo vizuri?, au ndio yale yale tunasubiri tuvamiwe ili tukaombe msaada kwa wafadhiri wetu kama ilivyokuwa vita ile?.
Narudia tena, Tanzania kijeshi tunahitaji improvement kubwa sana, na kwa ukubwa wa nchi yetu basi hata bajeti yake inatakiwa kuwa imara haswa.
View: https://youtu.be/wUu2W2Mk3k0
General Paul Kagame amezungumzia mgogoro wake na Congo. Moja ya vitu alivyovisema ni kwamba wale wote ambao wanaamini kwamba wanaweza kuitishia Kigali wakiwa mbali anao uwezo wa kuwafuata hukohuko makwao.
Akaendelea kusema kwamba, wale waliokuwa wanaiunga mkono serikali ya Congo, Rwanda iliwasamehe na kuwaacha wapite nchini Rwanda na kurudi makwao. Katika watu ambao waliruhusiwa kupita Rwanda ni pamoja na askari wa JWTZ ambao kuna video inaonesha wanasachiwa ili kurudi nyumbani.
Paul Kagame amesema, kama wale wanajeshi wangethubutu kutunisha misuli bila kusalimu amri basi wangeangamizwa wote. Tena kama kuna wengine wataendelea kufikiria kwamba wataitishia Rwanda basi watafuatwa hukohuko makwao.
Maneno ya Dikteta Paul Kagame yameanzia dakika ya 14 ya hii video niliyoambatanisha hapa. Ni ujumbe wa vitisho kwa mataifa ya SADC, ikiwemo Tanzania, Malawi na Afrika Kusini.
Kuna msemo husema hivi, "Usipokuwa makini, hata mbwa atakucheka"
Povu Ruksa, Karibu Sana......
Anaujuaje Wakati walirukishwa kichura au ulikuwa mdogo hapo mwaka Jana?Huyo ashazoeleka kuropoka tangu enzi za JAKAYA.
Ila nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje.
Askari wenu waliposachiwa na majeshi juzi kati ulikuwa hujazaliwa?Kwani anaekwenda front ni mama au majeshi ?huyo tushazoe mikwara yake lkn hathubutu kuigusa TZ,anaujua mziki wake
Debe tupu haliishi kuvumaJamaa ana mikwara hatari..
Tanzania Military have mastered that science, so tell your friends to FA and FO what Tanzania military is made up of.Hujui lolote. Kula mihogo. Vita ni science
Tanzania sio wapuuzi kama Kenya ama Rwanda.Ameshoma siasa za wabaya wake akajua raia wamegawanyika sana na hiyo ndio karata yake turufu.
Sio kweli hizo ni nadharia zako.Alichokifanya Kikwete ni kuwasumbua Watanzania wa Kabila la Watusi ambao wengi wao wapo Tanganyika Tangu ya miaka ya 1830s
Sasa hapa ndio Umeongea unazi na uongo mtupu.Unajua uwezo wake? Israel yenye watu 8mln imempiga Iran yenye watu zaidi ya million 100 kwa siku 12 mpaka rais wao hajaonekana mpaka leo akiogopa kuuliwa🤣🤣🤣🤣
Kigoma itakwenda BurundiVinchi vidogo Acha kabisa.
Kijapani Vs Lichina
Kiingereza Vs quarter of world.
Now kirwanda Vs Litanzania.
Hapa naona kipondo kinakuja.Kigoma yote itachukuliwa na wanyarwanda
Uwezo wa Samia ni mdogo,kwa kifupi hana akiliVinchi vidogo Acha kabisa.
Kijapani Vs Lichina
Kiingereza Vs quarter of world.
Now kirwanda Vs Litanzania.
Hapa naona kipondo kinakuja.Kigoma yote itachukuliwa na wanyarwanda