Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Hii sasa ni dharau, hivi kagame anaweza kuvuka mpaka na kuja kupigana na tanzania? Hebu aambiwe ukweli tanzania si congo na asijaribu kuvuka mpaka hata sentimeta moja. SADC haikutaka kuichakaza rwanda afahamu hilo
wengi humu wanajazana ujinga tu.Serikal ya tanzania niya busara sana na siku zote mwenye uwezo huwa ajigambi wala kuongea sana ila wadhaifu ndio wanakuaga na mikwara mbuzi.Hiyo rwanda ukiwafungia kupitisha vitu vyao bandarini ni miezi michache tu wanaomba poo hapo bado dagaa,mboga mboga na vyakula vingine wanavyokuja kuangaika kununua uku.Tena ashukuru kupakana na tanzania isiyopenda vurugu zakijinga.
 
Kwa hiyo we unafikiri Rwanda kuna umoja? Ngoja achokoze ndiyo atajua hajui
Kwa taarifa yako ni kwamba hapa afrika mashariki hakuna watu wanaolipenda taifa lao na wana uzalendo wa hali ya juu kama wanyarwanda, mnyarwanda tu akizaliwa na kukulia hapa tanzania anakuwa na mahaba kupitiliza kwa Rwanda, sembuse yule aliyezaliwa na kukulia kigali.

Wanyarwanda wanaweza kuwa wametafunwa na ukabila, ila linapokuja suala la kitaifa wanakuwa wamoja,.

Hali hiyo ni tofauti kabisa na nyie wabongo ambao uzalendo mmeshauua siku nyingi sana na ndio maana mada za kuliombea mabaya taifa kama hii zimeshamiri sana.
 
Unajua uwezo wake? Israel yenye watu 8mln imempiga Iran yenye watu zaidi ya million 100 kwa siku 12 mpaka rais wao hajaonekana mpaka leo akiogopa kuuliwa🤣🤣🤣🤣
Israel ya wapi nawewe?.Israel ni kupe aliyejishikisha kwa mmarekani.Na mmarekan anatumia nguvu kulinda kwasababu ya maslahi yake mashariki ya kati.Siku israel ikiacha kua mtoto pendwa wa amerika ndio itakua kiama chao.
 
Yeye anatoaga vitisho wenzake wapo kimya hata hawamjibu.Kama anajiamini sana si avamie awashikishe adabu. Siyo kila siku anatoa vitisho kisa anawasumbua wakongo ambao nao wamegawanyika na hwana umoja.
Tanzania kuna umoja?
 
Mkuu hizo nchi ulizotaja zinaonesha asilimia 20 ya nguvu zake sio zote.
Mathalan tuitaje tu hiyo Iran,vita yake dhidi ya Israel Kuna makombora mawili yalitumika hakuna aliyewahi dhania kama yapo.
Macron anataka iundwe kamati ikachunguze makombora ya iran 😃
 
wengi humu wanajazana ujinga tu.Serikal ya tanzania niya busara sana na siku zote mwenye uwezo huwa ajigambi wala kuongea sana ila wadhaifu ndio wanakuaga na mikwara mbuzi.Hiyo rwanda ukiwafungia kupitisha vitu vyao bandarini ni miezi michache tu wanaomba poo hapo bado dagaa,mboga mboga na vyakula vingine wanavyokuja kuangaika kununua uku.Tena ashukuru kupakana na tanzania isiyopenda vurugu zakijinga.
Jione ulivyo mjinga. Rwanda anapitisha mizigo mingi bandari ya Mombasa kuliko Bandari ya Dar.

Ukimfungia Bandari zako ana Alternative route ya Mombasa.
 
wengi humu wanajazana ujinga tu.Serikal ya tanzania niya busara sana na siku zote mwenye uwezo huwa ajigambi wala kuongea sana ila wadhaifu ndio wanakuaga na mikwara mbuzi.Hiyo rwanda ukiwafungia kupitisha vitu vyao bandarini ni miezi michache tu wanaomba poo hapo bado dagaa,mboga mboga na vyakula vingine wanavyokuja kuangaika kununua uku.Tena ashukuru kupakana na tanzania isiyopenda vurugu zakijinga.
Ni hatari sana kuwa mjinga halafu hujijui
 
Kiukweli sioni kama tutatoboa kwenye hiyo vita ukimsikiliza vizuri its means tayari anataarifa muhimu mikononi mwake kwa hiyo ni yeye kuamua tu kufanya tukio hiyo ni alam kwa jeshi letu na idara ya usalama kuwa macho sana ni kweli jeshi letu lina historia nzuri lakini haifanyi tujiamini sana
 
Ngoja kagame awashugulikie ndio tuone huo uimara tena tutampa machimbo yote mliopo wajinga nyie Ili awamalize mnakula Mali za umma halafu mnataka uzalendo feki pambaneni na Hali zenu Hilo ni lenu peke yenu
Na ndo wanalolitegemea. Kuna nyumba ya mjomba wangu nitawaletea wakamfyeke pumbavu zake.
 
Jf siku hizi ina watu weupe mno kichwani
Uganda Rwanda na Congo ziko mbali!!!
Uganda hii hii au kuna uganda nyingine?
Mkuu uganda anamiliki su-25,hizo ndege ni za hatari sana congo nao wana hizo su-25,while kenya wana f-15 ni balaa,sisi tuna ndege za kichina za miaka 40 iliyopita chengdu nini sijui 😃,ndio maana unaona hizi dharau zote,imefika muda na sisi tupate hata su-35 tuwaadabishe hawa viburi
 
Ndugu yangu! Usilo lijua ni Sawa na usiku kiza! TPDF si dhaifa kama unavyodhani, lipo more advance,kuna mengi yamefanyika na yanaendelea kufanyika kimyakimya, kama bado unamtazamo wa jeshi lileee lililopigana vita ya Kagera! Basi unakosea Sanaa,kuna Idadi kubwa ya vijana wenye uwezo wamekuwa walipelekwa urusi kwa mafunzo ya muda mrefu,takriban miaka 6 kwa bechi ya kozi moja,TPDF inafanya kazi zake kwa usiri na umakini mkubwa Sanaa,Tofauti na watu wanavyoifikiria.
Hao askari unaowazungumzia ndio hawa tunaogombea nao Punani AKA Mbususu hapa Sabasaba na kwa Azizi Ali?
 
Back
Top Bottom