Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

Rais Kagame anailenga Tanzania katika ujumbe huu?

KIJITI KAGAME amalize kwanza dozi yake ya mifupa asitafute sababu ya kusema Tanzania tumemuua.

Mtu mwenyewe anatembea huku shati linapepesuka, miguu inagongana kama mbao, ataweza wapi vita huyu KIJITI!

Ati ndio Amiri Jeshi!! Urongooo! Anawadanganya warwanda!
 
Huna lolote keyboard warrior huna unalojua.Kalale.
Uzuri kagame hua hatanii mwaka huu tunampa njia zote za kuwashugulikia yaani mumekalisha matako yenu makubwa na vitambi mkisubiri wananchi wawaunge mkono nyie wajinga kweli tuache kuiunga mkono Rwanda Ili iwatembezee kichapo tuwaunge mkono majizi safari hii mnalo hilo
 
Hii sasa ni dharau, hivi kagame anaweza kuvuka mpaka na kuja kupigana na tanzania? Hebu aambiwe ukweli tanzania si congo na asijaribu kuvuka mpaka hata sentimeta moja. SADC haikutaka kuichakaza rwanda afahamu hilo
Bongo ilipeleka wajeda na wakaonjeshwa joto ya jiwe, uliza watu wa Eastern DRC siyo unapigwa fix na watu wasioishi huko. Tumebaki na porojo za mdomoni tu.
 
Wewe umewahi kuiunga mkono Jwtz wapi?.Siasa zisikupofushe macho nchi Iko imara maradufu.
Hii miaka vita si kutumia yale mamiziga kwenye yale magari wanaita sabasaba ya miaka ya 70... vita ya leo si kupigana na ndege za hovyo kama cheng du J7G tulizonazo zimejaa kutu na kufuka moshi kama treni la diesel... ni muda sasa kubadilika kuendana na ulimwengu ulipo..
 
Ila tuwe wa kweli , japo Rwanda itazidiwa au kushindwa lakini TPDF hivi sasa ipo weak katika historia ya hii nchi, very weak...

Mbinu za kivita duniani zimebadilika sana asee, vita ya Ukraine damage kubwa zinafanywa na drones, karibu asilimia 70...

Na jeshi la Rwanda wamejiingiza kwenye hizo drones, operators wa drones sio wanapasua matofali kwa kichwa, wao ni kama gamers tu, kama mtu anacheza playstation... vita imebadilika sana..

Hao jamaa kujiamini hivyo inabidi iwe wake up call, itakuwa hawajiamini bure... mnakwenda na Artillery guns/mambomu ya mizinga ya enzi za Kagera war, unatumiwa ki drone kidogo kinawalipua na silaha zenu zote...
Drone ni hela zako tu, ukiingia hapo China na bilioni 100 unazichukua za kutosha. So Rwanda kuzimiliki sio kwamba Tanzania ni dhaifu
 
Ila tuwe wa kweli , japo Rwanda itazidiwa au kushindwa lakini TPDF hivi sasa ipo weak katika historia ya hii nchi, very weak...

Mbinu za kivita duniani zimebadilika sana asee, vita ya Ukraine damage kubwa zinafanywa na drones, karibu asilimia 70...

Na jeshi la Rwanda wamejiingiza kwenye hizo drones, operators wa drones sio wanapasua matofali kwa kichwa, wao ni kama gamers tu, kama mtu anacheza playstation... vita imebadilika sana..

Hao jamaa kujiamini hivyo inabidi iwe wake up call, itakuwa hawajiamini bure... mnakwenda na Artillery guns/mambomu ya mizinga ya enzi za Kagera war, unatumiwa ki drone kidogo kinawalipua na silaha zenu zote...
Mimi nilisha wambia humu Rwanda anaweza kuitandika Tanzania wengine wakasema mimi ni mtusi eti 😆 😂
 
Huyo ashazoeleka kuropoka tangu enzi za JAKAYA.
Ila nadhani anajua mziki wa Tanzania ukoje.
Kuna ule wimbo wa Leka tutigite
Kuna mstari unasema "Kigoma ya sasa, siyo kama ya zamani"
Na mimi nakazia, "Tanzania ya sasa, siyo kama ya zamani".
Huwezi kupambana Rwanda kwa sasa na hao wanajeshi wako wa kujificha msituni
 
Rwanda nchi ya kiboya sana, na haina uwezo wa kupambana na tz hata kwa dakika 5 tumewazid kila.idara katika medani vifaa vya kisasa
Idadi ya military personnel

Hakuna kitu hakuna kitu wanaweza fanya akitaka ajaribu aisiwe kama usa kuingea ongea
Nini kimelipata jeshi la SADC huko DRC mashariki walipokumbana na M23 yenye support ya Rwanda??
 
Back
Top Bottom